Hayati Magufuli aliwezaje kutunyamazisha Watanzania milioni 60?

Hayati Magufuli aliwezaje kutunyamazisha Watanzania milioni 60?

Miaka 60 ondoa ya JPM imemsaidia nini mtanzania wa kawaida….
Ilimsaidia Sana kutoka kuwa na utaifa wa Nyerere,akaja Mwinyi na MKapa kutufundisha ubepari na kujitafutia vyetu,akaja JK ajatufundisha demokrasia,kuvumiliana na kujiajiri then akaja mwehu kavuruga kila kitu cha awali ,sasa tumeanza upya na Samia 😁😁
 
Ilimsaidia Sana kutoka kuwa na utaifa wa Nyerere,akaja Mwinyi na MKapa kutufundisha ubepari na kujitafutia vyetu,akaja JK ajatufundisha demokrasia,kuvumiliana na kujiajiri then akaja mwehu kavuruga kila kitu cha awali ,sasa tumeanza upya na Samia 😁😁
Wewe ni mtoto wa Mama unakula bure,Jpm alifundisha watu kuchapa kazi,sio kutegemea kusaidiwa kila siku,kila mtu alikula kwa jasho lake mwenyewe,labda nyinyi mliokuwa na veti feki na wezi wa Mali za umma ndio mlipata shida,kama unabisha funga safari nenda mikoani usikie wanavyolia baada ya kifo cha Magufuri.
 
Wewe ni mtoto wa Mama unakula bure,Jpm alifundisha watu kuchapa kazi,sio kutegemea kusaidiwa kila siku,kila mtu alikula kwa jasho lake mwenyewe,labda nyinyi mliokuwa na veti feki na wezi wa Mali za umma ndio mlipata shida,kama unabisha funga safari nenda mikoani usikie wanavyolia baada ya kifo cha Magufuri.
Kazi gani utachapa ikiwa unaua uchumi? Kuchapa kazi hufundishwi kupo tuu automatically with incentives..

Kuchapa kazi hupati chochote inakusaidia nini? Ukiwa na tupesa kidogo bank mna ceace kwa visingizio vya Kodi na upuuzi kama huo.

Wanalia wakiwa nyumbani kwako au? Mbona Niko mkoani,mkoa gani huo wanakolia?
 
Tangu nikiwa mdogo nilipenda kufuatilia visa vya viongozi waliotawala kwa mkono wa chuma kama vile Stalin, Mussolini, Lenin, Hitler, Suharto Iddi Amin mobutu ,kagame,bokassa na wengineo.

Nikawa najiuliza hawa wababe waliwezaje kuwanyamazisha wananchi wao kirahisi wasipate watu wa kuwapinga?

Hata nikadhani labda wananchi wao ni mazezeta.

Ila alichotufanya bwana yule nilikuja kuelewa somo kwa vitendo,nilipenda sana story za hawa wababe ila ghafla nilijikuta nabadili mtazamo wangu.

Kiukweli kabisa watanzania wote tuliufyata kasoro mtu mmoja tu Tundu Lissu nadhani kwa sababu alishaonja kuzimu labda akaona kumbe hakutishi kivile, tuliobaki tukubali tuliufyata mpaka wengine kufikia kumuita Mungu, nikikumbuka nacheka mwenyewe
A live dog is better than a dead lion
 
Tangu nikiwa mdogo nilipenda kufuatilia visa vya viongozi waliotawala kwa mkono wa chuma kama vile Stalin, Mussolini, Lenin, Hitler, Suharto Iddi Amin mobutu ,kagame,bokassa na wengineo.

Nikawa najiuliza hawa wababe waliwezaje kuwanyamazisha wananchi wao kirahisi wasipate watu wa kuwapinga?

Hata nikadhani labda wananchi wao ni mazezeta.

Ila alichotufanya bwana yule nilikuja kuelewa somo kwa vitendo,nilipenda sana story za hawa wababe ila ghafla nilijikuta nabadili mtazamo wangu.

Kiukweli kabisa watanzania wote tuliufyata kasoro mtu mmoja tu Tundu Lissu nadhani kwa sababu alishaonja kuzimu labda akaona kumbe hakutishi kivile, tuliobaki tukubali tuliufyata mpaka wengine kufikia kumuita Mungu, nikikumbuka nacheka mwenyewe
Rais yeyote akiamua saiv mbona watz watanyamaza tu.kuna mtz anaeweza kukabiliana na mkono wa dola.
 
Tangu nikiwa mdogo nilipenda kufuatilia visa vya viongozi waliotawala kwa mkono wa chuma kama vile Stalin, Mussolini, Lenin, Hitler, Suharto Iddi Amin mobutu ,kagame,bokassa na wengineo.

