Hayati Magufuli aliwezaje kutunyamazisha Watanzania milioni 60?

Hayati Magufuli aliwezaje kutunyamazisha Watanzania milioni 60?

Mfanyabiashara yupi alikimbia kuwekeza hapa nchini kipindi cha Magufuri kama sio proganda za kitoto?
Hii wapo wengi Sana na biashara kwa maelfu zilikufa ndio maana mkaanza kuhangaika na sheria ya Takwimu 😁😁😁..

Vipi kwani saizi Takwimu hazitoki? Kuna mtu anaekatazwa? Likewise sheria ya mitandao
 
Tangu nikiwa mdogo nilipenda kufuatilia visa vya viongozi waliotawala kwa mkono wa chuma kama vile Stalin, Mussolini, Lenin, Hitler, Suharto, Iddi Amin, Mobutu, Kagame, Bokassa na wengineo.

Nikawa najiuliza hawa wababe waliwezaje kuwanyamazisha wananchi wao kirahisi wasipate watu wa kuwapinga?

Hata nikadhani labda wananchi wao ni mazezeta.

Ila alichotufanya bwana yule nilikuja kuelewa somo kwa vitendo, nilipenda sana story za hawa wababe ila ghafla nilijikuta nabadili mtazamo wangu.

Kiukweli kabisa watanzania wote tuliufyata kasoro mtu mmoja tu Tundu Lissu nadhani kwa sababu alishaonja kuzimu labda akaona kumbe hakutishi kivile, tuliobaki tukubali tuliufyata mpaka wengine kufikia kumuita Mungu, nikikumbuka nacheka mwenyewe.
Siku moja nilikuwa kwenye bus usiku .nasoma stories jf. Mtu mmoja akaniambia nyie ndio tunawatafuta. Mnatumia mitandao kumchafua raisi wetu. Endelea utajikuta pabaya kama lisu... nilishangaa sana. Hakika yule alikuwa kiongozi fedhuli
 
Mr/Mrs Ame nchi zote duniani zilizofanya maendeleo endelevu , ni zile zinazoongozwa ki democracy. eg Australia, Japan, Sweden, South Korea etc . Lakini nchi za ki dictator zinajivunia nini, zaidi ya kuua raia wao kisa hawamuabudu kiongozi au chama tawala ?
Hakuna nchi yeyote duniani ilitumia democracy pekee kuendelea; ndani kuna autocracy ila levels na context ndizo zinatakiwa kuwa watched....Ukisikia kulikuwa na ubaguzi ndiyo hiyo hiyo dictatorship....Mwanzo wowote wa maendeleo lazima kuwe na level fulani ya restrictions kisha momentum ikipatikana ndiyo una relax hizo restrictions....Democracy is not discrete is a continuum concept
 
Hii wapo wengi Sana na biashara kwa maelfu zilikufa ndio maana mkaanza kuhangaika na sheria ya Takwimu 😁😁😁..

Vipi kwani saizi Takwimu hazitoki? Kuna mtu anaekatazwa? Likewise sheria ya mitandao
Ofcourse alichofanya JPM nikuondoa ties za biashara kwenye manunuzi ya serikali zikafa natural death...Na hata sasa tukirudia hilo kosa huo uchumi ni fake na ndiyo mwanzo wa ufisadi kwakua watu wote watabakia kwenye service sector badala ya kwenda kwenye production...Kosa pekee la awamu ya tano ni kuiondoa serikali ghafla pasipo kutengeneza smooth transiformation ya capital transfer kwenda kwenye private sector ili ijitegemee na ikaanzishe productions firms in favour of service sector firms...Mh. alikuwa anatumia common sense badala ya expertize kwenye reforms...Haina maana alikuwa na dhamira mbaya lakini alikuwa over ambitious na akawa akawa hamwamini mtu kutokana na uzoefu wake wa serikalini ambapo alifahamu ufisadi ulikuwa mkubwa.
 
Hii wapo wengi Sana na biashara kwa maelfu zilikufa ndio maana mkaanza kuhangaika na sheria ya Takwimu 😁😁😁..

Vipi kwani saizi Takwimu hazitoki? Kuna mtu anaekatazwa? Likewise sheria ya mitandao
Ofcourse alichofanya JPM nikuondoa ties za biashara kwenye manunuzi ya serikali zikafa natural death...Na hata sasa tukirudia hilo kosa huo uchumi ni fake na ndiyo mwanzo wa ufisadi kwakua watu wote watabakia kwenye service sector badala ya kwenda kwenye production...Kosa pekee la awamu ya tano ni kuiondoa serikali ghafla pasipo kutengeneza smooth transiformation ya capital transfer kwenda kwenye private sector ili ijitegemee na ikaanzishe productions firms in favour of service sector firms...Mh. alikuwa anatumia common sense badala ya expertize kwenye reforms...Haina maana alikuwa na dhamira mbaya lakini alikuwa over ambitious na akawa akawa hamwamini mtu kutokana na uzoefu wake wa serikalini ambapo alifahamu ufisadi ulikuwa mkubwa.
Siku moja nilikuwa kwenye bus usiku .nasoma stories jf. Mtu mmoja akaniambia nyie ndio tunawatafuta. Mnatumia mitandao kumchafua raisi wetu. Endelea utajikuta pabaya kama lisu... nilishangaa sana. Hakika yule alikuwa kiongozi fedhuli
Hao walikuwa wapambe wanaotafuta kujikomba...Mbona wengine tuliendelea tu kusoma na kuandika JF?
 
