Hayati Magufuli aliwezaje kuwadhibiti wahujumu wa maji na umeme?

Alichukiwa kwa sababu alikuwa muuaji. Hata ufanye mazuri vipi lakini ukiwa muuji inafuta mazuri yote
 
Ukifuatulia ya makamba rudi nyuma alipokua waziri wa mazingira....kwenye agizo la kuziwia mifuko ya plastik nini alichofanya hadi kutumbukuwa
 
Hujui kitu wewe! Umeme ulikatwa lakini hamna matangazo yaliyotoka! Tangu 2019 kuna wakati Dodoma hii maji na hata umeme vilikuwa vinakata kabisa. Haswa maji!
 
Kiangazi hamuioni? Au mmeamua kumtukuza tu Mwenda zake. Nenda kaone Mto Ruaha kama una maji. Hata pangani maji mtoni yamebaki kidogo sana. Kihansi ndo usiseme. Kwa kawaida kipindi Nyanda za juu kusini mvua zinanyesha. But awamu hii bila bila. Hivyo maji kupungua hakikwepeki.
 
Leo hii kigogo 2014 kala teuzi kimyaaaaaaaaa hakuna kelele tena r.i.p magufuli
 
Kwa sababu alihakikisha baadhi ya watu hawaibuki serikalini tena...January, Nape....etc .........akamminya mwigulu mpaka alipohakikisha kuwa amekuwa na adabu ndipo akamrudisha.
 
Hatua gani utachukua? kama ulishindwa kuchukua 2020
 

Kwa hiyo wewe unabishana na meneja wa bwawa la Mtera.
 
Kuna watu Wana chuki na mama na Makamba kwa hiyo wanafanya hujuma kusudi Ili kumfitinisha na wananchi aonekane hawezi na hasa wafuasi wa Mwendazake alikuwa kawajaza vitengo mbalimbali.

Ila wacheze salama wakibainika watajuta na wataelewa kwamba Mfu hawezi wasaidia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…