Nikawa najiuliza hawa wababe waliwezaje kuwanyamazisha wananchi wao kirahisi wasipate watu wa kuwapinga?

Hata nikadhani labda wananchi wao ni mazezeta.

Ila alichotufanya bwana yule nilikuja kuelewa somo kwa vitendo,nilipenda sana story za hawa wababe ila ghafla nilijikuta nabadili mtazamo wangu.

Kiukweli kabisa watanzania wote tuliufyata kasoro mtu mmoja tu Tundu Lissu nadhani kwa sababu alishaonja kuzimu labda akaona kumbe hakutishi kivile, tuliobaki tukubali tuliufyata mpaka wengine kufikia kumuita Mungu, nikikumbuka nacheka mwenyewe
Mkuu hivi mkono wa chuma huwa ukoje! Mi sijawahi kumuona mtu ambaye mkono wake ni wa chuma kabisa. Huwa naskia watu wanasema mikono ya vyuma sielewagi kabisa. Au inawezekana na Mimi Nina mkono wa chuma Ila sijauchunguza vizuri
 
Kazi gani utachapa ikiwa unaua uchumi? Kuchapa kazi hufundishwi kupo tuu automatically with incentives..

Kuchapa kazi hupati chochote inakusaidia nini? Ukiwa na tupesa kidogo bank mna ceace kwa visingizio vya Kodi na upuuzi kama huo.

Wanalia wakiwa nyumbani kwako au? Mbona Niko mkoani,mkoa gani huo wanakolia?
Hakuna aliyekuwa anaishi maisha halali kipindi cha Magufuri akamchikia Magufuri,Magu alikuta wizi umekidhili,mpaka majizi walikuwa wanafuata watu kwenye daladala wanawanyanganya pesa zao kwa jeuli,Selikalini ndio usiseme,mpaka nchi jirani zilikuwa zimeisha acha kupitisha mizigo, sababu wizi wa watanzania,makontena yanapotelea njiani, petroleum wanachanganya na mafuta ya taa, mpaka Kikwete aliamua kupandisha mafuta ya taa ili kukomesha uchakachuaji.magufuli kwa kipindi chake vyote vilikoma,wote waliokuwa wakiishi kwa njia hizo wakainua chuki kwa Magufuri, kuwa ni mtawala mbaya, kumbe kaziba mianya ya wizi
 
Tangu nikiwa mdogo nilipenda kufuatilia visa vya viongozi waliotawala kwa mkono wa chuma kama vile Stalin, Mussolini, Lenin, Hitler, Suharto Iddi Amin mobutu ,kagame,bokassa na wengineo.

Nikawa najiuliza hawa wababe waliwezaje kuwanyamazisha wananchi wao kirahisi wasipate watu wa kuwapinga?

Hata nikadhani labda wananchi wao ni mazezeta.

Ila alichotufanya bwana yule nilikuja kuelewa somo kwa vitendo,nilipenda sana story za hawa wababe ila ghafla nilijikuta nabadili mtazamo wangu.

Kiukweli kabisa watanzania wote tuliufyata kasoro mtu mmoja tu Tundu Lissu nadhani kwa sababu alishaonja kuzimu labda akaona kumbe hakutishi kivile, tuliobaki tukubali tuliufyata mpaka wengine kufikia kumuita Mungu, nikikumbuka nacheka mwenyewe
Kichaa ashtakiwi popote ndo tatizo lilianzia hapo
 
Ila kwa miaka mitano tuliufyata kama misukule hata angesema kulala saa mbili tungelala
Ni kwa sababu hatupendi vurugu. Tuko tayari kunyamaza hata tukifanyiwa ndivyo sivyo. Waweza kusema ni mabwege, misukule na majina mengi tu ila waweza kusema Watanzania wana busara sana kwa kuchagua kunyamaza!
 
Tangu nikiwa mdogo nilipenda kufuatilia visa vya viongozi waliotawala kwa mkono wa chuma kama vile Stalin, Mussolini, Lenin, Hitler, Suharto Iddi Amin mobutu ,kagame,bokassa na wengineo.

Nikawa najiuliza hawa wababe waliwezaje kuwanyamazisha wananchi wao kirahisi wasipate watu wa kuwapinga?

Hata nikadhani labda wananchi wao ni mazezeta.

Ila alichotufanya bwana yule nilikuja kuelewa somo kwa vitendo,nilipenda sana story za hawa wababe ila ghafla nilijikuta nabadili mtazamo wangu.

