Hayati Magufuli alivyomponza Mfugale mpaka akafa kwa presha

Hata ni mimi nakupoteza tu.
Ndio maana tunawapinga hii Nchi sio yenu pekee hata sisi Wapumbavu pia ni yetu.

Na huwezi kuuwa kinyume na sheria hii Nchi inasheria zake na katiba

Tutamuunga mkono Samia pale atakapofuata utawala wa sheria na katiba.
 
Ndio maana tunawapinga hii Nchi sio yenu pekee hata sisi Wapumbavu pia ni yetu.

Na huwezi kuuwa kinyume na sheria hii Nchi inasheria zake na katiba

Tutamuunga mkono Samia pale atakapofuata utawala wa sheria na katiba.
Ndio na 2025 hata sisi machadema tutaungana na ccm kumpitisha kwa kishindo Samia ili kumkomoa marehemu jiwe!

Lisu tupa kule yani.
 
Salute kwako
 
hayo ni majungu tu kama ulikuwa na chuki binafsi ungeandika hayo wakati yuko hai.angewezaje kuzipa fedha hizo taasisi zilizo jaa majizi matupu.kwani baada ya JPM kufa hizo taasisi ziko salama,zinafanya kazi kwa uadilifu?10% tanroads zimeish au kupungua.Temesa ukiritimba umeisha?mbona hamsemi yale mazuri yake aliyoyafanya mnaandika mabaya tu?
 
Hakuna mwanaccm asiye jizi wa fedha za umma. Wanatofautiana urefu wa wizi tu ila wote majizi matupu.
 
Wewe andika mazuri yake sie tuandike upande wa pili ,
 
Siku mkiniambia pesa alikusanya Magufuli zilipo ndio tutaelewana ,bila kuonyesha pesa zilikofichwa na ukizingatia kafa na maadui zake wanapambana kuua legacy yake,kwanini asiumbuliwe kwa wizi wa fedha na mali alizopora?,zipo nchi gani?bongo zenu zimejaa kaswende sugu
 
Subiri tu kila kitu kitaanikwa just a matter of time
 
Nasikia kuna mambo huwa yanasemwa mtu akifa. Akiwa hai ni BIG NO!

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
 
Aliyesema Mfugale alikufa kwa presha nani?
 
 

Attachments

  • Screenshot_20211029-110122.png
    234.4 KB · Views: 4
Mkuu

Nadhani unamjibu voicer sio!?Ili kupata legitimacy fulani ya utawala uliopo au ujao mliopanga ninyi wenyewe!?

TumainiEl aliwahi andika Kuwa ni hatari Sana KWA Taifa TISS ikiwa kwenye blocks!!

Kwamba watakuwa loyal KWA ALIEPO,KWA wapinzani,au KWA Mstaafu mwenye NGUVU au KWA mgombea ajaye anaewania na wote kuahidiwa mashavu KWA KILA mhusika anaempigania!!!

Mungu IBARIKI NCHI YANGU Tanzania
 
Acha awakumbushe wote wenye nia kama ya hao aliowataja ili wawe na hofu ya Mungu
 
Haya wewe mtu WA MAANA NA MJANJA unakipi ambacho umelisaidia hili taifa la watunga maneno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…