mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Leo nimeukmbuka wimbo wa Super Rainbow ulioimbwa na Eddy Sheggs ¶akafatia na kuweka chumvi kwenye chai,tulikuwa na wageni wakatoka bila kuaga,akafatia na kuweka sukari kwenye mboga tukaona haviliki tukalala na njaa.¶
Back to the topic...uajua waafrika wengi ukifikisha umri wa kustaafu Miaka 56-60 magonjwa ya presha na kisukari huwa hayachezi mbali.
Sina uhakika kwa JPM ikuwaje ila ninachojuaalikuwa ameshauriwa apunguze matumizi ya chumvi kwenye chakula .
Niwarudishe nyuma kidogo.
Kopindi cha Hayati JK Nyerere ni kama kulikuwa na Ikulu mbili,ya msasani na ile ya magogoni,kuna baadhi ya shughuli alizifanyia msasani,moja ya hizo shughuli ni kuitwa kwa viongozi walioboronga kwenda kujieleza.
Enzi hizo kiongozi akiambiwa anaitwa Msasani anajua kama sio kufokewa basi ni kutumbuliwa,ilikuwa ni bora uitwe magogoni,viongozi wengi walikuwa wakisikia neno msasani mapigo ya moyo yanaongezeka,wengi walienda na LandRover au Peugeot za serikali wakarudi kwa miguu mpaka nyumbani..
Jibxo basi kulikuwa na wapishi pande zote msadani na magogoni,sio wapishi tu bali wahudumu wa Ikulu kiujumla.
Mara nyingi lunch alikula magogoni na dinner akalia msasani..
Sijui kuhusu mwinyi ila Mkapa alipoingia madarakani alijenga makazi rasmi ya Rais pembeni ya jengo kubwa la Ikulu.
Wapishi na wahudumu wote waliishia huko.hilo jengo lipo ndani ya fence ya ikulu kama unaelekea kwa mkemia mkuu au hospitali ya OceanRoad.
Sasa basi baada ya JPM kuingia madarakani kazi ya kumpikia chakula ikaanza.siku ya kwanza akanote kuwa chakula kina chumvi nyingi akatoa maagizo kuwa chimvi ipunguzwe.
Ikumbukwe ikulu kuna mtu analipwa mamilioni kwa kazi ya kuonja chakula cha mkuu dakika kadhaa kabla ya mkuu kula na hujulikana kwa jina la Tester.
Kwa hiyo huxu Tester nae alikuwa aware na hiyo order.
Siku chache za mwanzo mambo yakawa safi,ila kuna siku ndani ya wiki mbili tangu kuapishwa,chumvi ikazidi kwenye chakula,JPM akawaita wasaidizi wake wamuite mpishi wa zamu na Tester,yule mpishi machale yalishamcheza e kuambiwa unaitwa tu mapigo ya moyo yakaenda mbio mbio mpaka JPM akawa anayasikia.
Ila kwa vile Jom alikuwa mtu wa huruma akaagiza huyo mpishi na tester watafutiwe kazi nyingine.
Kesho yake akatangaza kwenye vyombo vya habari kuwa anaivunja timu ya waoishi na atapikiwa na mke wake nama yetu Janet,sababu alizotoa ni kuwa ni kubana matumizi.nadhani mnakumbuka hii kitu
Ila ukweli halisi aliongea vole kwa hasira tu,kitengo cha wapishi hakikuvunjwa na haiwezekani kuvunjwa,kiliendelea kuwepo mpaka mauti ilipomkuta ila walikuwa makini sana na chumvi kwenye chakula.
Mke wa Rais anaweza kumpikia mumewe ila sio mara zote maana na yeye xuko busy sana.
Sikumbuki yule baba mpishi alipelekwa kitendo gani baba wa watu
Back to the topic...uajua waafrika wengi ukifikisha umri wa kustaafu Miaka 56-60 magonjwa ya presha na kisukari huwa hayachezi mbali.
Sina uhakika kwa JPM ikuwaje ila ninachojuaalikuwa ameshauriwa apunguze matumizi ya chumvi kwenye chakula .
Niwarudishe nyuma kidogo.
Kopindi cha Hayati JK Nyerere ni kama kulikuwa na Ikulu mbili,ya msasani na ile ya magogoni,kuna baadhi ya shughuli alizifanyia msasani,moja ya hizo shughuli ni kuitwa kwa viongozi walioboronga kwenda kujieleza.
Enzi hizo kiongozi akiambiwa anaitwa Msasani anajua kama sio kufokewa basi ni kutumbuliwa,ilikuwa ni bora uitwe magogoni,viongozi wengi walikuwa wakisikia neno msasani mapigo ya moyo yanaongezeka,wengi walienda na LandRover au Peugeot za serikali wakarudi kwa miguu mpaka nyumbani..
Jibxo basi kulikuwa na wapishi pande zote msadani na magogoni,sio wapishi tu bali wahudumu wa Ikulu kiujumla.
Mara nyingi lunch alikula magogoni na dinner akalia msasani..
Sijui kuhusu mwinyi ila Mkapa alipoingia madarakani alijenga makazi rasmi ya Rais pembeni ya jengo kubwa la Ikulu.
Wapishi na wahudumu wote waliishia huko.hilo jengo lipo ndani ya fence ya ikulu kama unaelekea kwa mkemia mkuu au hospitali ya OceanRoad.
Sasa basi baada ya JPM kuingia madarakani kazi ya kumpikia chakula ikaanza.siku ya kwanza akanote kuwa chakula kina chumvi nyingi akatoa maagizo kuwa chimvi ipunguzwe.
Ikumbukwe ikulu kuna mtu analipwa mamilioni kwa kazi ya kuonja chakula cha mkuu dakika kadhaa kabla ya mkuu kula na hujulikana kwa jina la Tester.
Kwa hiyo huxu Tester nae alikuwa aware na hiyo order.
Siku chache za mwanzo mambo yakawa safi,ila kuna siku ndani ya wiki mbili tangu kuapishwa,chumvi ikazidi kwenye chakula,JPM akawaita wasaidizi wake wamuite mpishi wa zamu na Tester,yule mpishi machale yalishamcheza e kuambiwa unaitwa tu mapigo ya moyo yakaenda mbio mbio mpaka JPM akawa anayasikia.
Ila kwa vile Jom alikuwa mtu wa huruma akaagiza huyo mpishi na tester watafutiwe kazi nyingine.
Kesho yake akatangaza kwenye vyombo vya habari kuwa anaivunja timu ya waoishi na atapikiwa na mke wake nama yetu Janet,sababu alizotoa ni kuwa ni kubana matumizi.nadhani mnakumbuka hii kitu
Ila ukweli halisi aliongea vole kwa hasira tu,kitengo cha wapishi hakikuvunjwa na haiwezekani kuvunjwa,kiliendelea kuwepo mpaka mauti ilipomkuta ila walikuwa makini sana na chumvi kwenye chakula.
Mke wa Rais anaweza kumpikia mumewe ila sio mara zote maana na yeye xuko busy sana.
Sikumbuki yule baba mpishi alipelekwa kitendo gani baba wa watu