Hayati Magufuli anao wengi wa kumtetea, legacy na Watanzania

Hayati Magufuli anao wengi wa kumtetea, legacy na Watanzania

View attachment 1758814Salamuni wanangu janvini. Japo Hayati John Pombe Magufuli hatarudi kujitetea tokana na madongo anayorushiwa na wasahaulifu wa nchi yetu, anao watetezi yaani legacy yake na watanzania wenye mapenzi mema na taifa lao. Hivyo, hata kama hawezi kujitetea, wapo watakaomtetea hadi kieleweke. Naleta uzi huu kusisitiza hili bila kujali nani watachukia au kukwazwa. Hivyo, wanaopoteza muda kumkandia na kumpa majina na sifa mbaya mwendazake, wajue na kufahamu, hawatafanikiwa. Miradi aliyoanzisha itamsemea. Watanzania watamsemea, wenye akili watamsemea wakati waso nazo wakimzomea. Madege aliyonunua yatamsemea. Madaraja aliyojenga yatamsemea. Mabarabara yatamsemea, Meli zitamsemea, Umeme utamsemea. Hospitali na zahanati zitamsemea. Flyover zitamsemea na kuwazomea wanaomzomea. Tanzania, Afrina na Dunia watamsemea. Majengo hata ndege watamsemea. Wote watamtetea na kuwazomea wanaomzomea. Wengi watamkumbuka si leo wala kesho bali kwa muda mrefu. Mopende au mchukie, Magufuli ameacha legacy isiyo ya kawaida kama alivyosema alhaj Ali Hassan Mwinyi mzee wetu au rais wetu SSH aliyewakemea wabunge kuacha ubuge na ujinga wa kumlinganisha na bosi wake. Mwenye akili na tie akilini. Menye macho na aone. Na mwenye masikio na asikie. Siombi radhi kwa haya nilonena hapa. Asanteni sana. Naomba kuwasilisha kwa wenye akili.
Wanaomtetea dikteta ni dhahiri bin shayiri mnajaribu kuficha jambo! Kwani mbona hapajawahi kuwepo mjadala kuhusu awamu nyingine zote zilizopita? Mataga mnafikiri hazikuwa na mapungufu? Yalikuwepo lakini ya DIKTETA yamezidi kwa WINGI na UZITO wa UBAYA wake, ndio maana mataga mnashindana kutoa povu! Kwa mfano hakuna mtangulizi wa DIKTETA hata mmoja aliyewahi kuitwa DIKTETA, hakuna hata mmoja aliyewahi kupata tuhuma za kupoteza watu (hili alilikiri mwenyewe kwenye kikao cha uteuzi wake Dodoma na akalifanya kweli!!!), Watu kuuwawa, kupigwa risasi, ubadhirifu wa hatari, kuchafua diplomasia, kuwagawa watanzania, kusigina katiba, haki za binadamu, uhuru wa kujieleza na vyombo vya habari, kuchekesha dunia kwa kuikana sayansi wakati kasomea sayansi! Na mengi mengineyo, haya ya miundo mbinu kuyapigia chapuo ni uzwazwa kwa sababu alichaguliwa kuwa akafanye hayo, na watangulizi wake walifanya mengi mengine, Dikteta hakuikuta nchi kama enzi za ujima aka "old stone age"! Mataga utetezi mnaofanya ni kama mnachota maji kwa Tenga? MNADEMKA vizuri sana!,
 
Huyu bwana kulikuwa na shida mahala, mbona vifo vya marais wengine hatukuona haya.

Wengine kulazimisha kumtetea kwa kila hali, wengine kumponda sana mpaka kufanya sherehe.
 
