JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,850
Si kweli....Hii nchi ina majabali ambayo yenyewe kwa muonekano hayatishi na yana sura za bashasha ila hatari sana. Kuna baadhi ya maeneo alikuwa anapawa ushauri na anaufata au analazimika kuufata.Ila kwa miaka mitano tuliufyata kama misukule hata angesema kulala saa mbili tungelala