mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
Nimepita Dar- Singida karibu mito yote imekauka. Mito si zaidi ya 3 inatiririsha maji kidogo sana
unaijua mito mingapi ya kudumu hapa tz!!!isijekuwa tunajadili na mtu ambaye hakusoma geografia ya darasa la 5