Moja ya vitu ninavyompa heko JPM na vikiendelezwa basi Taifa linaweza kupoma ni WATU KUIOGOPA NA KUIHESHIMU DOLA..
yule Mwamba alifanya dola iogopwe na kuheshimika kiasi cha watu kuogopa kufanya ujinga hovyo hovyo wakiogopa kupotea na kuozea jela...Dola iliogopwa bwana asikwambie mtu Kama MUUZA UNGA ABDUL NA MKEWE WAMEKULA 30yrs @ na yule jamaa wa Tanga wa miaka nenda rudi YANGA OMAR kala naye 30yrs...ukizingua na kujifanya mjuaji unakula money laundering na uhujumu uchumi unapotea....ukijaribu kucheza na dola gizani michezo ya ajabu unapotea jumla...
RIP Nzilakende...zile itikadi za kimwamba ni muhimu sana kwa Taifa hili changa lililojaa majizi, majinga, mabinafsi, wazinzi, malaya nk..