"Wakati ukimwombea mungu usisahau kuwaombea na wale wa kwenye viroba " na wengineo wengi waliojifia kwa sonona la kufilisiwa na kunyanganywa mali zao, maana wakati ule misiba ilikuwa haikomi, watu wengi hawajulikani wapo wapi mpaka leo hii. Ashukuriwe aliye juu mbinguni
Nona unalinda sana hao unaohisi walinyanyaswa,kwasababu kama mtu alikutwa na kesi ya kujibu kwa kuiba mali za uma then akafariki kwa BP sasa huyu Magu alihusika vipi kwenye kumuua?
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema wakati hajaingia madarakani biashara kati ya Tanzania na Kenya ilikuwa ngumu sana huku akikumbusha vifaranga vilivyochomwa moto mpakani akisema haikuwa sawa kuchoma vifaranga kutoka Kenya.
Chanzo: mwananchi_official
Sasa kama kumbe unamchukia na uliona hakuwa kiongozi sahihi iweje ulikubali kuwa chini yake kama Makamu wake wa Rais? Kuna mtu yoyote labda alikuzuia kujiuzulu ili ateuliwe Makamu wa Rais mwingine na wewe uliyekuwa ukimwona hafai na mkatili ukae zako tu pembeni?
GENTAMYCINE nakiri wazi hapa kuwa kama mwanadamu/binadamu Hayati Magufuli alikuwa na mapungufu yake na tuliyompenda tutazidi kumuombea msamaha kwa Mwenyezi Mungu. Ila tuache kutafuta kukubalika kwetu kwa Watanzania, Wazungu na wana Afrika Mashariki wenzetu kupitia mgongo wa kumsema vibaya (kumchafua) na kumfumbia mafumbo ya kipwani pwani tu.
Hebu tumuacheni sasa baba wa watu apumzike huko alikolala usingizi wake wa milele na sisi (akina GENTAMYCINE) tuliyoshika usukani sasa tufanye zaidi ya aliyoyafanya ili nasi tukija kustaafu uongozini tusianze kubezwa kuwa tulitumia muda mwingi kuzurura ovyo, kutumia kibinafsi pesa za Wazungu, kunywa mno mivinyo ya Kifaransa na kuwawezesha akina Shilole na mitaji ya shilingi milioni 500 huko Dodoma (kama malipo ya burudani maalum) anayoitoa.
Msitulazimishe wenye akili kubwa, zilizotukuka na kubarikiwa na Mwenyezi Mungu tuanze sasa kuhisi kuwa huenda tarehe 17 Machi, 2021 Israel mtoa roho hakufanya kazi yake pekee ya kumtwaa mazima 'Mwamba' bali alisaidiwa kwa ukaribu na aliokuwa akiwaamini, kuwa nao karibu na kumsifia kinafiki kila walipokuwa naye katika matukio muhimu Magogoni na Chamwino.
Yeye anavyomnanga Kutwa Hayati Magufuli hastahili pia hiyo Heshima? Mnafiki na Juha mkubwa Wewe. Hebu tutokee hapa sawa?Heshima ni kitu cha bure, je ni lazima uandike hivyo?
In fact that is her task..before the Almighty God. Kwahilo, amepewa wajibu mkubwa na kwake Mwenyezi Mungu atadai makubwa pia. Ndio mambo yalivyo.Mama ajikite kwenye vision zake tuone anapoelekea anao uwezo wa kurekebisha bila kumrefer mtu. Magufuli was Strong person.
Jamaa ni FUKA kichizi.Unategemea International Certified Fool Matola alielewe hili / hilo Mkuu?
Aisee?Magufuli alikua shetani ana haki ya kumchukia hivi unajua mwendazake aliwahi kuwatuma watu wakamtilie sumu bi mkubwa au unaongea tu....
Yaani Rais Samia alikuwa na nafasi nzuri sana ya kuwa the best president, hivi hizo kauli huwa anakuwa kalewa au ni laana? Yaani watanzania walivyokuwa wanampends jamani. Sasa hivi akianza tu kuhutubia misonyo na matusi. Kama huwa anasoma hizi jumbe za JF na bado haelewi basi itakuwa kazi sana. Yaani yeye hata kama Dkt Magufuli alimuudhi hakupaswa kumsema kwenye majukwaa kwa sababu yeye na Dkt Magufuli walikuwa kitu kimoja, alipaswa amfichie siri mwenzake ili utendaji uonekane ni collective responsibility. Lakini yeye anajitoa kama vile alimuua mwenzake ili awe rais. Yaani Mungu amsaidie afunguke na kuelewa Rais Samia, inasikitisha sana tena sana kwa mwenendo wake. Akiwategemea akina msukuma anajidanganya, msukuma alimsaliti Lowasa na akaanza kumtukana leo anamtukana Dkt Magufuli, Rais Samia anadhani Msukuma atakuja kumuacha bila kumtukana 2025??Mwanamke akikutaka hakutongozi kwa sura ya mbuzi, atatumia body language.
Huyu mama anaona viatu vya mwendazake ni vikubwa sana kwake. Tatizo mama anataka Kucheza na jukwaa, kumbe hajui kuwa uchawi ni kufanya vitu tangible ndio utasepa na kijiji cha mioyo ya wabongo.
