Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Boss unaelewa kwanza kwanini chanjo inakataliwa au unakariri kuwa kila kitu ni propaganda. Chanjo hutengenezwa kwa phases na stage zakufuatwa pamoja na majaribio yakutosha mpaka ije ikamilike. Chanjo za covid 19 hazijakidhi vigezo husika kwakuwa zilitengenezwa haraka kusaidia kuzuia pandemic ya covid 19. Ila side effects za hizo chanjo hazijawa taken into account, ndiyo maana kuna vigezo havijazingatiwa hivyo kuzuia infection na kufa kwa tatizo la damu bado hujasaidia chochote. Acheni siasa, soma tatizo halisi linakuaga nini!!Mnakataa chanjo ya uviko 19 mnakubali dawa zao za Ukimwi. Hizo ni propaganda tuu.
Boss unaelewa kwanza kwanini chanjo inakataliwa au unakariri kuwa kila kitu ni propaganda. Chanjo hutengenezwa kwa phases na stage zakufuatwa pamoja na majaribio yakutosha mpaka ije ikamilike. Chanjo za covid 19 hazijakidhi vigezo husika kwakuwa zilitengenezwa haraka kusaidia kuzuia pandemic ya covid 19. Ila side effects za hizo chanjo hazijawa taken into account, ndiyo maana kuna vigezo havijazingatiwa hivyo kuzuia infection na kufa kwa tatizo la damu bado hujasaidia chochote. Acheni siasa, soma tatizo halisi linakuaga nini!!
Kama umekubali kuwa jpm alitia sumu basi umekubali kuwa sa100 na seriksli yake ya kihuni watu awaipendi ndiyo maana nguvu ya marehemu jpm inafanya kaziHayati Magufuli kwa ushamba wake na kukosa exposure alijikuta anachafua hali ya hewa kuhusu chanjo. Alikuwa na imani duni kuhusu masuala ya chanjo.
Hali hiyo imechangia sana wananchi wamekuwa wakipuuza chanjo kwa imani potofu. Wananchi wengi wanaamini chanjo ni mpango wa kibeberu kuwaangamiza waafrika.
Serikali ya mama ina kazi ya kufanya kuondoa sumu aliyotia Magufuli
Hii chanjo ya corona ilikua tofauti na hizo nyingine,ulishasikia wapi fanya chanjo upewe msaada?Hayati Magufuli kwa ushamba wake na kukosa exposure alijikuta anachafua hali ya hewa kuhusu chanjo. Alikuwa na imani duni kuhusu masuala ya chanjo.
Hali hiyo imechangia sana wananchi wamekuwa wakipuuza chanjo kwa imani potofu. Wananchi wengi wanaamini chanjo ni mpango wa kibeberu kuwaangamiza waafrika.
Serikali ya mama ina kazi ya kufanya kuondoa sumu aliyotia Magufuli
Lete ushahidi aliposema chanjo zimeletwa kuua watu. Mbona mnasingizia hata marehemu habari za uongo? Mmetumwa na nani? Wanawalipa bei gani?Magufuli alikuwa against chanjo kuwa zimeletwa kuua watu, na hakusema chanjo za Covid pekee, alilnga chanjo zote
Mimi hiyo ya Covid pia sijachanja, sipo katika kundi la wenye risk
Ila chanjo naamini inazuia magonjwa
Kwa akili Yako vyombo vya USALAMA vinaweza kubali kiongozi mkuu wa Nchi atumike Kwa majaribio ya chanjo?Unataka serikali ifanye nini zaidi ya mpaka rais SSH kuchanja
Mkuu unadhani watu wanaoamini ushirikina dhidi ya science wako Tanzania pekee ? Hata uko mbele pia kuna watu kama JiweHata huko zinapotoka Kuna mamilion ya watu wamezigomea chanjo. Nick minaj ni mmoja wa star mkubwa kuzigomea chanjo
Hao nao walimsikiliza Magufuli?
Ila kama taifa tulipitia kipindi kigumu sana kwenye utawala wa yule dhalimu. Nchi iweke misingi mizuri so mtu kama Jowe asije tokea tenaChanjo hazifai. Ni masumu mabaya yasiyojulikana yametoka wapi na kwa malengo gani.
Kama una hamu na chanjo fika kituo kilicho karibu waambie wakupatie furushi zima ulinywe.
Ila inabidi uwe na akili finyu ndiyo unaweza amini maneno ya Jiwe. Nchi ilirudi enzi za ujima chini ya utawala wake, sema Mungu ni mwema wakati wote akatuepusha na yule dhalimu bila kumwaga damuMagufuli alikuwa against chanjo kuwa zimeletwa kuua watu, na hakusema chanjo za Covid pekee, alilnga chanjo zote
Mimi hiyo ya Covid pia sijachanja, sipo katika kundi la wenye risk
Ila chanjo naamini inazuia magonjwa
Unadhani watu wenye akili kama zako uko mwenyewe? Mko wengi mkuu. Wajinga duniani ni wengi kuliko werevuSi huwa mnasema alikuwa hapendwi na hakuwa na wafuasi , ikawaje tena hao.wananchi wanaofuata mawazo yake ni akina nani?
Alikuwa punguani mwanasayansi asiyeamini sayansi. Aliamini madogoriAlikuwa mshamba sana. Chanjo za surua, pepopunda, ndui n.k tumechanjwa hao wazungu walishindwa kuweka hizo sumu zao?
Madawa karibu yote tunaagiza nje, kwa nini wasiweke hizo sumu? Nguo pia?
vyakula, mfano ngano , mafuta, kumbe inatoka Ukraine, si wangeweka hizo sumu?
Ila ana wafuasi wengi waliomuamini,
Unajua kwasababu zimekubaliwa kutumika pamoja na hizo consequences. Kwasababu the benefits outweigh the risks. Pia ukimwi ni end stage disease ila covid 19 sio. Pili chanjo huwezi ilinganisha dawa, dawa hutibu ila chanjo huzuia ugonjwa. Huwezi kuruka phase ya kutengeneza chanjo kama vile unatengeneza dawa. Dawa ni individual treatment ila chanjo ni mass prevention, hivyo ukiharibu chanjo unaweza angamiza taifa zima. Acheni concept za kuchanganya madawa na chanjo.Hata hizo dawa za ukimwi mnazotumia zina side effects lakini hamjali. Madawa ya ukimwi huwa yanaharibu mafigo na maini.
Unajua kwasababu zimekubaliwa kutumika pamoja na hizo consequences. Kwasababu the benefits outweigh the risks. Pia ukimwi ni end stage disease ila covid 19 sio. Pili chanjo huwezi ilinganisha dawa, dawa hutibu ila chanjo huzuia ugonjwa. Huwezi kuruka phase ya kutengeneza chanjo kama vile unatengeneza dawa. Dawa ni individual treatment ila chanjo ni mass prevention, hivyo ukiharibu chanjo unaweza angamiza taifa zima. Acheni concept za kuchanganya madawa na chanjo.
Hayati Magufuli kwa ushamba wake na kukosa exposure alijikuta anachafua hali ya hewa kuhusu chanjo. Alikuwa na imani duni kuhusu masuala ya chanjo.
Hali hiyo imechangia sana wananchi wamekuwa wakipuuza chanjo kwa imani potofu. Wananchi wengi wanaamini chanjo ni mpango wa kibeberu kuwaangamiza waafrika.
Serikali ya mama ina kazi ya kufanya kuondoa sumu aliyotia Magufuli