Ofcourse alichofanya JPM nikuondoa ties za biashara kwenye manunuzi ya serikali zikafa natural death...Na hata sasa tukirudia hilo kosa huo uchumi ni fake na ndiyo mwanzo wa ufisadi kwakua watu wote watabakia kwenye service sector badala ya kwenda kwenye production...Kosa pekee la awamu ya tano ni kuiondoa serikali ghafla pasipo kutengeneza smooth transiformation ya capital transfer kwenda kwenye private sector ili ijitegemee na ikaanzishe productions firms in favour of service sector firms...Mh. alikuwa anatumia common sense badala ya expertize kwenye reforms...Haina maana alikuwa na dhamira mbaya lakini alikuwa over ambitious na akawa akawa hamwamini mtu kutokana na uzoefu wake wa serikalini ambapo alifahamu ufisadi ulikuwa mkubwa.

Hao walikuwa wapambe wanaotafuta kujikomba...Mbona wengine tuliendelea tu kusoma na kuandika JF?
Kwa hiyo ukifanya kuondoa hizo ties ndio uchumi ungekufa au? 😃😃..

Saizi Wabunge wa Mara wanamsimulia Rais jinsi pesa za mgodi wa Mara zilizopelekwa Tarime DC zilivyopigwa,wodi 2 nazo mbovu zimetumia.zaidi ya sh.Bil 1,toka mwaka juzi na Mzalendo alikuwepo 😃😃..

Wajinga ndio mlikuwa mnaliwa kwa kuitwa wanyonge 🤣🤣
 
Kwa hiyo ukifanya kuondoa hizo ties ndio uchumi ungekufa au? 😃😃..

Saizi Wabunge wa Mara wanamsimulia Rais jinsi pesa za mgodi wa Mara zilizopelekwa Tarime DC zilivyopigwa,wodi 2 nazo mbovu zimetumia.zaidi ya sh.Bil 1,toka mwaka juzi na Mzalendo alikuwepo 😃😃..

Wajinga ndio mlikuwa mnaliwa kwa kuitwa wanyonge 🤣🤣
Nikikujibu kibabe nitakuonea...Acha niulize swali? JPM ndiye aliyewaagiza wakazihamishe na kuzila? Katika wakati wake alitumbua wangapi wenye tabia hizo? Au ulitaka awe Mungu kuona kila ovu na kufanya kila zuri?

Homa yako ya kumchukia JPM ni kubwa...Anamakosa yake lakini tusimfanye ndiyo shetani wetu kwa kila baya....He wanted to reform our country na kwa jinsi tulivyo wabinafsi maumivu kwa wengine ni kawaida kwakua hawakuzoea kula vya kuchinja!

Lakini pia naye alitaka kufanya yote as if he wa omnipotent, omniscient and omnipresent.....Thats what was his mistake...Dhamira yake ilikuwa njema na uliona kabisa alilibeba taifa moyoni mwake na alitamani liwe bora sana!
 
Kwa hiyo ukifanya kuondoa hizo ties ndio uchumi ungekufa au? 😃😃..

Saizi Wabunge wa Mara wanamsimulia Rais jinsi pesa za mgodi wa Mara zilizopelekwa Tarime DC zilivyopigwa,wodi 2 nazo mbovu zimetumia.zaidi ya sh.Bil 1,toka mwaka juzi na Mzalendo alikuwepo 😃😃..

Wajinga ndio mlikuwa mnaliwa kwa kuitwa wanyonge 🤣🤣
Kwanza mtu mzima na viungo vyote unakubalije kuitwa mnyonge,nadhani aliposema wanyonge alimaanisha wajinga
 
Hivi lile kaburi wamelipiga zege kweli? waongeze buldozzer na eksikaveta pale juu usikute jamaa akafufuka akaja kutupiga na kitu kizito
 
Hakuna nchi yeyote duniani ilitumia democracy pekee kuendelea; ndani kuna autocracy ila levels na context ndizo zinatakiwa kuwa watched....Ukisikia kulikuwa na ubaguzi ndiyo hiyo hiyo dictatorship....Mwanzo wowote wa maendeleo lazima kuwe na level fulani ya restrictions kisha momentum ikipatikana ndiyo una relax hizo restrictions....Democracy is not discrete is a continuum concept
Siyo kwa muAfrica. Uzoefu unaonyesha ni wabinafsi walio tayari kuua watu wao, mradi wao na ndugu zao wabaki mamlakani . Kama mtu anahoji, Kwanini paymaster general kapewa mtoto wa dada (mpwa) . Anatandikwa magazine nzima, mchana kweupe. Ndiyo uvumilivu huo ?!.

