Hayati Magufuli aliwezaje kutunyamazisha Watanzania milioni 60?

Kasome katiba iliyopo ujue nguvu alizo nazo Rais wa Tanzania ambaye pia ni mwenyekiti wa CCM ili ujue hizo nguvu zake... Rais wa JMT ana nguvu za kutisha mno.
 
Yeye mbona alinyamazishwa milele na Allah?
 
Wakati mwingine ubabe unahitajika saana pale unapokuwa Kiongozi

maana Kuna watu baadhi hawataki kubembelezwa ni mwendo wa amri tu
Leo hi kiutaniutani mafuta ya kula dumu limefika 100,000 bado sukari mwez wa ramadhani
Hapo sasa !! Akili zitakaa sawa tu !!!
 
Wajanja ni sisi kwa kuwa tulijua "Debe tupu haliachi kupiga kelele".

Sasa mtu anaumwa magonjwa yafuatayo; Kichaa, Kisukari, UKIMWI, Herpes Zoster huku akiwa kawekewa Pacemaker (Defibrillator) kumuongezea kasi ya mapigo ya moyo, kwa nini utumie nguvu kuhangaika naye?

Tukamuachia COVID-19 tu ndiyo apite naye, na COVID hakufanya makosa.

HATUKUMUOGOPA tulijuwa ni MBOVU
 
Leo nimemkumbuka nikaishia kucheka tu mwenyewe dah jamaa alituweza
Yaani ilikuaga simu ikiita, namba ngeni, roho inaenda kasi, na hamna kupokea[emoji134][emoji134]
Ukiwa barabarani gari isimame sambamba na wewe unaanza kujiandaa kuchomoka mbio,,,
[emoji86],Ishu ya terrible teen nusta iniponze, nikafunga domo langu chap[emoji23][emoji23]
 
Kuna kundi la wasukuma liliundwa kutoka vyombo vya ulinzi akawapa nguvu sana walikuwa informers.

Mm ni muathirika wa magufuli.

Nilishukuru Mungu kumuua haraka bila kuharibu pesa ya matibabu kujitibu.

Tushukuru mungu.
 
Kuna kundi la wasukuma liliundwa kutoka vyombo vya ulinzi akawapa nguvu sana walikuwa informers.

Mm ni muathirika wa magufuli.

Nilishukuru Mungu kumuua haraka bila kuharibu pesa ya matibabu kujitibu.

Tushukuru mungu.
Ahaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…