Pia mjomba Magu alipanga malengo makubwa wakati pato la nchi likiwa dogo mno.Niliko mimi kuna miradi 3 mikubwa watu walipiga pesa Hadi saizi haijamalizika Ilikuwa ni ya wafadhili, hospital ,stand na VETA
Ndio maana waliacha kutoa pesa,wakitoa serikali yake inachukua inapeleka kwingine na upuuzi mwingine kama huo..
Nchi nyingi Sana zilikitoa kwenye kufadhili Tzn,kumbuka hata Millennium Challenge Corporation YA US nk nk.
Saizi hakuna sekta ambayo imelala mambo yote yamerudi kila sekta ni moto.
Utamfanyaje mkuu.....Dah akija tena patachimbika
Anashika kila kitu mwishowe hakuna alichokamikisha 😁😁.Pia mjomba Magu alipanga malengo makubwa wakati pato la nchi likiwa dogo mno.
Kwa mfano kodi iliangiza kiasi cha Trillion 13 kwa mwaka lakini bajeti ni Trillion 30.
Akaishia kupeleka pesa ndogo sana baadhi wizara .
Hata pale alipodai watalii watakuja Bongo wakati wa Corona ilipokuwa imepamba moto nchi za magharibi,huku akijua kuwa Tanzania was on black list ya nchi nyingi zilizokuwa zinaleta nchini watalii.Isitoshe kulikuwa na lockdown kwenye nchi zao.
Wakati nchi kama South Africa na Kenya zikipewa msaada wa kiuchumi sababu uchumi wa nchi hizo vinara wa uchumi Afrika, kuadhirika na janga Corona ulimwenguni,mjomba Magu akapuyanga kivyake bila muelekeo.
Tafsir ya neno shujaa tafadhali! Naona linatumika holela holela tu.Yule mwamba ni SHUJAA hasa. VIVA MAGUFULI
Alikunyamazisha weweTangu nikiwa mdogo nilipenda kufuatilia visa vya viongozi waliotawala kwa mkono wa chuma kama vile Stalin, Mussolini, Lenin, Hitler, Suharto, Iddi Amin, Mobutu, Kagame, Bokassa na wengineo.
Nikawa najiuliza hawa wababe waliwezaje kuwanyamazisha wananchi wao kirahisi wasipate watu wa kuwapinga?
Hata nikadhani labda wananchi wao ni mazezeta.
Ila alichotufanya bwana yule nilikuja kuelewa somo kwa vitendo, nilipenda sana story za hawa wababe ila ghafla nilijikuta nabadili mtazamo wangu.
Kiukweli kabisa watanzania wote tuliufyata kasoro mtu mmoja tu Tundu Lissu nadhani kwa sababu alishaonja kuzimu labda akaona kumbe hakutishi kivile, tuliobaki tukubali tuliufyata mpaka wengine kufikia kumuita Mungu, nikikumbuka nacheka mwenyewe.
Mikono yao inanuka damu za watuUnadhani akina Kingay vile vyeo walivipata bure?
Saizi hakuna kitu inaitwa wanyonge.
Tulishazoea kupelekwa mbio mbio, mama aongeze ukali[emoji23][emoji23]Kwahiyo Mama Yetu yuko perfect UHURU ni wa kutosha na Freedom of Speech kama yote ?
Uchapa kazi wake wa kizalendo ndiyo sababuTangu nikiwa mdogo nilipenda kufuatilia visa vya viongozi waliotawala kwa mkono wa chuma kama vile Stalin, Mussolini, Lenin, Hitler, Suharto, Iddi Amin, Mobutu, Kagame, Bokassa na wengineo.
Nikawa najiuliza hawa wababe waliwezaje kuwanyamazisha wananchi wao kirahisi wasipate watu wa kuwapinga?
Hata nikadhani labda wananchi wao ni mazezeta.
Ila alichotufanya bwana yule nilikuja kuelewa somo kwa vitendo, nilipenda sana story za hawa wababe ila ghafla nilijikuta nabadili mtazamo wangu.
Kiukweli kabisa watanzania wote tuliufyata kasoro mtu mmoja tu Tundu Lissu nadhani kwa sababu alishaonja kuzimu labda akaona kumbe hakutishi kivile, tuliobaki tukubali tuliufyata mpaka wengine kufikia kumuita Mungu, nikikumbuka nacheka mwenyewe.