Wanaomtetea dikteta ni dhahiri bin shayiri mnajaribu kuficha jambo! Kwani mbona hapajawahi kuwepo mjadala kuhusu awamu nyingine zote zilizopita? Mataga mnafikiri hazikuwa na mapungufu? Yalikuwepo lakini ya DIKTETA yamezidi kwa WINGI na UZITO wa UBAYA wake, ndio maana mataga mnashindana kutoa povu! Kwa mfano hakuna mtangulizi wa DIKTETA hata mmoja aliyewahi kuitwa DIKTETA, hakuna hata mmoja aliyewahi kupata tuhuma za kupoteza watu (hili alilikiri mwenyewe kwenye kikao cha uteuzi wake Dodoma na akalifanya kweli!!!), Watu kuuwawa, kupigwa risasi, ubadhirifu wa hatari, kuchafua diplomasia, kuwagawa watanzania, kusigina katiba, haki za binadamu, uhuru wa kujieleza na vyombo vya habari, kuchekesha dunia kwa kuikana sayansi wakati kasomea sayansi! Na mengi mengineyo, haya ya miundo mbinu kuyapigia chapuo ni uzwazwa kwa sababu alichaguliwa kuwa akafanye hayo, na watangulizi wake walifanya mengi mengine, Dikteta hakuikuta nchi kama enzi za ujima aka "old stone age"! Mataga utetezi mnaofanya ni kama mnachota maji kwa Tenga? MNADEMKA vizuri sana!,

Acheni ujinga, mlikuwa hamlali mnalalamika Kikwete nidhaifu ufisadi umezidi mkataka apatikane rais chuma atakae inyoosha nchi.

Mungu akasikia kiliochenu mkapata Chuma Magu.
Amewanyooshea nchi bado hamridhiki sijui mnamtaka nini sasa.

Kilakitu alichofanya mnaona nikibaya nyie mijitu basi mkubalini kwa kuacha alama ya kukataa ushoga waziwazi au nahiyo hamtaki?
 
Unaonaje kama ukinywa sumu ukamfuata msukule wako mwendazake....

Tuache na mama yetu tudemke...

Mama na yule Baba walifanya kazi pamoja usisahau mama alivyomshukuru baba kwa kumnyoosha. Tofauti inaweza kuwa kwenye jinsia ila ni watu wa itikadi moja kitu kimoja kutimiza zile kurasa 303 Asprin

Wacha kazi iendelee
 
Huyu bwana kulikuwa na shida mahala, mbona vifo vya marais wengine hatukuona haya.

Wengine kulazimisha kumtetea kwa kila hali, wengine kumponda sana mpaka kufanya sherehe.
Hakuna mtanzania mwenye akili anaemponda Magu.

Ni wajinga wachachetu humu kwenye mitandao the rest nchi nzima wanamkubali kwa matendoyake ya kizalendo aliyo ya fanya.

Alikuwa na makosa ya kawaidasana ambayo mtu yeyote anaweza kuyafanya kirahisitu.

Mema ni mengi kuliko hayo mabaya eanayo sema.
 
View attachment 1758814Salamuni wanangu janvini. Japo Hayati John Pombe Magufuli hatarudi kujitetea tokana na madongo anayorushiwa na wasahaulifu wa nchi yetu, anao watetezi yaani legacy yake na watanzania wenye mapenzi mema na taifa lao. Hivyo, hata kama hawezi kujitetea, wapo watakaomtetea hadi kieleweke. Naleta uzi huu kusisitiza hili bila kujali nani watachukia au kukwazwa. Hivyo, wanaopoteza muda kumkandia na kumpa majina na sifa mbaya mwendazake, wajue na kufahamu, hawatafanikiwa. Miradi aliyoanzisha itamsemea. Watanzania watamsemea, wenye akili watamsemea wakati waso nazo wakimzomea. Madege aliyonunua yatamsemea. Madaraja aliyojenga yatamsemea. Mabarabara yatamsemea, Meli zitamsemea, Umeme utamsemea. Hospitali na zahanati zitamsemea. Flyover zitamsemea na kuwazomea wanaomzomea. Tanzania, Afrina na Dunia watamsemea. Majengo hata ndege watamsemea. Wote watamtetea na kuwazomea wanaomzomea. Wengi watamkumbuka si leo wala kesho bali kwa muda mrefu. Mopende au mchukie, Magufuli ameacha legacy isiyo ya kawaida kama alivyosema alhaj Ali Hassan Mwinyi mzee wetu au rais wetu SSH aliyewakemea wabunge kuacha ubuge na ujinga wa kumlinganisha na bosi wake. Mwenye akili na tie akilini. Menye macho na aone. Na mwenye masikio na asikie. Siombi radhi kwa haya nilonena hapa. Asanteni sana. Naomba kuwasilisha kwa wenye akili.
Magufuli is gone, zama na kitabu chake kimefungwa apumzike salama...ila ukishashika nafasi ya umma jua utajadiliwa hata Kama ukiwa kaburini watu hawatajadili personal issues zako na mkewako watajadili utawala wako...there is no way nilazima madhaifu yake yatajadiliwa na mazuri yake pia yatasemwa...ila kwa sasa wanaotetea watatumia nguvu nyingi na watapoteza muda mwingi kutetea kwa sababu mwisho wa siku legacy huwa haitetewi inajitetea yenyewe nyerere alikuwa baba wa Taifa na hakuna raisi alieacha legacy ndani ya Taifa hili Kama yeye lakini kasemwa na bado atasemwa kwa mazuri au mabaya.....legacy haitetewi inajitetea yenyewe( madaraja,barabara, flyover,ndege) ni maendeleo ya kawaida na wajibu ambayo pengine kizazi cha baada ya miaka 50 watakua hawana la kuzungumza kuhusu magufuli maana yatafanyika mengine pengine hata flyover aliyojenga ikabomolewa na kujengwa nyingine zaidi ndege zinakanunuliwa zingine na mwingine......legacy ni fikra nyerere anakumbukwa mpaka leo kwa sababu ya fikra ya uhuru na sio viwanda alivoviacha vingi maana kizazi cha Leo hata hakijawai kuviona hivo viwanda ila anakumbukwa na mtoto hata wa 2002
 
