Hayati Magufuli aliwezaje ku-trend kila siku??

Hayati Magufuli aliwezaje ku-trend kila siku??

Enzi za uhai wake, hayati Magufuli akiwa Rais wa awamu ya 5, aliweza kutrend kila siku. Aliweza kusikika jumatatu mpaka jumapili bila kuchoka.

Jumapili angeweza kwenda kanisani na TBC 1 wakarusha ibada.

Jumatatu angeweza kwenda soko la samaki feli.

Jumanne angeweza kwenda kumtumbua kigogo fulani.

Jumatano angeweza kuibukia Vingunguti machinjioni na kuangalia shughuli zote jinsi zinavyofanyika.

Alhamisi angeweza kusafiri kwa barabara kwenda Dodoma. Akifika Dumila anaweza akanunua mahindi na kupiga stori na wananchi.

Ijumaa angeweza kukagua ujenzi wa Ikulu mpya Chamwino.

Jumamosi angekuwa Chato na kuwa mubashara kwenye kijiwe cha kahawa na "wanyonge".

Matukio yote hayo yangekuwa mubashara/live na TBC1.

Nchi nzima alikuwa anazungumzwa mtu mmoja tu, jamaa aliwezaje yaani kuwa mubashara kila siku?? Au ndio ilikuwa hulka yake??
Halafu mwanangu wewe ni Edo Kumwembe😀😀😀😀😀
 
He was a leader. Aliiweka nchi yake kipaumbele, alihakikisha watanzania wanapata kile wanachostahili especially wannyonge. Kilichomfanya atrend ni ile work ethic alokuanayo sidhan ni kama yeye alikua na mawazo ya kupata fame au kujikweza. Hata kama ilikuepo ilikua in a positive way. Kwan kazi haikuonekana.?

He was a king [emoji1780] MAGu 4 life. Itatuchukua mda mref kupata mtu kama magu. Rest in peace [emoji120]
 
Enzi za uhai wake, hayati Magufuli akiwa Rais wa awamu ya 5, aliweza kutrend kila siku. Aliweza kusikika jumatatu mpaka jumapili bila kuchoka.

Jumapili angeweza kwenda kanisani na TBC 1 wakarusha ibada.

Jumatatu angeweza kwenda soko la samaki feli.

Jumanne angeweza kwenda kumtumbua kigogo fulani.

Jumatano angeweza kuibukia Vingunguti machinjioni na kuangalia shughuli zote jinsi zinavyofanyika.

Alhamisi angeweza kusafiri kwa barabara kwenda Dodoma. Akifika Dumila anaweza akanunua mahindi na kupiga stori na wananchi.

Ijumaa angeweza kukagua ujenzi wa Ikulu mpya Chamwino.

Jumamosi angekuwa Chato na kuwa mubashara kwenye kijiwe cha kahawa na "wanyonge".

Matukio yote hayo yangekuwa mubashara/live na TBC1.

Nchi nzima alikuwa anazungumzwa mtu mmoja tu, jamaa aliwezaje yaani kuwa mubashara kila siku?? Au ndio ilikuwa hulka yake??
Madikteta huwa wanataka kuwa subject of attention kila siku.

Alitaka vyombo vya habari vyote vimumulike yeye tu akifanya drama zake za kuhadaa wadanganyika wanyonge.
 
Acha hasira na kulia hovyo, kila Mtanzania mwenye akili nasisitiza mwenye akili timamu anajua Jiwe alikuwa muovu, yaani muongo, mwizi na muuaji, sasa unadhani kwa akili kama zako unaweza yaona hayo?
[emoji106][emoji106]
 
Mshairi wa kejeli wa enzi za Warumi, Juvenal, alisema, ni rahisi sana kuwatawala watu masikini na wajinga.

Wape mkate na sarakasi nyingi za kusherehekea. Wakijaza matumbo kwa mkate na kufurahia sarakasi, kamwe hawatahoji mambo ya msingi.

Wengi wetu sisi Watanzania tulipunjwa maana tumepewa sarakasi bila mkate, tumezisherehekea sana, na mpaka leo wengi tunazi miss bado.
 
Swali gumu !! Umewaza sana lakini ndivyo ilivyokuwa !
Hakuna swali gumu hapo. Kilichopo nikwamba ukiwa na cheo au hela za kulipa media kilasiku utaonekana kwenye vyombo vya habari. Ukitaka redio,TV, magazeti,majarida nk niwewetu na mamlaka yako ukiitumia kutoa amri zako au hela zako
 
Enzi za uhai wake, hayati Magufuli akiwa Rais wa awamu ya 5, aliweza kutrend kila siku. Aliweza kusikika jumatatu mpaka jumapili bila kuchoka.

Jumapili angeweza kwenda kanisani na TBC 1 wakarusha ibada.

Jumatatu angeweza kwenda soko la samaki feli.

Jumanne angeweza kwenda kumtumbua kigogo fulani.

Jumatano angeweza kuibukia Vingunguti machinjioni na kuangalia shughuli zote jinsi zinavyofanyika.

Alhamisi angeweza kusafiri kwa barabara kwenda Dodoma. Akifika Dumila anaweza akanunua mahindi na kupiga stori na wananchi.

Ijumaa angeweza kukagua ujenzi wa Ikulu mpya Chamwino.

Jumamosi angekuwa Chato na kuwa mubashara kwenye kijiwe cha kahawa na "wanyonge".

Matukio yote hayo yangekuwa mubashara/live na TBC1.

Nchi nzima alikuwa anazungumzwa mtu mmoja tu, jamaa aliwezaje yaani kuwa mubashara kila siku?? Au ndio ilikuwa hulka yake??
Huyu aliyekuwa anatembea na coverage ya TBC One 24 hours
 
Back
Top Bottom