Hayati Magufuli alitufanya Taifa la watu waoga,kila mtu alijihami na kujifanya TISS kwa kutishia wenzake

Hayati Magufuli alitufanya Taifa la watu waoga,kila mtu alijihami na kujifanya TISS kwa kutishia wenzake

Hii Nchi ilikoswakoswa na yule Shetani.

Tumshukuru Muumba

rejoice.png
 
Mimi sikuwa mwizi.
Siku moja nipo kwenye bus usiku napitia jf. Mtu mmoja akanishika kichwa
Ana muonekano wa sukuma gang
Akasema nyie ndo tunawatafuta mnashinda humo jf kumsema raisi. Ili mkatishe juhudi zake ?
Mtakoma mwaka huu
Chai ,wezi kama nyie haamuwezi kumpenda na kumuelewa jpm" the lion of africa" ata siku moja
 
JK NYERERE aliwahi kusema "Hadhani kama jitahada zake za kujenga nchi ,Amejenga nchi ya Watu waoga sana(UJAMAA),kama imekuwa hivyo basi Mungu amsamehe sana,Hakuwa na nia hiyo: JPM alikuja kuthibitisha hilo,raia wengi kama siwote waoga mno,Wapinzani walikuwa desperate sana,Walikuwa hoi wanatapatapa kupata pa kushika,kiufupi ilibaki msumari wa mwisho upinzani wa vyama vya siasa kufutika,JPM angeliendelea na hakika upinzani wa vyama vya siasa ungelifutikaa:BTW JPM alikuwa MYOPIA,LOW INTELLINGE &
Nadhani kosa la kutengeneza watanzania waliowaoga wala sio kosa la JPM bali lilikuwa kosa la Mwalimu mwenyewe na alilikiri na kuliombea msamaha kosa lake mpaka leo watanzania walio wengi ni waoga na wanaamini uoga wao utaondolewa na serikali kitu ambacho sicho na wasitegemee kuhusu hilo pia watanzania waliowengi huamini pia uoga wao utaondolewa na upinzani kitu mabacho sicho kwa kuwa uo mzigo wanaowatwisha upinzani ni mkubwa na wapinzani wa kweli wakuubeba huo mzigo wapo wachache mzigo unawaelemea jukumu la kuondoa uo uoga ni la watanzania wote wasioupenda uo uoga na njia pekee ni kupitia kuwaondosha watawala kwa njia si nyingine bali kwa njia ya mapinduzi tu .watawaliwa[ wananchi ] kuwa ondosha watawala[serikali ] ndipo uo uoga utaondoka kwa watanzania
 
Mzee Nyerere aliongea haya baada ya kuwa ameshaondoka madarakani ila angekuwa bado na madaraka hao watu majasiri sidhani kama hata angewapenda, sana sana wangepata tabu mno.


Wapinzani walihujumiwa waziwazi bila kificho hadi wengine kupotezwa, kunusurika kuuawa mpaka kukimbia nchi na hawakuwa na namna ya kubaki salama maana chuki dhidi yao ilikuwa dhahiri.
Tindo Yoda zitto junior JokaKuu
Jambo la wakuwatesa na kuwaonea wale wasio mlengo mmoja na wewe kiongozi unaye ongoza sio sahihi na haikubaliki kwa kiongozi yeyote mwenye kutaka kuwa kiongozi bora na mfano wa kuigwa.

#Kiongozi yoyote anapaswa kuwa tendea sawa wale wote wano muunga mkono na wasio muunga mkono[emoji106][Leftists and Rightists]
 
Mtoa mada inaonekana ameruhusiwa leo kutoka MILEMBE HOSPITAL.
Mtu mwenye akili timamu hawezi kumbeza JPM hata kidogo.
Kumbuka, mpaka sasa viatu vya JPM havimtoshi Bibie.
 
Habari Wana jukwaa,

JPM alitufanya Taifa la watu waoga,kila mtu alijihami sana , ukiongea kwenye daladala ya mbezi temeke, unakamatwa,

Ukiwa kwenye vijiwe unashikwa,

Ukipost chochote against bwana yule umekwenda na maji

Hata hapa JF ilifikia kipindi watu wanatishiana maisha kabisa na kupotezwa mfano, Ben saanane.

Ni wakati ambao pia Sabaya alikamatwa na Id ya tiss na kesi kufutwa,

Sasa tunapumua!
Ukipata nafasi ya kuwa Rais utafanya mageuzi gani muhimu na kwa nini, Mkuu? Tuanzie kwa kujibu swali hilo ili liweke uzito hoja zako za lawama.
 