Kiukweli kabisa watanzania wote tuliufyata kasoro mtu mmoja tu Tundu Lissu nadhani kwa sababu alishaonja kuzimu labda akaona kumbe hakutishi kivile, tuliobaki tukubali tuliufyata mpaka wengine kufikia kumuita Mungu, nikikumbuka nacheka mwenyewe
Aliweza kutunyamazisha kwa sababu alikuwa hana hofu ya Mungu yeye kuua kwake ilikuwa poa tu
Nahisi kwasababu alijua hata yeye hana maisha marefu, OGOPA SANA MTU ALIYEPOTEZA TUMAINI LA KUISHI MAISHA MAREFU. ANAWEZA KUONDOKA NA WW USIPOMUEPA
 
Thread imemtaja Kagame, nchi yake unaiona inavyokata mawinbi ya maendeleo?
Kwenye issue ya kagame Ni swala la muda tu hiyo nchi itarudi kuwa maskin wa kutupwa ,Rwanda Ni Kama nyumba ya vioo muda wowote jiwe likirushwa tu nyumba yote inashuka chini.
Niungane na mdau hakuna maendeleo endelevu chini ya uongozi wa kidikteta ,Libya saiz Wana Lia na kusaga meno.
Hapo Rwanda siku yakimkuta ya kumkuta tall man basi elewa ngoma itaanza upya ya watusi na wahutu.
 
Aliweza kutunyamazisha kwa sababu alikuwa hana hofu ya Mungu yeye kuua kwake ilikuwa poa tu
Nahisi kwasababu alijua hata yeye hana maisha marefu, OGOPA SANA MTU ALIYEPOTEZA TUMAINI LA KUISHI MAISHA MAREFU. ANAWEZA KUONDOKA NA WW USIPOMUEPA
Umenikumbusha miaka ya 90 kabla ya ARV kuna dereva mmoja alikuwa anaendesha gari spidi sna kumbe alikuwa na ukimwi,na kweli akaja kufa kwa ajali
 
Kwenye issue ya kagame Ni swala la muda tu hiyo nchi itarudi kuwa maskin wa kutupwa ,Rwanda Ni Kama nyumba ya vioo muda wowote jiwe likirushwa tu nyumba yote inashuka chini.
Niungane na mdau hakuna maendeleo endelevu chini ya uongozi wa kidikteta ,Libya saiz Wana Lia na kusaga meno.
Hapo Rwanda siku yakimkuta ya kumkuta tall man basi elewa ngoma itaanza upya ya watusi na wahutu.
Uko sahihi kabisa
 
Hakuna aliyekuwa anaishi maisha halali kipindi cha Magufuri akamchikia Magufuri,Magu alikuta wizi umekidhili,mpaka majizi walikuwa wanafuata watu kwenye daladala wanawanyanganya pesa zao kwa jeuli,Selikalini ndio usiseme,mpaka nchi jirani zilikuwa zimeisha acha kupitisha mizigo, sababu wizi wa watanzania,makontena yanapotelea njiani, petroleum wanachanganya na mafuta ya taa, mpaka Kikwete aliamua kupandisha mafuta ya taa ili kukomesha uchakachuaji.magufuli kwa kipindi chake vyote vilikoma,wote waliokuwa wakiishi kwa njia hizo wakainua chuki kwa Magufuri, kuwa ni mtawala mbaya, kumbe kaziba mianya ya wizi
Kwenda huko,mbona wewe hukufuatwa na kunyang'anywa pesa zako?

Kama Nchi jirani ziliacha kupitisha mizigo serikali ilitoa wapi pesa ya kuajiri na kuendeshea miradi? 😁😁.

Sasa Kwani uchakachuaji uliisha? Mbona wafanyabiashara walikimbia na wakaacha kuwekeza ilikuaje?

Una uhakika mianya iliisha au propaganda? Alitewaruhusu polisi kuomba rushwa barabara alikuwa nani?

Aliyebambikia watu pesa na hawafikishi mahakamani anadai walipe pesa alikuwa nani? Acha kuropoka mambo usiyoyajua wewe..

Halmashauri zilikuwa zinatumia pesa hovyo na hakuna cha Kuwafanya kwa sababu alijaza ndugu na maofisa usalama..DED ananunua gari ya zaidi mil.400 afu Rais anasema muache..

Vyombo vya habari marufuku kuripoti uozo wa serikali wala kukosoa,sisi tulio kwenye system tunajua rushwa ilivyokuwa inatembea wewe Kazi yako ni pambio za propaganda.
 
Kwenda huko,mbona wewe hukufuatwa na kunyang'anywa pesa zako?

Kama Nchi jirani ziliacha kupitisha mizigo serikali ilitoa wapi pesa ya kuajiri na kuendeshea miradi? 😁😁.

Sasa Kwani uchakachuaji uliisha? Mbona wafanyabiashara walikimbia na wakaacha kuwekeza ilikuaje?

Una uhakika mianya iliisha au propaganda? Alitewaruhusu polisi kuomba rushwa barabara alikuwa nani?

