Nimepita Dar- Singida karibu mito yote imekauka. Mito si zaidi ya 3 inatiririsha maji kidogo sana
Mto ruaha hapa kilombero maji mengi tu, mpaka yanakwamisha kujenga daraja la kuelekea Ifakara.Kiangazi hamuioni? Au mmeamua kumtukuza tu Mwenda zake. Nenda kaone Mto Ruaha kama una maji. Hata pangani maji mtoni yamebaki kidogo sana. Kihansi ndo usiseme. Kwa kawaida kipindi Nyanda za juu kusini mvua zinanyesha. But awamu hii bila bila. Hivyo maji kupungua hakikwepeki.
Azory gwanda na Ben saananeMayanga ule haukuwa upigaji
Alimuua nani?
Daah,yaaani Magufuli kaondoka tu matatizo ya umeme yameanza tena,hawa akina makamba sio wa kuwategemea kwenye haya mamboAlipokuwa akisema wanaomchukia ni wapiga deals ilionekana kama anajisifia uongo vile. Hana hata mwaka ardhini ila mtashuhudia wenyewe na mtamkumbuka!
Awamu ya nne ilizalisha mafisadi na kuwalea kana kwamba walichokuwa wakikifanya kilikuwa ni sahihi! Ilipotokea jamaa akawa hawapi nafasi ya kuinyonya serikali ndio chuki na matusi na kejeli zilianza kila kona, oh tumepata raisi mshamba haijawahi kutokea 😅 kumbe raisi mshamba ni yule ambaye hashirikiani na wanasiasa kuibia nchi kupitia mikataba ya kinyonyaji😅 RIP Magufuli.
Utagundua chuki kubwa ilikuwa kuzimwa kwa ndoto za mafisadi na wala rushwa kukwamishwa katika michakato yao.
Matapeli tu yanayounga mkono mchwa watafuna nchi!Daah,yaaani Magufuli kaondoka tu matatizo ya umeme yameanza tena,hawa akina makamba sio wa kuwategemea kwenye haya mambo
Nani kampa utukufu!Haya ndio makosa ambayo yanatutenga na mungu kujipatia mtukufu miongoni mwetu wanadamu.....hata kama angekuwepo huyo mfu leo asingeweza ondoa kiangazi...
Chama kimerudi kwa wenyeweAlipokuwa akisema wanaomchukia ni wapiga deals ilionekana kama anajisifia uongo vile. Hana hata mwaka ardhini ila mtashuhudia wenyewe na mtamkumbuka!
Awamu ya nne ilizalisha mafisadi na kuwalea kana kwamba walichokuwa wakikifanya kilikuwa ni sahihi! Ilipotokea jamaa akawa hawapi nafasi ya kuinyonya serikali ndio chuki na matusi na kejeli zilianza kila kona, oh tumepata raisi mshamba haijawahi kutokea [emoji28] kumbe raisi mshamba ni yule ambaye hashirikiani na wanasiasa kuibia nchi kupitia mikataba ya kinyonyaji[emoji28] RIP Magufuli.
Utagundua chuki kubwa ilikuwa kuzimwa kwa ndoto za mafisadi na wala rushwa kukwamishwa katika michakato yao.
Naona mzee wa Mo Boxer kaamua kukiri 😅Chama kimerudi kwa wenyewe
Wacha kukariri maneno!Nilidhani ungesema awamu ile kwanini nguvu nyingi ilitumika kubana uhuru wa watu kutoa maoni na kuondolewa hata haki ya kuishi wengine walifungiwa kutembelea hadi nchi za watu! Shame on you
Huo siyo mto Ruaha. Huo ni Mto Kilombero ambao hauna kinu cha kuzalisha umeme. Labda Sliglaz ikikamilika.Mto ruaha hapa kilombero maji mengi tu, mpaka yanakwamisha kujenga daraja la kuelekea Ifakara.
Na bwawa la kidatu je?Huo siyo mto Ruaha. Huo ni Mto Kilombero ambao hauna kinu cha kuzalisha umeme. Labda Sliglaz ikikamilika.
Waliomshambulia Lissu wameshindwa kukamatwa hadi leo kwanini?Wacha kukariri maneno!
2017 haukuwepo tanzania? ukame wa mwaka huu haujafika hata 1/4 ya mwaka 2017 alafu maigizo yashaanza, alafu wachache wenye maslahi/wasojitambua wanatetea ushenzi wa namna hii.Toka 2015-2020, ni mwaka upi kulikuwa na ukame mkubwa?kama huu uliopo sasa?tuanzie hapo kwanza, kwani karibia miaka 4 mfululizo Tz, ilipata mvua nyingi sana.
china inaongoza duniani kwa uzalishaji wa umeme wa maji, ikifuatiwa na canada, brazil na marekani bt huwezi kukuta hizi blah blah za maji kupungua.Sasa hiyo mtera inayochangia megawati 80 hata kama bado maji yapo ndio itasaidia nini kwenye mahitaji ya megawati 1600?!!vitu vingine muwe mnatumia akili tu.tatizo hapa ni serikali za awamu zote ndio zimetufikisha hapa c ajabu hata hilo bwawa la mwl.Nyerere likatumika ndani ya miaka michache tu, tukaja kuambiwa tatizo ni maji, hivyo tuhamie kwenye makaa ya mawe!!kwenye gesi walituambia nini?
Sio kweli mwaka 2017, kulikuwa na ukame mkubwa sana!!tena ilikuwa ni kwa baadhi ya mikoa tu, hasa, mwanza, shinyanga, tabora, lakini mikoa mingi ilikuwa n mvua,mimi nilikuwa katavi mvua zilikuwa nyingi tu.lakini kwa mwaka huu karibia mikoa yote hadi sasa mvua bado .2017 haukuwepo tanzania? ukame wa mwaka huu haujafika hata 1/4 ya mwaka 2017 alafu maigizo yashaanza, alafu wachache wenye maslahi/wasojitambua wanatetea ushenzi wa namna hii.
Huyo jamaa ni bure kabisa,nimempuuza.Makamba amejaaliwa kipaji cha kutiririsha maneno na kuyapamba kimashairi, lakini ukifuatilia utakuta hakuna vitendo! Anaongea na ana kuacha pale ulipokuwa unamsikiliza, hupati faida yoyote.
Nafikiri alipotumbuliwa na JPM, kisa cha kutumbuliwa kilikuwa ni hicho. Maneno mengi vitendo sufuri!
Makamba kama ange anza kutenda na matokeo yakaonekana, mbona hata uraisi ungemfaa? Lakini - talk talk no tangible results.
Mama enu hana ubav huo! Yeye anawatupia na ndizi kabisa kibarazani ili waingie ndani 😅Dawa ni kutokucheka na nyani.