Walao umekuja na justification nzr, ndo maana ya administration, kila mfumo wa uongozi unahasara zake na faida zake Ila kwa ujuma jpm alifanya 90% best na 10 kwa makosa au udhaifu wa kibindam, na kwa Sasa tumerudi kwa kasi hatujamaliza hata mwaka nw kila kitu kimerudi, watu wanaiba bila woga, huku wanyonge ndo wanaishi Kama digidigi, bidhaa zimepanda ukigeuka huku umeme mgao, hujakaa sawa sijui wakulima na wafugaji wanuana yaan tulishasahau, Jambo ambalo naona wameshindwa kulimudu Ni la chanjo asee hyo semina aliyo toa JPM haijaondoka kabisa na for the real hapo jpm ndo alithibitisha he was PRESIDENT kabisa, yaan kiukwel huwa nikitafakal swala la Corona na namna ambavyo wengine walishughulikia asee acha Mungu aitwe MUNGU kumtumia JPMOfcourse alichofanya JPM nikuondoa ties za biashara kwenye manunuzi ya serikali zikafa natural death...Na hata sasa tukirudia hilo kosa huo uchumi ni fake na ndiyo mwanzo wa ufisadi kwakua watu wote watabakia kwenye service sector badala ya kwenda kwenye production...Kosa pekee la awamu ya tano ni kuiondoa serikali ghafla pasipo kutengeneza smooth transiformation ya capital transfer kwenda kwenye private sector ili ijitegemee na ikaanzishe productions firms in favour of service sector firms...Mh. alikuwa anatumia common sense badala ya expertize kwenye reforms...Haina maana alikuwa na dhamira mbaya lakini alikuwa over ambitious na akawa akawa hamwamini mtu kutokana na uzoefu wake wa serikalini ambapo alifahamu ufisadi ulikuwa mkubwa.
Hujaelewa vzr hzo pesa hazikuliwa b4 magu zikikuwa Kama pending hv na baada ya kuona JPM hayupo ndo wakazikula, fuatilia maelezo vzr, wameshajua sickness ya mama kwamba wakiharib hapa wanapelekwa kule, assume, mzee angekuwepo halafu Leo ndo iko hvyo Kwanza angefukuza woteeee na ndani palikuwa panawahusu, acahana na jpm yule Ni jiwe kwel kwelKwa hiyo ukifanya kuondoa hizo ties ndio uchumi ungekufa au? [emoji2][emoji2]..
Saizi Wabunge wa Mara wanamsimulia Rais jinsi pesa za mgodi wa Mara zilizopelekwa Tarime DC zilivyopigwa,wodi 2 nazo mbovu zimetumia.zaidi ya sh.Bil 1,toka mwaka juzi na Mzalendo alikuwepo [emoji2][emoji2]..
Wajinga ndio mlikuwa mnaliwa kwa kuitwa wanyonge [emoji1787][emoji1787]
Hebu tupe timeline pesa zilitoka lini, na kwanini awamu ya tano waziache tu ziwe pending hazifanyi kazi?Hujaelewa vzr hzo pesa hazikuliwa b4 magu zikikuwa Kama pending hv na baada ya kuona JPM hayupo ndo wakazikula, fuatilia maelezo vzr, wameshajua sickness ya mama kwamba wakiharib hapa wanapelekwa kule, assume, mzee angekuwepo halafu Leo ndo iko hvyo Kwanza angefukuza woteeee na ndani palikuwa panawahusu, acahana na jpm yule Ni jiwe kwel kwel
Mkuu si usikilize hotuba?? Mbna rahis t??Hebu tupe timeline pesa zilitoka lini, na kwanini awamu ya tano waziache tu ziwe pending hazifanyi kazi?
Umeandika upuuzi huu huku ukiwa kwenye giza totoro ukisubili kurudishiwa umeme wa mgao kipindi cha mvua nyingi.Ridhiwani Kikwete aliwahi kuhojiwa na Millard Ayo kuhusu mzee wake JK alipokuwa madarakani na alikuwa anatukanwa na kuchorwa vibaya yeye alikuwa anaichukuliaje??
Riz alisema ukweli ni kwamba ilikuwa inamkera sana kiasi ya kwamba alienda kumhoji mzee wake kwa nini anawaacha watu wanamkejeli na kumdhalilisha namna Ile na kwa nini hawashughulikii?
Mzee Kikwete alimwambia kwamba laiti angejua madaraka na nguvu aliyonayo Rais na akiamua kuyatumia basi hakuna atakayekuwa salama hata kidogo. Alimaanisha kwamba ana nguvu kubwa sana yeye kama Rais Ila wacha tu watu wamdhihaki sababu mtu anayeweza kumshika sharubu Simba hakika hajui Simba anaweza kumfanya kitu gani ndani ya sekunde moja tu.
Sasa Magufuli alikuwa ana ambition kubwa ya kuongoza nchi kwa kupeleka mambo haraka na the way anavyotaka, alipokuja kugundua hayo madaraka na nguvu aliyonayo akatamani kuzitumia na akaona namna watu wanavyotetemeka akipita sehemu akatamani atumie hizo nguvu kupeleka Mambo yaende.
Akazima bunge, Mahakama, waandishi au vyombo vya habari, akafumua mfumo wa utumishi wa umma, Yani akavuruga kila anachotaka hii sasa ilitokana na kujua kwamba Rais anaweza kufanya chochote.
Kwa nguvu hiyohiyo akageuka kuabudiwa sababu walitaka wale pesa yake waligundua ili waweze kula lazima wamsifie na kumhonga cheo Cha Mungu, wengine Kama sheikh Alhad wa Dar alisema Magufuli ni zaidi ya Yesu na jamaa likawa linaenjoy sana vile vyeo.
