Hayati Magufuli alivyoifilisi familia ya Jamal Malinzi

Kwa hiyo kesi ya akina ndolanga na rage nao walikataa kutoa hela kwa rais wa wakat huo???? Hebu acheni kuchafua watu....tff ilifanywa kichaka cha watu kupiga hela
 
Mtaongea mengi ila ukweli ni kwamba Magu atabaki kuwa ni raisi bora sana kuwahi kutokea katika hi nchi

Ila kwa bahati mbaya viongozi majembe huwa hawaishi mda mrefu

Sokoine alikuwa jembe akafa mapema
Magu nae alikuwa jembe akafa mapema

Ila mda utafika Mungu ataleta jembe lingine na litaishi mda mrefu
 
Sio kwa Scenario hii tu nazifahamu pia nyingine kadhaa anyway niishie tu kusema "God did"...
 
Ndo michezo ya CCM hiyo pale wanapopata deficit eeh!!
2015 Magufuli ndo alikuwa anagombea kwa mara ya kwanza kwa hiyo alipewa ramani na wenyeji wake
Hawa wenyeji wake wapo?
 
Kwa hiyo kesi ya akina ndolanga na rage nao walikataa kutoa hela kwa rais wa wakat huo???? Hebu acheni kuchafua watu....tff ilifanywa kichaka cha watu kupiga hela
Kesi ya ndolanga ni ishu nyingine
 
Yeah. Alikuwa amedumaza soka la kimataifa. Ila kutokana na fedha alizokuwa nazo, alijipanga kushinda kipindi cha pili. Wadau wa soka hawakuwa na nguvu ya kumzuia kushinda ndio wakamlilia Magu, 'afanye kitu' kumzuia Malinzi kushinda.
Safi sana jiwe!

Siyo huu mlenda tulionao sasa hivi jamani.
 
Duh ! Ila magu alikuwa kvma sana ,kuna mambo ya kiseng£ sana alifanya yule pimbi
 
Waliotaka pesa ni CCM, lawama kwa Magufuli.😳

Hapa ndipo watanzania tunapobugi step.
Mchawi ni CCM kwa ujumla wake kumlaumu JPM pekee yake ni kuhalalisha uwepo wa CCM na uovu wake.
 
Acheni kutetea ujinga hivi kwanini fifa wamemfungia Malinzi na kumpiga faini, nani hajui Malinzi aluvyoshiriki kuiba Hela za wastaafu Kwa kujifanya consultant ili nssf inunue jengo vyote hivyo vipi kwenye ripoti ya cag.
JPM pamoja na mabaya yake aliwashikisha adabu baadhi ya majizi kama Malinzi
 
Watu dizaini ya mbowe wapo wachache,hata mbowe kuna siku alijikuta anamsifia jiwe kwa uoga.Lissu pekee ndio kidume nchi hii,mbowe hamfikii Lissu kwa ujasiri
Ila kuna watu wana roho ngumu nyie ,mali za Mbowe zilizoharibiwa ni billion kadhaa za shilingi ila yupo tu anapambana ,aisee kwa mtu mwenye roho fupi angepigwa na stroke ,kuanzia miradi yake ya greenhouses farms za mboga na matunda Kule Machame ,uje club billcanas ,bank accounts kuwa freezed , hoteli za kitalii zake kule Arusha na moshi kupigwa ban ,nyie
Magufuli ni zaidi ya ibilisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…