Chai ,wezi kama nyie haamuwezi kumpenda na kumuelewa jpm" the lion of africa" ata siku mojaMimi sikuwa mwizi.
Siku moja nipo kwenye bus usiku napitia jf. Mtu mmoja akanishika kichwa
Ana muonekano wa sukuma gang
Akasema nyie ndo tunawatafuta mnashinda humo jf kumsema raisi. Ili mkatishe juhudi zake ?
Mtakoma mwaka huu
Nadhani kosa la kutengeneza watanzania waliowaoga wala sio kosa la JPM bali lilikuwa kosa la Mwalimu mwenyewe na alilikiri na kuliombea msamaha kosa lake mpaka leo watanzania walio wengi ni waoga na wanaamini uoga wao utaondolewa na serikali kitu ambacho sicho na wasitegemee kuhusu hilo pia watanzania waliowengi huamini pia uoga wao utaondolewa na upinzani kitu mabacho sicho kwa kuwa uo mzigo wanaowatwisha upinzani ni mkubwa na wapinzani wa kweli wakuubeba huo mzigo wapo wachache mzigo unawaelemea jukumu la kuondoa uo uoga ni la watanzania wote wasioupenda uo uoga na njia pekee ni kupitia kuwaondosha watawala kwa njia si nyingine bali kwa njia ya mapinduzi tu .watawaliwa[ wananchi ] kuwa ondosha watawala[serikali ] ndipo uo uoga utaondoka kwa watanzaniaJK NYERERE aliwahi kusema "Hadhani kama jitahada zake za kujenga nchi ,Amejenga nchi ya Watu waoga sana(UJAMAA),kama imekuwa hivyo basi Mungu amsamehe sana,Hakuwa na nia hiyo: JPM alikuja kuthibitisha hilo,raia wengi kama siwote waoga mno,Wapinzani walikuwa desperate sana,Walikuwa hoi wanatapatapa kupata pa kushika,kiufupi ilibaki msumari wa mwisho upinzani wa vyama vya siasa kufutika,JPM angeliendelea na hakika upinzani wa vyama vya siasa ungelifutikaa:BTW JPM alikuwa MYOPIA,LOW INTELLINGE &
Jambo la wakuwatesa na kuwaonea wale wasio mlengo mmoja na wewe kiongozi unaye ongoza sio sahihi na haikubaliki kwa kiongozi yeyote mwenye kutaka kuwa kiongozi bora na mfano wa kuigwa.Mzee Nyerere aliongea haya baada ya kuwa ameshaondoka madarakani ila angekuwa bado na madaraka hao watu majasiri sidhani kama hata angewapenda, sana sana wangepata tabu mno.
Wapinzani walihujumiwa waziwazi bila kificho hadi wengine kupotezwa, kunusurika kuuawa mpaka kukimbia nchi na hawakuwa na namna ya kubaki salama maana chuki dhidi yao ilikuwa dhahiri.
Tindo Yoda zitto junior JokaKuu
Ukipata nafasi ya kuwa Rais utafanya mageuzi gani muhimu na kwa nini, Mkuu? Tuanzie kwa kujibu swali hilo ili liweke uzito hoja zako za lawama.Habari Wana jukwaa,
JPM alitufanya Taifa la watu waoga,kila mtu alijihami sana , ukiongea kwenye daladala ya mbezi temeke, unakamatwa,
Ukiwa kwenye vijiwe unashikwa,
Ukipost chochote against bwana yule umekwenda na maji
Hata hapa JF ilifikia kipindi watu wanatishiana maisha kabisa na kupotezwa mfano, Ben saanane.
Ni wakati ambao pia Sabaya alikamatwa na Id ya tiss na kesi kufutwa,
Sasa tunapumua!
Hili swali lako hakuna hata mwanaccm mmoja atweza kulijibu mbunguni na dunianiWanadai JPM alikuwa anakubalika!! Mimi nawauliza swali; Kama alikuwa anakubalika kwa nini aliiba Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Vitongoji wa 2019 na Uchaguzi Mkuu wa 2020?
Mkuu unaweza kujibu hili swali? Kwanini Jpm aliamua kuiba uchaguzi 2019 na 2020 kwa namna ile? Au Ndio kukubalika😅😅Mtoa mada inaonekana ameruhusiwa leo kutoka MILEMBE HOSPITAL.