Mtoa mada inaonekana ameruhusiwa leo kutoka MILEMBE HOSPITAL.
Mtu mwenye akili timamu hawezi kumbeza JPM hata kidogo.
Kumbuka, mpaka sasa viatu vya JPM havimtoshi Bibie.
Mkuu unaweza kujibu hili swali? Kwanini Jpm aliamua kuiba uchaguzi 2019 na 2020 kwa namna ile? Au Ndio kukubalika😅😅
 
Mtoa mada inaonekana ameruhusiwa leo kutoka MILEMBE HOSPITAL.
Mtu mwenye akili timamu hawezi kumbeza JPM hata kidogo.
Kumbuka, mpaka sasa viatu vya JPM havimtoshi Bibie.
Havi mtoshi kwa sababu siku hizi hakuna jogoo anaeuzwa laki moja bara barani Wala kufanya maigizo ktk misafara yake ya kugawa pesa na kuwapanga baadhi ya watu waeleze shida zao halafu wapewe pesa kwa mabunda bara barani
 
Tundu lissu alichomfanyia kule chato kipindi cha kampeni mwendazake hakuamini
Aisee ndio tulijua watanzania shida yao sio Viwanja na mabarabara tu. Wananchi walitaka Uhuru, amani na umoja.

Mkutano wa Chato wa Tundu Lissu uligubikwa na vimbwanga kibao hata hivyo watu walijaaa sana.
 
Tanzania haiwezi endelea kwa kuoneana aibu na kumbelezana tutaendelea kuumia na tunaoumia ni wengi wa maisha ya chini ,hakuna taifa limeendelea kwa njia tunayopita sisi hata nchi za magharibi ziliendelea wakati huo kwa kuchapana mitered leo wapo walipo ,nchi nyingi za Asia kama China, South Korea, Singapore na nyinginezo hivyi karibu zimeendelea kwa kufanya kazi kutoneana aibu leo wapo mbali.rais Magufuli alijaribu kuleta mentality hii ila watu wezi na wabinafsi walitaka waendelee wao na familia zao walimchukia .
Na kwa ujinga huo ulionao utaendelea kuwa maskini tu. Endelea kumuabudu mungu wenu wa Chato
 
Utapata faida gani kwa kumsema? Na je unaamini wewe ukifa leo kila mtu atakusema vizuri? (Naomba jibu)
Hatasemwa vibaya kama uyu dikteta wenu ambaye leo uko jehanamu ni zamu ya kumuunguza kadudu kake
 
Anastahili Atangazwe rasmi Posthumous kwamba alikua Dictator. Mtu gani Muongo, Mlaghai wa watu na katiri kiasi kile aso na heshima hata kwa mke wake in public.

Eti mimi si mwanasiasa na siasa siijui ( kumbe kinafanya siasa kwa kuikana siasa hahahaa)

“ Haya ukaseme tena “ alisikika bwana yule

Sent by iPhone 13 pro using jf app [emoji28]
 
Anastahili Atangazwe rasmi Posthumous kwamba alikua Dictator. Mtu gani Muongo, Mlaghai wa watu na katiri kiasi kile aso na heshima hata kwa mke wake in public.

Eti mimi si mwanasiasa na siasa siijui ( kumbe kinafanya siasa kwa kuikana siasa hahahaa)

“ Haya ukaseme tena “ alisikika bwana yule

Sent by iPhone 13 pro using jf app [emoji28]
Jitu katili la roho za watu....
 
Mimi sikuwa mwizi.
Siku moja nipo kwenye bus usiku napitia jf. Mtu mmoja akanishika kichwa
Ana muonekano wa sukuma gang
Akasema nyie ndo tunawatafuta mnashinda humo jf kumsema raisi. Ili mkatishe juhudi zake ?
Mtakoma mwaka huu
Wwe ulikutana na tapeli akakupiga pesa kwa mgongo wa JPM! maana mwisho wa siku ulimpozaa akakuachia na wwe ukaridhika!!! Na wengi sana wamepigwa pesa kipindi Cha JPM kwa uzembee wao lakini lawama zote kwa John!!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Mimi sikuwa mwizi.
Siku moja nipo kwenye bus usiku napitia jf. Mtu mmoja akanishika kichwa
Ana muonekano wa sukuma gang
Akasema nyie ndo tunawatafuta mnashinda humo jf kumsema raisi. Ili mkatishe juhudi zake ?
Mtakoma mwaka huu
Mi nafunguawaga hadi video ya ngono naangalia mwenyewe,ukipiga chabo shauri yako itakua JF kitu Cha Jamiii!? Kweli fala alikuonea bure I wish ningekuwepo nitowe hata elimu kidogo labda kungekuwepo na changes kidogo!!!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom