Hayati Magufuli alivyoalika wazee wa kimila Ikulu kupiga dua(kutambika) ili mvua zinyeshe

Hayati Magufuli alivyoalika wazee wa kimila Ikulu kupiga dua(kutambika) ili mvua zinyeshe

Niliwahi kuwa na mtazamo kama wako ila baada ya kuishi Njombe na Iringa nahitimisha kuwa uchawi upo na mvua inachezewa tu na wazee wataalamu.

Sasa ww si ni muumini wa ushirikina, utaachaje kuamini hiyo mitazamo?
 
Nikiri tu kuwa mimi nimezaliwa kwenye jamii zenye zinazodumisha mila zetu za asili(matambiko nisehemu ya maisha yetu).
Bibi yangu na babu yangu wapo vizuri.
Waliwahi kuniambia kuwa hakuna kazi nyepesi kama wa kuzuia au kuleta mvua.

Wazee wetu hawa wakiwa field huwa wanajaribiwa kwa hicho kitu,ukifeli unarudia somo.kuleta mvua au kuzuia mvua ni somo rahisi katika mitaala ya wazee wa kimila

Tangu uzaliwe ni lini ukaona mkutano wa vyama vya siasa ukavunjika kisa mvua?kwa taharifa yako mikutano hii huwa kuna kamati ya ufundi kuzuia mvua.

Hayati Magufuli baada ya kuingia madarakani aliwaita hawa wazee wa kimila (tamka wachawi)
toka kila mkoa Ikulu na kuwaambia kuwa anawapenda watanzania na asingependa kuona wanakufa njaa.hivyo aliwaomba wamsaidie kupiga dua(tamka kuroga) ili nchi iwe na mvua za kutosha.

Baada ya dua kila mzee alikutana na baasha nene ya kaki ikiwa na nauli na posho ya maana,

Wazee hawa hawakumuangusha ,mvua tuliziona,sasa mama Samia unafeli wapi?Babu yangu ni mmoja kati ya hawa wazee,mwaka wa pili sasa sijasikia simu yake kuwa anakwenda Dar au Dodoma Ikulu kupiga dua

Tangu mama aingie mjengoni mvua hazieleweki,sio mbaya kuiga mazuri ya JPM ,njaa zitatuua,mchele kilo 3500!!!
Tanzania bila story za uongo uongo kama hii haiendi
 
Nikiri tu kuwa mimi nimezaliwa kwenye jamii zenye zinazodumisha mila zetu za asili(matambiko nisehemu ya maisha yetu).
Bibi yangu na babu yangu wapo vizuri.
Waliwahi kuniambia kuwa hakuna kazi nyepesi kama wa kuzuia au kuleta mvua.

Wazee wetu hawa wakiwa field huwa wanajaribiwa kwa hicho kitu,ukifeli unarudia somo.kuleta mvua au kuzuia mvua ni somo rahisi katika mitaala ya wazee wa kimila

Tangu uzaliwe ni lini ukaona mkutano wa vyama vya siasa ukavunjika kisa mvua?kwa taharifa yako mikutano hii huwa kuna kamati ya ufundi kuzuia mvua.

Hayati Magufuli baada ya kuingia madarakani aliwaita hawa wazee wa kimila (tamka wachawi)
toka kila mkoa Ikulu na kuwaambia kuwa anawapenda watanzania na asingependa kuona wanakufa njaa.hivyo aliwaomba wamsaidie kupiga dua(tamka kuroga) ili nchi iwe na mvua za kutosha.

Baada ya dua kila mzee alikutana na baasha nene ya kaki ikiwa na nauli na posho ya maana,

Wazee hawa hawakumuangusha ,mvua tuliziona,sasa mama Samia unafeli wapi?Babu yangu ni mmoja kati ya hawa wazee,mwaka wa pili sasa sijasikia simu yake kuwa anakwenda Dar au Dodoma Ikulu kupiga dua

Tangu mama aingie mjengoni mvua hazieleweki,sio mbaya kuiga mazuri ya JPM ,njaa zitatuua,mchele kilo 3500!!!