Kwanini tuiogope democracy wakati haina madhara ?!. Na ni Kwanini tuushabikie u dictator, ambao mwishoni una madhara ?!.
 
Alichosahau ni kwamba miaka huwezi kutawala watu kama walivyifanya kina hitler ndani ya hiyohiyo system watu walimtafutia timing!..ndo maana idara ya usalama wa taifa ikawekwa ikulu kwa ajili ya kumlinda sawa ila akizingua kumdhibiti ndo kilichotokea
 
Kwa hiyo ukifanya kuondoa hizo ties ndio uchumi ungekufa au? 😃😃..

Saizi Wabunge wa Mara wanamsimulia Rais jinsi pesa za mgodi wa Mara zilizopelekwa Tarime DC zilivyopigwa,wodi 2 nazo mbovu zimetumia.zaidi ya sh.Bil 1,toka mwaka juzi na Mzalendo alikuwepo 😃😃..

Wajinga ndio mlikuwa mnaliwa kwa kuitwa wanyonge 🤣🤣
Kwanza mtu mzima na viungo vyote unakubalije kuitwa mnyonge,nadhani aliposema wanyonge alimaanisha wajinga
Hivi lile kaburi wamelipiga zege kweli? waongeze buldozzer na eksikaveta pale juu usikute jamaa akafufuka akaja kutupiga na kitu kizito
Akirudi kuna watu watajificha uvunguni
 
Alichosahau ni kwamba miaka huwezi kutawala watu kama walivyifanya kina hitler ndani ya hiyohiyo system watu walimtafutia timing!..ndo maana idara ya usalama wa taifa ikawekwa ikulu kwa ajili ya kumlinda sawa ila akizingua kumdhibiti ndo kilichotokea
Aina ile ya utawala ishapitwa na wakati
 
Ma
Hiyo mali gafi ya kuendesha viwanda ulikuwa nayo? viwanda vyote vya nguo vilikuwa vimebinafishishwa na Mkapa na Kikwete,angelikwenda kuwanyanganya hivo viwanda ngelipiga makelele mpaka dunia ingejua Magufuri ni mbaya kuwai kutokea Tanzania, maana alijaribu kwenye madini maneno na vitisho vikawa vingi,mala tutashitawa miga,mala hoo dictator uchwala.Hata hivo serikali haijengi viwanda ila inaweka mazingira mazuri kwa wawekezaji,ndicho Magu alifanya.

Hiyo mali gafi ya kuendesha viwanda ulikuwa nayo? viwanda vyote vya nguo vilikuwa vimebinafishishwa na Mkapa na Kikwete,angelikwenda kuwanyanganya hivo viwanda ngelipiga makelele mpaka dunia ingejua Magufuri ni mbaya kuwai kutokea Tanzania, maana alijaribu kwenye madini maneno na vitisho vikawa vingi,mala tutashitawa miga,mala hoo dictator uchwala.Hata hivo serikali haijengi viwanda ila inaweka mazingira mazuri kwa wawekezaji,ndicho Magu alifanya.
Malighafi ndio raw materials na mjomba Magu alituhamasisha tulime pamba,
Lakini kuna clause ilyosema kama mmliki ameshindwa kuendesha kiwanda serikali ingeingilia kati kukiendesha au kumpa mwekezaji mwingine,hasa baada ya kugundua kuwa wahindi waliopewa viwanda hivyo tena kwa bei ya kutupa walivitumia kama dhamana ya kukopa kufanyia vitu vingine.
 
Nikikujibu kibabe nitakuonea...Acha niulize swali? JPM ndiye aliyewaagiza wakazihamishe na kuzila? Katika wakati wake alitumbua wangapi wenye tabia hizo? Au ulitaka awe Mungu kuona kila ovu na kufanya kila zuri?

Homa yako ya kumchukia JPM ni kubwa...Anamakosa yake lakini tusimfanye ndiyo shetani wetu kwa kila baya....He wanted to reform our country na kwa jinsi tulivyo wabinafsi maumivu kwa wengine ni kawaida kwakua hawakuzoea kula vya kuchinja!

Lakini pia naye alitaka kufanya yote as if he wa omnipotent, omniscient and omnipresent.....Thats what was his mistake...Dhamira yake ilikuwa njema na uliona kabisa alilibeba taifa moyoni mwake na alitamani liwe bora sana!
Shetani wenu !😃😃,Samia kasema miradi imekwama huko Mara toka enzi na enzi , Mzalendo alikuwa anafanya nini?

Saizi mama anatoa suluhisho sio propaganda..Unaemtetea alikuwa anatumia nguvu ya mwili badala ya nguvu ya akili

2952362_Q0f.jpg


2952061_JamiiForums569115795.jpg
 
Back
Top Bottom