Hayati Magufuli anao wengi wa kumtetea, legacy na Watanzania

Hayati Magufuli anao wengi wa kumtetea, legacy na Watanzania

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
1618962475075.png


Salamuni wanangu janvini.

Japo Hayati John Pombe Magufuli hatarudi kujitetea tokana na madongo anayorushiwa na wasahaulifu wa nchi yetu, anao watetezi yaani legacy yake na Watanzania wenye mapenzi mema na taifa lao. Hivyo, hata kama hawezi kujitetea, wapo watakaomtetea hadi kieleweke.

Naleta uzi huu kusisitiza hili bila kujali nani watachukia au kukwazwa. Hivyo, wanaopoteza muda kumkandia na kumpa majina na sifa mbaya mwendazake, wajue na kufahamu, hawatafanikiwa. Miradi aliyoanzisha itamsemea. Watanzania watamsemea, wenye akili watamsemea wakati waso nazo wakimzomea. Madege aliyonunua yatamsemea.

Madaraja aliyojenga yatamsemea. Mabarabara yatamsemea, Meli zitamsemea, Umeme utamsemea. Hospitali na zahanati zitamsemea. Flyover zitamsemea na kuwazomea wanaomzomea. Tanzania, Afrina na Dunia watamsemea. Majengo hata ndege watamsemea. Wote watamtetea na kuwazomea wanaomzomea. Wengi watamkumbuka si leo wala kesho bali kwa muda mrefu.

Mpende au mchukie, Magufuli ameacha legacy isiyo ya kawaida kama alivyosema alhaj Ali Hassan Mwinyi mzee wetu au rais wetu SSH aliyewakemea wabunge kuacha ubuge na ujinga wa kumlinganisha na bosi wake. Mwenye akili na tie akilini. Menye macho na aone. Na mwenye masikio na asikie. Siombi radhi kwa haya nilonena hapa. Asanteni sana.

Naomba kuwasilisha kwa wenye akili.
 
Korona ishammaliza sijui bado anawakuna nini. Ogopa sana mtu umepumbazwa akili kiasi kwamba aliyekupumbaza hadi baada ya kifo bado unaamini upumbavu wake. Report ya CAG inatosha kuonyesha zombie lilivyokua linawakamua watanzania, mnachotetea ni kijifly over na vindege vichache vinavyotia hasara taifa miaka yote tukadanganywa tumepewa gawio la faida. Kuna watu akili zishapotea kuwarudisha kawaida haiwezekani. Bila shaka uliona video za kanisani ukamuona mtukufu. Zero brain
 
Korona ishammaliza sijui bado anawakuna nini. Ogopa sana mtu umepumbazwa akili kiasi kwamba aliyekupumbaza hadi baada ya kifo bado unaamini upumbavu wake. Report ya CAG inatosha kuonyesha zombie lilivyokua linawakamua watanzania, mnachotetea ni kijifly over na vindege vichache vinavyotia hasara taifa miaka yote tukadanganywa tumepewa gawio la faida. Kuna watu akili zishapotea kuwarudisha kawaida haiwezekani. Bila shaka uliona video za kanisani ukamuona mtukufu. Zero brain
Kuna kitu kule pwani kinaitwa LIMBWATA. Hilo mtu akilishwa basi hata akipewa kinyesi atakiita keki.
Wapumbavu wa nchi hii wengi walilishwa limbwata sasa wanatetea ujinga wa miaka mitano kwa nguvu zote pamoja na wataalamu kama CAG kuwafumbua macho na akili zao.
Hawa watu sasa ni kuwapuuza tuu akiwemo mleta mada. Mada utadhani kaiandika marehemu mwenyewe kutoka huko makaburini!
 
Acha kujilegeza na kunirembulia macho huku unajitisha, kwenda zako na mwendazake mkamalizane huko
We mwenyewe shoga nani ajiregeze kwako wakati usharegezwa na kuregea zamani? Nasikia ushoga ni asili yako kwani hata baba yako naye shoga hata wajomba zako.
 
Na wewe ni moja ya legacy aliyotuachia mwendazake... bora kajiondokea mapema

Kweli Mungu wetu yu mwema sana....
Heri mimi legacy. Wewe ni letdown na aibu kwetu na kwako binafsi.
 
Naona Watu Wengi Mwendazake ndy kilikua chanzo chao cha Kupata choo.Katika maisha yangu Mtu anaemsujudu binadamu ni kama Jini..Ni aibu watu kuendelea kuongelea Umundu unsyuka!! Mungajagha bhakonyofu umweee.!!
 
Back
Top Bottom