Unamtaka Mama aingize wachawi Ikulu??!!.

Nasikia Rais Mobutu Seseseko kuku ng'wendu wazabanga alipofanya mapinduzi ya kinyama Zaire (DRC) alikusanya Wachawi/Waganga mashuhuri kutoka kila pande ya Zaire kwenda Ikulu Kinshasa ili kila mmoja kwa wakati wake amfanyie tambiko la kukinga utawawala wake usiangushwe, Mobutu alikuwa mtu wa ajabu sana kwani inasemwa; baada ya kila mganga kufanya tambiko na kupewa ujira wake alimfuatilia kwa siri na baada tu ya miezi kadhaa karibu hao Waganga wote walioshiriki tambiko aliwaua kwa njama/assassination ili wasitoe siri za matambiko yao.

Mambo ya viongozi kushadidia matambiko tena ndani ya Ikulu aghalabu viongozi hao huelekea kuwa madikteta wabaya, mambo ya matambiko yalifanywa na madikteta karibu wote, sasa usitarajie Mama yetu awe dikteta kutokana na kuinajisi Ikulu kwa kuingiza Waganga na wachawi, kuingiza Wachawi ikulu kwa jambo lolote ni kukata tamaa za rehma za Mungu na kutegemea "rehma" za wachawi kitendo ambacho kitaamsha hasira za Mungu hasira zilizowakumba madikteta wote.

Cha kufanya ni; kila dini kwa wakati wake ipange siku fulani wafuasi wake wamuombe Mungu alete mvua, jambo ambalo liliwahi kufanyika katika utawala wa Alhaji Ally Hassan Mwinyi na tukayaona matokeo, hizi sio zama za giza tena bali zama za nuru.
 
Rudi Kwa Mungu toa neno uchawi weka Mungu


Then ujijibu mbn Mungu yupo mvua Amna nk
Mungu amemwumba mwanadamu akampa utashi na akili. Akamwekea kila rasilimali. Alikupa hivyo ili uvitumie kuyamudu maisha yako.

Mvua inanyesha, maji yanapotelea ardhini. Mito inatiririka, maji yanapotelea baharini. Maziwa yametapakaa, yamebakia kuwa makazi ya samaki na vyura.

Kuna wakati Mungu huruhusu magumu yatokee ili akili ya mwanadamu ifanye kazi.
 
Mbona hangaya Kuna kipindi alipakizwa gari usiku usiku kwenda kufanyiwa manuva baada ya kiti kuwa Cha Moto?
Aliondoka bila escorts na kigari kimoja .

[emoji1787]Njiani walizuiliwa na mapongo maana hawakujua ndani Kuna Nani.[emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Alipelekwa baharini?🤣🤣🤣
 
Mungu amemwumba mwanadamu akampa utashi na akili. Akamwekea kila rasilimali. Alikupa hivyo ili uvitumie kuyamudu maisha yako.

Mvua inanyesha, maji yanapotelea ardhini. Mito inatiririka, maji yanapotelea baharini. Maziwa yametapakaa, yamebakia kuwa makazi ya samaki na vyura.

Kuna wakati Mungu huruhusu magumu yatokee ili akili ya mwanadamu ifanye kazi.
Pia na Kwa WACHAWI hivyo hulivyo wanaruhusu yatokeee
 
Kwenye ile sherehe mzee mmoja akaomba kilo tatu za nyama. Mwenye sherehe akasem huyo babu mpeni kilo nne za nyama. Wahinjaji wakamyima eti ni mchoyo. Sherehe ikaanza saa 6mchana nyie tulinyeshewa nvua non stop.

Mwenye sherehe akauliza kwani yule mzee hakupewa nyama? Wakajibu mchoyo yule aje ale na wengine, aiseee mwenye sherehe alichukuwa kilo tano fasta akakimbia kwa yule babu saa 10 jion mvua ikakata na miziki ikaanza.
Aiiiiiiii walokuja na nguo zao mpya ungeziona nyie msicheze na hawa wazee.
 
Unamtaka Mama aingize wachawi Ikulu??!!.

Nasikia Rais Mobutu Seseseko kuku ng'wendu wazabanga alipofanya mapinduzi ya kinyama Zaire (DRC) alikusanya Wachawi/Waganga mashuhuri kutoka kila pande ya Zaire kwenda Ikulu Kinshasa ili kila mmoja kwa wakati wake amfanyie tambiko la kukinga utawawala wake usiangushwe, Mobutu alikuwa mtu wa ajabu sana kwani inasemwa; baada ya kila mganga kufanya tambiko na kupewa ujira wake alimfuatilia kwa siri na baada tu ya miezi kadhaa karibu hao Waganga wote walioshiriki tambiko aliwaua kwa njama/assassination ili wasitoe siri za matambiko yao.

Mambo ya viongozi kushadidia matambiko tena ndani ya Ikulu aghalabu viongozi hao huelekea kuwa madikteta wabaya, mambo ya matambiko yalifanywa na madikteta karibu wote, sasa usitarajie Mama yetu awe dikteta kutokana na kuinajisi Ikulu kwa kuingiza Waganga na wachawi, kuingiza Wachawi ikulu kwa jambo lolote ni kukata tamaa za rehma za Mungu na kutegemea "rehma" za wachawi kitendo ambacho kitaamsha hasira za Mungu hasira zilizowakumba madikteta wote.

Cha kufanya ni; kila dini kwa wakati wake ipange siku fulani wafuasi wake wamuombe Mungu alete mvua, jambo ambalo liliwahi kufanyika katika utawala wa Alhaji Ally Hassan Mwinyi na tukayaona matokeo, hizi sio zama za giza tena bali zama za nuru.
Mmmmh unapingana na necha? Kile kiti kinawaka moto. embu jaribu kuuliza wakubwa zako wakueleze siri sirini chief mwenyewe anakijua kilivyo cha moto wewe endelea kuimba hapa.
 
Kwenye ile sherehe mzee mmoja akaomba kilo tatu za nyama. Mwenye sherehe akasem huyo babu mpeni kilo nne za nyama. Wahinjaji wakamyima eti ni mchoyo. Sherehe ikaanza saa 6mchana nyie tulinyeshewa nvua non stop.

Mwenye sherehe akauliza kwani yule mzee hakupewa nyama? Wakajibu mchoyo yule aje ale na wengine, aiseee mwenye sherehe alichukuwa kilo tano fasta akakimbia kwa yule babu saa 10 jion mvua ikakata na miziki ikaanza.
Aiiiiiiii walokuja na nguo zao mpya ungeziona nyie msicheze na hawa wazee.
Wazee wa kimila ni neno la kupunguza ukakasi ru ila walitakiwa kuitwa wachawi tu
Nimecheka kama nawaona mlivyonyeshewa mvua
 
Nakumbuka kuna siku Magufuli "alitingishwa" kule Mtwara na hakuwahi kukanyaga kule tena mpaka mauti yalipomkuta..

Kwa hiyo unamaanisha ule ukame uliotokea mwaka jana, mpaka pakawepo na mgao wa maji Dsm, na mgao wa umeme karibia nchi nzima, shida ilikuwa ni kwasababu "wazee hawakutafutwa"?
Kile chama Cha wale Gamboshi kilisema akijiyokeza mtu kumpinga Magufuli watamuua . Do you know what happened!
 
Mmmmh unapingana na necha? Kile kiti kinawaka moto. embu jaribu kuuliza wakubwa zako wakueleze siri sirini chief mwenyewe anakijua kilivyo cha moto wewe endelea kuimba hapa.
Huwezi kukalia kile kiti hata wiki bila kamati ya ufundi
 
Kama ni jiwe poa, mwamba si jiwe gumu? Yeye alikuwa Ile miamba mitatu uliyosoma katika jiografia inayoshikilia Dunia.
 
Back
Top Bottom