Mama angebeba mazuri yote ya yule jamaa, kisha angeyachukua mazuri yote ya kaka yake wanaye share naye baba pale kwenye uchumi wa blue, angechanganya na makorokocho yake, mbona mambo yakekuwa ni BAMBAM
Umesema kweli, wanahofu kubwa na watu wa bara hasa kanda ya ziwa! Falsafa za Magufuli za Hapa Kazi ziliwatesa sana, maana pwani kwa asili ni wavivu so hawaamini kujiletea maendeleo kwa kufanya kazi kwa bidii, kwao ili upate maendeleo ni mjini anakujua nani ama ni kutembeza bakuli kuomba msaada! Magufuli aliwanyima usingizi kwa kuondoa mambo ya meshen town na kujuana, hata wao wanajua hilo.Watu wa Pwani hawapendi kusikia Rais Magufuli kutoka bara tena mkristo kafanya makubwa ndani ya nchi hii kwa muda mchache wana chuki za kikabila na kidini shetani anasubiri yaani ni wajinga wa karne.
MAGUFULI HAKUFA KIFO CHA KAWAIDA.Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema wakati hajaingia madarakani biashara kati ya Tanzania na Kenya ilikuwa ngumu sana huku akikumbusha vifaranga vilivyochomwa moto mpakani akisema haikuwa sawa kuchoma vifaranga kutoka Kenya.
Chanzo: mwananchi_official
Sasa kama kumbe unamchukia na uliona hakuwa kiongozi sahihi iweje ulikubali kuwa chini yake kama Makamu wake wa Rais? Kuna mtu yoyote labda alikuzuia kujiuzulu ili ateuliwe Makamu wa Rais mwingine na wewe uliyekuwa ukimwona hafai na mkatili ukae zako tu pembeni?
GENTAMYCINE nakiri wazi hapa kuwa kama mwanadamu/binadamu Hayati Magufuli alikuwa na mapungufu yake na tuliyompenda tutazidi kumuombea msamaha kwa Mwenyezi Mungu. Ila tuache kutafuta kukubalika kwetu kwa Watanzania, Wazungu na wana Afrika Mashariki wenzetu kupitia mgongo wa kumsema vibaya (kumchafua) na kumfumbia mafumbo ya kipwani pwani tu.
Hebu tumuacheni sasa baba wa watu apumzike huko alikolala usingizi wake wa milele na sisi (akina GENTAMYCINE) tuliyoshika usukani sasa tufanye zaidi ya aliyoyafanya ili nasi tukija kustaafu uongozini tusianze kubezwa kuwa tulitumia muda mwingi kuzurura ovyo, kutumia kibinafsi pesa za Wazungu, kunywa mno mivinyo ya Kifaransa na kuwawezesha akina Shilole na mitaji ya shilingi milioni 500 huko Dodoma (kama malipo ya burudani maalum) anayoitoa.
Msitulazimishe wenye akili kubwa, zilizotukuka na kubarikiwa na Mwenyezi Mungu tuanze sasa kuhisi kuwa huenda tarehe 17 Machi, 2021 Israel mtoa roho hakufanya kazi yake pekee ya kumtwaa mazima 'Mwamba' bali alisaidiwa kwa ukaribu na aliokuwa akiwaamini, kuwa nao karibu na kumsifia kinafiki kila walipokuwa naye katika matukio muhimu Magogoni na Chamwino.
Kati ya members wengi wa forum hii wewe nilikuona ni katika wale ambao ni level headed, lakini nasikitika sana kwamba unaona ati kutoa maneno yasiyofaa kwa mtu mzima wa umri wa huyo mtoa mada ndiyo sawa. Ama kweli dunia ina mambo.Yeye anavyomnanga Kutwa Hayati Magufuli hastahili pia hiyo Heshima? Mnafiki na Juha mkubwa Wewe. Hebu tutokee hapa sawa?
Rubbish.Kati ya members wengi wa forum hii wewe nilikuona ni katika wale ambao ni level headed, lakini nasikitika sana kwamba unaona ati kutoa maneno yasiyofaa kwa mtu mzima wa umri wa huyo mtoa mada ndiyo sawa. Ama kweli dunia ina mambo.
Hivi kwani ile order ya kuchoma vifaranga alitoa JPM moja kwa moja? Si ni ofisa muhusika ndiyo anayewajibika?
Hebu tuone nani alianza kunanga wenzake, au ni sawa kwa yeye kuwasema wenzake wanawashwawashwa?
Seriously? Lete hoja basi usiishie hapoRubbish.
Usinichagulie Silaha zangu Kali za Kutumia Vitani sawa? Pumbavu kabisa.Wewe jamaa Mama amekukosea nini haipiti siku bila kuanzisha nyuzi inayomuhusu...daah utadhani sio Mtanzania umetumwa kuleta choko choko tuu...
Hoja niliyonayo labda ni ya Kukuomba ru 'Kukuweka' je, upo tayari?Seriously? Lete hoja basi usiishie hapo
Idiot.JPM=ADOLF HITLER
Kima wewe unadhani ntakuangalia ukitukana utakua wale watu wa upinde hapo ushakalia tura mkubwa...Ubongo uliojaa Mkojo kama wako huwa haunisumbui kamwe hapa JamiiForums sawa?