Ilimsaidia Sana kutoka kuwa na utaifa wa Nyerere,akaja Mwinyi na MKapa kutufundisha ubepari na kujitafutia vyetu,akaja JK ajatufundisha demokrasia,kuvumiliana na kujiajiri then akaja mwehu kavuruga kila kitu cha awali ,sasa tumeanza upya na Samia 😁😁
Pole JPM alikufanya nini