Mama na yule Baba walifanya kazi pamoja usisahau mama alivyomshukuru baba kwa kumnyoosha. Tofauti inaweza kuwa kwenye jinsia ila ni watu wa itikadi moja kitu kimoja kutimiza zile kurasa 303 Asprin

Wacha kazi iendelee
Ewaaa... sasa baba kashaondoka mama anaendeleza kazi watu wanatupigia mikelele tu... utadhani wakati baba akiwepo mama hakuwepo.

Wamwache mzee wa watu ajipumzikie na mama aendeleze kazi.
 
naomba shetani aongeze moto kwa jiwe huko aliko

Maneno ya kitoto haya, Mungu ndio anaepima moto na hakuna wakupunguza wala wakujiongezea.

Vitabu vya dini vinatuambia tusihukumu maana tutahukumiwa sasa wewe unahukumu jiandae,motowako umesha pimwa hutajiongezea wala kupunguza.
 
View attachment 1758814Salamuni wanangu janvini. Japo Hayati John Pombe Magufuli hatarudi kujitetea tokana na madongo anayorushiwa na wasahaulifu wa nchi yetu, anao watetezi yaani legacy yake na watanzania wenye mapenzi mema na taifa lao. Hivyo, hata kama hawezi kujitetea, wapo watakaomtetea hadi kieleweke. Naleta uzi huu kusisitiza hili bila kujali nani watachukia au kukwazwa. Hivyo, wanaopoteza muda kumkandia na kumpa majina na sifa mbaya mwendazake, wajue na kufahamu, hawatafanikiwa. Miradi aliyoanzisha itamsemea. Watanzania watamsemea, wenye akili watamsemea wakati waso nazo wakimzomea. Madege aliyonunua yatamsemea. Madaraja aliyojenga yatamsemea. Mabarabara yatamsemea, Meli zitamsemea, Umeme utamsemea. Hospitali na zahanati zitamsemea. Flyover zitamsemea na kuwazomea wanaomzomea. Tanzania, Afrina na Dunia watamsemea. Majengo hata ndege watamsemea. Wote watamtetea na kuwazomea wanaomzomea. Wengi watamkumbuka si leo wala kesho bali kwa muda mrefu. Mopende au mchukie, Magufuli ameacha legacy isiyo ya kawaida kama alivyosema alhaj Ali Hassan Mwinyi mzee wetu au rais wetu SSH aliyewakemea wabunge kuacha ubuge na ujinga wa kumlinganisha na bosi wake. Mwenye akili na tie akilini. Menye macho na aone. Na mwenye masikio na asikie. Siombi radhi kwa haya nilonena hapa. Asanteni sana. Naomba kuwasilisha kwa wenye akili.
Vipi kuhusu makaburu wa south Africa? Waliojenga miundo mbinu kibao huko south? Unataka kutuaminisha wana legacy kubwa kuliko Mandela?
Pole, uchungu wa msiba bado haujakutoka, nakushauri utumie muda mwingi kulala, akili zitakurudi.
 