Aliyebambikia watu pesa na hawafikishi mahakamani anadai walipe pesa alikuwa nani? Acha kuropoka mambo usiyoyajua wewe..

Halmashauri zilikuwa zinatumia pesa hovyo na hakuna cha Kuwafanya kwa sababu alijaza ndugu na maofisa usalama..DED ananunua gari ya zaidi mil.400 afu Rais anasema muache..

Vyombo vya habari marufuku kuripoti uozo wa serikali wala kukosoa,sisi tulio kwenye system tunajua rushwa ilivyokuwa inatembea wewe Kazi yako ni pambio za propaganda.
Mjomba Magufuli alituhadaa wengi,hata CCM yenyewe aliwahadaa.Historia yake kabla ya kuwa mbunge ingetusaidia kumuelewa Mjomba Magu kabla ya kumpachika Uraisi.
Hata kama tungekuwa na katiba bora bado mjomba Magu asingeifuata,angetengeneza yake.
Ila kama angepewa ushauri wa kufufua viwanda vikubwa vya nguo na pamba agerudisha ajira nyingi sana badala ya kukimbilia kujenga makao makuu.
 
Mjomba Magufuli alituhadaa wengi,hata CCM yenyewe aliwahadaa.Historia yake kabla ya kuwa mbunge ingetusaidia kumuelewa Mjomba Magu kabla ya kumpachika Uraisi.
Hata kama tungekuwa na katiba bora bado mjomba Magu asingeifuata,angetengeneza yake.
Ila kama angepewa ushauri wa kufufua viwanda vikubwa vya nguo na pamba agerudisha ajira nyingi sana badala ya kukimbilia kujenga makao makuu.
Niliko mimi kuna miradi 3 mikubwa watu walipiga pesa Hadi saizi haijamalizika Ilikuwa ni ya wafadhili, hospital ,stand na VETA

Ndio maana waliacha kutoa pesa,wakitoa serikali yake inachukua inapeleka kwingine na upuuzi mwingine kama huo..

Nchi nyingi Sana zilikitoa kwenye kufadhili Tzn,kumbuka hata Millennium Challenge Corporation YA US nk nk.

Saizi hakuna sekta ambayo imelala mambo yote yamerudi kila sekta ni moto.
 
Mjomba Magufuli alituhadaa wengi,hata CCM yenyewe aliwahadaa.Historia yake kabla ya kuwa mbunge ingetusaidia kumuelewa Mjomba Magu kabla ya kumpachika Uraisi.
Hata kama tungekuwa na katiba bora bado mjomba Magu asingeifuata,angetengeneza yake.
Ila kama angepewa ushauri wa kufufua viwanda vikubwa vya nguo na pamba agerudisha ajira nyingi sana badala ya kukimbilia kujenga makao makuu.
Hiyo mali gafi ya kuendesha viwanda ulikuwa nayo? viwanda vyote vya nguo vilikuwa vimebinafishishwa na Mkapa na Kikwete,angelikwenda kuwanyanganya hivo viwanda ngelipiga makelele mpaka dunia ingejua Magufuri ni mbaya kuwai kutokea Tanzania, maana alijaribu kwenye madini maneno na vitisho vikawa vingi,mala tutashitawa miga,mala hoo dictator uchwala.Hata hivo serikali haijengi viwanda ila inaweka mazingira mazuri kwa wawekezaji,ndicho Magu alifanya.
 
Kwenda huko,mbona wewe hukufuatwa na kunyang'anywa pesa zako?

Kama Nchi jirani ziliacha kupitisha mizigo serikali ilitoa wapi pesa ya kuajiri na kuendeshea miradi? 😁😁.

Sasa Kwani uchakachuaji uliisha? Mbona wafanyabiashara walikimbia na wakaacha kuwekeza ilikuaje?

Una uhakika mianya iliisha au propaganda? Alitewaruhusu polisi kuomba rushwa barabara alikuwa nani?

Aliyebambikia watu pesa na hawafikishi mahakamani anadai walipe pesa alikuwa nani? Acha kuropoka mambo usiyoyajua wewe..

Halmashauri zilikuwa zinatumia pesa hovyo na hakuna cha Kuwafanya kwa sababu alijaza ndugu na maofisa usalama..DED ananunua gari ya zaidi mil.400 afu Rais anasema muache..

Vyombo vya habari marufuku kuripoti uozo wa serikali wala kukosoa,sisi tulio kwenye system tunajua rushwa ilivyokuwa inatembea wewe Kazi yako ni pambio za propaganda.
Mfanyabiashara yupi alikimbia kuwekeza hapa nchini kipindi cha Magufuri kama sio proganda za kitoto?
 
Back
Top Bottom