Hayati Magufuli aliwezaje kutunyamazisha Watanzania milioni 60?

Hayati Magufuli aliwezaje kutunyamazisha Watanzania milioni 60?

Yule mzee alikua na amsha amsha.

Ile salamu yake ndeefu ndio ilikua inachekesha mno.

Asaramaleko, Bwana Yesu Asifiwe , Tumsifu Yesu Kristo.
 
Nimefurahi zaidi pale Zitto aliposema Màgufool alizuia mgao wa umeme kwa kupunguza kiasi cha umeme wa viwandani na kukipeleka kwenye matumizi ya majumbani

Yule baba alikuwa ni fundi wa mazingaombwe ukitaka ujue hilo angalia jinsi alivyolipaisha deni la taifa kwa kukopa kwenye vijitaasisi uchwara
 
Nimefurahi zaidi pale Zitto aliposema Màgufool alizuia mgao wa umeme kwa kupunguza kiasi cha umeme wa viwandani na kukipeleka kwenye matumizi ya majumbani

Yule baba alikuwa ni fundi wa mazingaombwe ukitaka ujue hilo angalia jinsi alivyolipaisha deni la taifa kwa kukopa kwenye vijitaasisi uchwara
Hiyo ya umeme kali sana
 
Tangu nikiwa mdogo nilipenda kufuatilia visa vya viongozi waliotawala kwa mkono wa chuma kama vile Stalin, Mussolini, Lenin, Hitler, Suharto Iddi Amin mobutu ,kagame,bokassa na wengineo.

Nikawa najiuliza hawa wababe waliwezaje kuwanyamazisha wananchi wao kirahisi wasipate watu wa kuwapinga?

Hata nikadhani labda wananchi wao ni mazezeta.

Ila alichotufanya bwana yule nilikuja kuelewa somo kwa vitendo,nilipenda sana story za hawa wababe ila ghafla nilijikuta nabadili mtazamo wangu.

Kiukweli kabisa watanzania wote tuliufyata kasoro mtu mmoja tu Tundu Lissu nadhani kwa sababu alishaonja kuzimu labda akaona kumbe hakutishi kivile, tuliobaki tukubali tuliufyata mpaka wengine kufikia kumuita Mungu, nikikumbuka nacheka mwenyewe
Sasa mwisho yeye ndo kaufyata mazima!
 
Back
Top Bottom