Magufuli is gone, zama na kitabu chake kimefungwa apumzike salama...ila ukishashika nafasi ya umma jua utajadiliwa hata Kama ukiwa kaburini watu hawatajadili personal issues zako na mkewako watajadili utawala wako...there is no way nilazima madhaifu yake yatajadiliwa na mazuri yake pia yatasemwa...ila kwa sasa wanaotetea watatumia nguvu nyingi na watapoteza muda mwingi kutetea kwa sababu mwisho wa siku legacy huwa haitetewi inajitetea yenyewe nyerere alikuwa baba wa Taifa na hakuna raisi alieacha legacy ndani ya Taifa hili Kama yeye lakini kasemwa na bado atasemwa kwa mazuri au mabaya.....legacy haitetewi inajitetea yenyewe( madaraja,barabara, flyover,ndege) ni maendeleo ya kawaida na wajibu ambayo pengine kizazi cha baada ya miaka 50 watakua hawana la kuzungumza kuhusu magufuli maana yatafanyika mengine pengine hata flyover aliyojenga ikabomolewa na kujengwa nyingine zaidi ndege zinakanunuliwa zingine na mwingine......legacy ni fikra nyerere anakumbukwa mpaka leo kwa sababu ya fikra ya uhuru na sio viwanda alivoviacha vingi maana kizazi cha Leo hata hakijawai kuviona hivo viwanda ila anakumbukwa na mtoto hata wa 2002
Kama hautamkumbuka kwauzalendo wakupambana na mafisadi, wanyonyaji kwenye mikataba ya rasilimalizetu kama madini na mengineyo basi mtatumia nguvunyingi kumchafua na itashindikana.
 
Ameacha legacy ya kupambana na ushoga waziwazi.

Mpongezeni kwa hiyo kama mpo serious.
 
Ewaaa... sasa baba kashaondoka mama anaendeleza kazi watu wanatupigia mikelele tu... utadhani wakati baba akiwepo mama hakuwepo.

Wamwache mzee wa watu ajipumzikie na mama aendeleze kazi.
Kuna over time za kulinda legasi huku.
 
Magu alikuwa Rais wa Sina yake ameacha barabara, meli, reli ya umeme, vivuko, mradi mkubwa wa umeme, hospitali za rufaa, zahanati, fly over, miradi ya maji, masomo ya kisasa, vituo vya mabasi ya mikoani ya kisasa Kama Cha mbezi na Dodoma na n.k, alileta nidhamu serikalini, alipinguza matumizi serikalini, aliondoa majambazi mtaani, hakika Magu alikuwa zaidi ya Marais wote walio pita, wanao msema vibaya ni majizi, ndio wanaopaga kujenga bandari ya bagamoyo ili kuua mapato ya bandari zote 3, yaani bandari ya Dar, Tanga na Mtwara. Na Tanzania asilimia 75 ya mapato ni ya Bandarini. Kuna mtu aliuza Gesi ya Mtwara mbona hamsemi ?
 
View attachment 1758814Salamuni wanangu janvini. Japo Hayati John Pombe Magufuli hatarudi kujitetea tokana na madongo anayorushiwa na wasahaulifu wa nchi yetu, anao watetezi yaani legacy yake na watanzania wenye mapenzi mema na taifa lao. Hivyo, hata kama hawezi kujitetea, wapo watakaomtetea hadi kieleweke. Naleta uzi huu kusisitiza hili bila kujali nani watachukia au kukwazwa. Hivyo, wanaopoteza muda kumkandia na kumpa majina na sifa mbaya mwendazake, wajue na kufahamu, hawatafanikiwa. Miradi aliyoanzisha itamsemea. Watanzania watamsemea, wenye akili watamsemea wakati waso nazo wakimzomea. Madege aliyonunua yatamsemea. Madaraja aliyojenga yatamsemea. Mabarabara yatamsemea, Meli zitamsemea, Umeme utamsemea. