Hayati Magufuli alivyoifilisi familia ya Jamal Malinzi

Hayati Magufuli alivyoifilisi familia ya Jamal Malinzi

Kwa kanuni za FIFA, serikali iwakamate kiuonevu alafu wakae kimya? Tukubali sisi sote tuna mapungufu na hayo mapungufu ndio hutumika na adui pale anapokuta mlango upo wazi.
Kulikuwa na makosa ya kiuhasibu kweli ambayo hata FIFA hawayaungi mkono,ishu ni kulipa plea bargain kwa pesa ambazo sio za serikali
Ndio maana mahakamani alipigwa faini ambapo FIFA waliona ni sawa
 
Sio kweli. Malinzi alishakula keki yake kwa kuifisidi TFF. Akaambiwa alizochuma zimemtosha, atafute shughuli nyingine ya kufanya, akajiona mwamba. Akakomaa; akagombea kwa kipindi cha pili.

Kilichompata hatokisahau maishani...
unamjua karia? unajua wallece karia anafanya kazi gani wewe
 
Uingereza ilipomtuhumu Chenge kwa kutafuna mpunga wa Rada na JK kutochukua hatua watanzania povu liliwatoka, JPM kuchukua hatua kwa tuhuma za FIFA kwa Malinzi wa Tanzania hao hao povu linawatoka(hawajui wanachokitaka).
Km makosa ya Malinzi yangekua madogo km mtoa mada anavyotaka kutuaminisha FIFA isingemfungia kwa miaka 10, ingemfungia angalau kwa miaka miwili...
Rushwa ni Rushwa na sheria zake ni zile zile kwa private & public sekta, malinzi kulipa faini kwa kutafuna pesa za FIFA haina excption in the eyes of Laws.
 
Uingereza ilipomtuhumu Chenge kwa kutafuna mpunga wa Rada na JK kutochukua hatua watanzania povu liliwatoka, JPM kuchukua hatua kwa tuhuma za FIFA kwa Malinzi wa Tanzania hao hao povu linawatoka(hawajui wanachokitaka).
Km makosa ya Malinzi yangekua madogo km mtoa mada anavyotaka kutuaminisha FIFA isingemfungia kwa miaka 10, ingemfungia angalau kwa miaka miwili...
Rushwa ni Rushwa na sheria zake ni zile zile kwa private & public sekta, malinzi kulipa faini kwa kutafuna pesa za FIFA haina excption in the eyes of Laws.
Ukisoma. Vizuri tatizo sio kukamatwa bali hela za Fifa kulipwa kwa DPP na hazijulikani zilipo
 
Duh...!. Japo sina any facts for or against to substantiate the facts of this story, but I seriously doubt the correctness of these facts presented here kwasababu familia ya Malinzi tunaifahamu, milioni 800 ni kama punje tuu ya mchele kwa familia hiyo, ni familia ya wacha Mungu wanao mtanguliza mbele Mungu kwenye kila kitu, hivyo Jamal hakutoka kwa plea bargain, kwasababu ya uadilifu.
Sorry siamini hii story!.
Bila kujali ukweli wa stori yenyewe, lakini inawezekana mtu atoke "kwa sababu ya uadilifu" wakati alikuwa hajafungwa rasmi?!

Kumbukumbu zangu zinaonesha kwa muda mrefu, Jamal alikuwa tu mahabusu na siku ya hukumu ndipo akahukumiwa kwenda jela miaka 2 au faini Sh 500K, na Jamal na mwenzake wakalipa faini.

Sasa hebu tafakari....

Tangu lini kesi ya kughushi na money laundering faini yake ikawa 500K za Kitanzania?!

Kwa hukumu hiyo, bila kujali maelezo mengine ya stori, nashawishika kuamini alitoka kwa plea bargain!

Don't forget, hukumu zile ilikuwa husikii kwamba ni "plea bargain" bali wanamalizana na wewe juu kwa juu kisha hakimu anaenda kumalizia formalities tu, kama hizo za kupigwa faini 500K!
 
Bila kujali ukweli wa stori yenyewe, lakini inawezekana mtu atoke "kwa sababu ya uadilifu" wakati alikuwa hajafungwa rasmi?!

Kumbukumbu zangu zinaonesha kwa muda mrefu, Jamal alikuwa tu mahabusu na siku ya hukumu ndipo akahukumiwa kwenda jela miaka 2 au faini Sh 500K, na Jamal na mwenzake wakalipa faini.

Lakini kwa upande mwingine, hebu tafakari....

Tangu lini kesi ya kughushi na money laundering ikawa faini yake ni 500K za Kitanzania?!

Kwa hukumu hiyo, bila kujali maelezo mengine ya stori, nashawishika kuamini alitoka kwa plea bargain!

Don't forget, hukumu zile ilikuwa husikii kwamba ni "plea bargain" bali wanamalizana na wewe juu kwa juu kisha hakimu anaenda kumaliza formalities tu kama hizo za kupigwa faini 500K!
Lets suppose this is true, kwa tunaoijua familia ya Malinzi, TZS 800 M, ndio iwe pesa ya kuifilisi familia hii?!. Kwa net worth yao, hiyo ni hela ya mboga tuu!.
P
 
Lets suppose this is true, kwa tunaoijua familia ya Malinzi, TZS 800 M, ndio iwe pesa ya kuifilisi familia hii?!. Kwa net worth yao, hiyo ni hela ya mboga tuu!.
P
Kwa bahati mbaya hilo siwezi kulizungumzia with confidence coz' sifahamu lolote kuhusu familia hii na mitikasi yao!