Mtu mwenye akili timamu hawezi kumbeza JPM hata kidogo.
Kumbuka, mpaka sasa viatu vya JPM havimtoshi Bibie.
Havi mtoshi kwa sababu siku hizi hakuna jogoo anaeuzwa laki moja bara barani Wala kufanya maigizo ktk misafara yake ya kugawa pesa na kuwapanga baadhi ya watu waeleze shida zao halafu wapewe pesa kwa mabunda bara baraniMtoa mada inaonekana ameruhusiwa leo kutoka MILEMBE HOSPITAL.
Mtu mwenye akili timamu hawezi kumbeza JPM hata kidogo.
Kumbuka, mpaka sasa viatu vya JPM havimtoshi Bibie.
Tundu lissu alichomfanyia kule chato kipindi cha kampeni mwendazake hakuaminiHili swali lako hakuna hata mwanaccm mmoja atweza kulijibu mbunguni na duniani
Aisee ndio tulijua watanzania shida yao sio Viwanja na mabarabara tu. Wananchi walitaka Uhuru, amani na umoja.Tundu lissu alichomfanyia kule chato kipindi cha kampeni mwendazake hakuamini
Na kwa ujinga huo ulionao utaendelea kuwa maskini tu. Endelea kumuabudu mungu wenu wa ChatoTanzania haiwezi endelea kwa kuoneana aibu na kumbelezana tutaendelea kuumia na tunaoumia ni wengi wa maisha ya chini ,hakuna taifa limeendelea kwa njia tunayopita sisi hata nchi za magharibi ziliendelea wakati huo kwa kuchapana mitered leo wapo walipo ,nchi nyingi za Asia kama China, South Korea, Singapore na nyinginezo hivyi karibu zimeendelea kwa kufanya kazi kutoneana aibu leo wapo mbali.rais Magufuli alijaribu kuleta mentality hii ila watu wezi na wabinafsi walitaka waendelee wao na familia zao walimchukia .
Ni bora alikufaDictator of the century
Hatasemwa vibaya kama uyu dikteta wenu ambaye leo uko jehanamu ni zamu ya kumuunguza kadudu kakeUtapata faida gani kwa kumsema? Na je unaamini wewe ukifa leo kila mtu atakusema vizuri? (Naomba jibu)
sana tena sana tungelikuwa pabaya sana! acha lifilie kwa mbali jinamizi kuuNi bora alikufa
Jitu katili la roho za watu....Anastahili Atangazwe rasmi Posthumous kwamba alikua Dictator. Mtu gani Muongo, Mlaghai wa watu na katiri kiasi kile aso na heshima hata kwa mke wake in public.
Eti mimi si mwanasiasa na siasa siijui ( kumbe kinafanya siasa kwa kuikana siasa hahahaa)
“ Haya ukaseme tena “ alisikika bwana yule
Sent by iPhone 13 pro using jf app [emoji28]
Wwe ulikutana na tapeli akakupiga pesa kwa mgongo wa JPM! maana mwisho wa siku ulimpozaa akakuachia na wwe ukaridhika!!! Na wengi sana wamepigwa pesa kipindi Cha JPM kwa uzembee wao lakini lawama zote kwa John!!!Mimi sikuwa mwizi.
Siku moja nipo kwenye bus usiku napitia jf. Mtu mmoja akanishika kichwa
Ana muonekano wa sukuma gang
Akasema nyie ndo tunawatafuta mnashinda humo jf kumsema raisi. Ili mkatishe juhudi zake ?
Mtakoma mwaka huu
Mi nafunguawaga hadi video ya ngono naangalia mwenyewe,ukipiga chabo shauri yako itakua JF kitu Cha Jamiii!? Kweli fala alikuonea bure I wish ningekuwepo nitowe hata elimu kidogo labda kungekuwepo na changes kidogo!!!!Mimi sikuwa mwizi.
Siku moja nipo kwenye bus usiku napitia jf. Mtu mmoja akanishika kichwa
Ana muonekano wa sukuma gang
Akasema nyie ndo tunawatafuta mnashinda humo jf kumsema raisi. Ili mkatishe juhudi zake ?
Mtakoma mwaka huu