Mwishowe akalewa ule ukuu akataka atukuzwe maana walishamzoesha kumtukuza Hadi makanisani, viongozi wa dini karibu wote walimtukuza na aliyejaribu kumkosoa aliipata kisawasawa. Na pale ndipo kila aliyemkosoa alikuwa anapotezwa maana aliona yeye hawezi kukosolewa na hakutaka kukosolewa maana alishalewa ushamba wa madaraka.
Utaona kile kikosi kilichoundwa na Makonda kikiwa na jukumu la kutesa na kuua wote waliompinga na kumkosoa Magufuli kilianzishwa kwa usiri sana na kutekelezwa ushenzi mkubwa mno.
Kwa namna Ile hakuna ambaye angeweza kujitetea mbele yake ndio maana hakuwa anasikiliza hoja ya mtu yeyote akija anataka yeye aongee na mtekeleze whether you like it or not.
Hii ndio ilipelekea Hadi akataka aongoze milele lakini Mungu wa Watanzania ni Mungu wa Kweli, mnamo tarehe 17/3/2021 historia ikaanza kuandikwa upya baada ya kumpatia kifo yule fedhuli.
Sasa ukiangalia history ya madikteta wote Kama Hitler, Stalin, Pinnochet akina Mobutu, Idd Amin, Bokasa nk walikuwa na style ya kutengeneza watu wanaowapraise na wale waliowapraise waliishi vizuri sana .
Hiyo ilikuwa lazima wawepo ili waweze kusurvive kiunafiki sababu Hawa madikteta walijua kabisa hawakubaliki na hawapendwi nje na ndani ya nchi zao. Na ndio maana wanafanana kila kitu mfano, hawakusafiri nje ya nchi zao hovyo, hawakuruhusu mtu aripoti mambo ya nchini kwao na waliruhusu ripoti zinazowasifia na kuonyesha mambo ni shwari sana, nk.
Magufuli was one hell of the dictator ukifuatilia tabia za madikteta.
Unaasume kila mmoja ana shida Kama ulizokulia wewe na babu zako you are such a fool.Umeandika upuuzi huu huku ukiwa kwenye giza totoro ukisubili kurudishiwa umeme wa mgao kipindi cha mvua nyingi.
[emoji134][emoji134]Unaasume kila mmoja ana shida Kama ulizokulia wewe na babu zako you are such a fool.
Endelea kuteseka mbwa wewe mlizoea vya kunyonga. Yani umri huu afrika unalalamika umeme? Nunua Solar as backup system acha ufala .
Kwani kwa babako so mnawasha koroboi inawatosha kumulika kuleni ugali wa Dona mkalale chumba kimoja watoto Saba .
Acha kuishi kwa mazoea Magufuli ameshakufa amka mzee hakuna wa kumlilia Mungu wenu kafa.
You are on your own, wenzio tukiona hakuna lami tunanunua landcruiser, ukiona hakuna dawa unaagiza online, ukiona hakuna umeme just buy a backup system, acha kulialia mnyonge. Wakati huu wanyonge zamu yenu kuishi Kama mashetani mbwa nyie
Tangu nikiwa mdogo nilipenda kufuatilia visa vya viongozi waliotawala kwa mkono wa chuma kama vile Stalin, Mussolini, Lenin, Hitler, Suharto, Iddi Amin, Mobutu, Kagame, Bokassa na wengineo.
Nikawa najiuliza hawa wababe waliwezaje kuwanyamazisha wananchi wao kirahisi wasipate watu wa kuwapinga?
Hata nikadhani labda wananchi wao ni mazezeta.
Ila alichotufanya bwana yule nilikuja kuelewa somo kwa vitendo, nilipenda sana story za hawa wababe ila ghafla nilijikuta nabadili mtazamo wangu.
Kiukweli kabisa watanzania wote tuliufyata kasoro mtu mmoja tu Tundu Lissu nadhani kwa sababu alishaonja kuzimu labda akaona kumbe hakutishi kivile, tuliobaki tukubali tuliufyata mpaka wengine kufikia kumuita Mungu, nikikumbuka nacheka mwenyewe.
Chuki na marehemu hazitokusaidia....rudi shule memkwa upate cheti halali maisha ya kubumba bumba mzee Magu alishayazika.Unaasume kila mmoja ana shida Kama ulizokulia wewe na babu zako you are such a fool.
Endelea kuteseka mbwa wewe mlizoea vya kunyonga. Yani umri huu afrika unalalamika umeme? Nunua Solar as backup system acha ufala .
Kwani kwa babako so mnawasha koroboi inawatosha kumulika kuleni ugali wa Dona mkalale chumba kimoja watoto Saba .
Acha kuishi kwa mazoea Magufuli ameshakufa amka mzee hakuna wa kumlilia Mungu wenu kafa.
You are on your own, wenzio tukiona hakuna lami tunanunua landcruiser, ukiona hakuna dawa unaagiza online, ukiona hakuna umeme just buy a backup system, acha kulialia mnyonge. Wakati huu wanyonge zamu yenu kuishi Kama mashetani mbwa nyie