Lakini labda tutumie kidogo common sense....

Tuchukulie hiyo ni "pesa ya mboga" tu... je, hiyo pesa ya mboga tu inaweza kuwa ni % ngapi ya ukwazi wao wote?! 1%, 2%, 5%, au 10%?

And remember, kama ni 800M basi the whole saga from Day 1 hadi anatoka itakuwa ni 800M + Other Saga Costs, especially Mawakili. Na kwa kariba ya mtu ambae 800M ni pesa ya mboga tu, bila shaka alikuwa na Expensive Attorneys!

Tufanye saga lilimgharimu a total 1B... CASH... I repeat, CASH!! Cash itakuwa ama benki au kwenye vibubu but CASH!

Katika hali ya kawaida mtu anaweza kuwa tajiri lakini asiwe na cash kubwa kiasi hicho...

Na ili apate kiasi kikubwa kiasi hicho, hapo ndipo unalazimika ku-dispose baadhi ya assets zako out of desperation, and most likely, uta-dump at below the market price!!

Je, hata kama ni tajiri, hudhani hapo unaweza kuterereka japo kidogo?! Kwamba, hata kama kilichokatika maungoni mwako sio mguu basi angalau ncha ya kidole cha mwisho, itakuwa imekatika?

Hapo hapo changanya na changamoto zingine za Kibiashara ambazo majority wakati ule walikuwa wakilalamika kufa kwa biashara zao tena bila ya kukumbwa na yaliyokuwa yamemkumba Jamal!
 
Kwa bahati mbaya hilo siwezi kulizungumzia with confidence coz' sifahamu lolote kuhusu familia hii na mitikasi yao!

Lakini labda tutumie kidogo common sense....

Tuchukulie hiyo ni "pesa ya mboga" tu... je, hiyo pesa ya mboga tu inaweza kuwa ni % ngapi ya ukwazi wao wote?! 1%, 2%, 5%, au 10%?

And remember, kama ni 800M basi the whole saga from Day 1 hadi anatoka itakuwa ni 800M + Other Saga Costs, especially Mawakili. Na kwa kariba ya mtu ambae 800M ni pesa ya mboga tu, bila shaka alikuwa na Expensive Attorneys!

Tufanye saga lilimgharimu a total 1B... CASH... I repeat, CASH!! Cash itakuwa ama benki au kwenye vibubu but CASH!

Katika hali ya kawaida mtu anaweza kuwa tajiri lakini asiwe na cash kubwa kiasi hicho...

Na ili apate kiasi kikubwa kiasi hicho, hapo ndipo unalazimika ku-dispose baadhi ya assets zako out of desperation, and most likely, uta-dump at below the market price!!

Je, hata kama ni tajiri, hudhani hapo unaweza kuterereka japo kidogo?! Kwamba, hata kama kilichokatika maungoni mwako sio mguu basi angalau ncha ya kidole cha mwisho, itakuwa imekatika?

Hapo hapo changanya na changamoto zingine za Kibiashara ambazo majority wakati ule walikuwa wakilalamika kufa kwa biashara zao tena bila ya kukumbwa na yaliyokuwa yamemkumba Jamal!
Nakubali yote, the heading should be, "alivyoigharimu" na sio "kuifilisi".
P
 
😆 😆 😆 😆 Bhna we kweli jpm alikuwa na mapungufu mengi lakini malinzi alikuwa na matumizi ya hovyo ya pesa pale tff sasa kwenye upigaji alipiga sana kuhamisha ofisi karume kupeleka posta, kujenga uwanja huko kwao bado manunuzi yasiyo ya na msingi ni mengi
 
Nakubali yote, the heading should be, "alivyoigharimu" na sio "kuifilisi".
P
Sure... nakubaliana na wewe

Neno "kuifilisika" ni zito sana hususani kama mtu hana full data, na kwa mazingira hayo, neno "...gharimu" lingekuwa ndo muafaka zaidi hata kama "kugharimu" huko kulifikia hatua ya kufilisika kabisa!
 
kama sasahivi mnavyomrushia vijembe Dr Bashiru baada ya kuwapa ukweli mchungu
Ukweli upi alionipa mie kwangu Hana jipya

Sema kawapa kweli CCM wenzake

Tatizo letu kuu kama taifa ukiwa ndani ya serikali na chama unakuwa hauna uwezo kukosoa na ukitolewa akili inakujaa unaufahamu na wajibu wako

Mie nipo nafurahia yanayoikuta CCM na wanachama wake
 
Okay JPM Mbaya kweli kweli !!!!

Je huyu Jamaa hakupiga Pesa ? Alisingiziwa ?, Na hawa wapigaji wanaopenya kwenye tundu la sheria tutawabana vipi ?

Rugemalira hakutuingiza kwenye Tafrani linalotutafuna mpaka leo (lakini watu leo wanamuita shujaa)

Lowassa Je, Rostam Je ? Kinana je ? Au ufisadi unategemea wakati na mtu na mtu ?; Kweli anayeweza kuokoa hili taifa sio mwanasiasa, mlamba asali au mlamba makombo ya asali..., bali mwananchi mwenyewe siku atakapopata uelewa na kuacha ubinafsi wa kupewa makombo na kusahau wenzake / taifa

Na Uzalendo ni msamiati usio na maana kizazi hiki chenye upeo wa urefu sawa na pua zao....
 
Back
Top Bottom