nditolo
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 3,731
- 4,271
Hata Hitler anakumbukwaMagufuli bado anawachapa hata nbaada ya kufa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Hitler anakumbukwaMagufuli bado anawachapa hata nbaada ya kufa
Kwani katiba zao na yetu zinafanana?Waulize kagame na museveni kwa nini hawatoki
Watoke Ikulu waende jela ?Kwani katiba zao na yetu zinafanana?
Kwahiyo nchi yetu kwa sasa inahitaji mtawala au KiongoziMama ni Kiongozi sio Mtawala.
KiongoziKwahiyo nchi yetu kwa sasa inahitaji mtawala au Kiongozi
Coupe D'etat haiwezi Kutokea Tz hata Mjinga Akipewa MadarakaTungekuwa na jeshi imara kama BurkinaFaso au Guinea yale yasingetokea .
Hiyo ya umeme kali sanaNimefurahi zaidi pale Zitto aliposema Màgufool alizuia mgao wa umeme kwa kupunguza kiasi cha umeme wa viwandani na kukipeleka kwenye matumizi ya majumbani
Yule baba alikuwa ni fundi wa mazingaombwe ukitaka ujue hilo angalia jinsi alivyolipaisha deni la taifa kwa kukopa kwenye vijitaasisi uchwara
Kumbe hata Marehemu Huwa anasemwa kwa mabayaHiyo ya umeme kali sana
Sasa mwisho yeye ndo kaufyata mazima!Tangu nikiwa mdogo nilipenda kufuatilia visa vya viongozi waliotawala kwa mkono wa chuma kama vile Stalin, Mussolini, Lenin, Hitler, Suharto Iddi Amin mobutu ,kagame,bokassa na wengineo.
Nikawa najiuliza hawa wababe waliwezaje kuwanyamazisha wananchi wao kirahisi wasipate watu wa kuwapinga?
Hata nikadhani labda wananchi wao ni mazezeta.
Ila alichotufanya bwana yule nilikuja kuelewa somo kwa vitendo,nilipenda sana story za hawa wababe ila ghafla nilijikuta nabadili mtazamo wangu.
Kiukweli kabisa watanzania wote tuliufyata kasoro mtu mmoja tu Tundu Lissu nadhani kwa sababu alishaonja kuzimu labda akaona kumbe hakutishi kivile, tuliobaki tukubali tuliufyata mpaka wengine kufikia kumuita Mungu, nikikumbuka nacheka mwenyewe
Kwahiyo kumbe Tunasimama na Mama Hadi 2030 bila PingamiziHuyu marehemu kavunja rekodi ya kusemwa vibaya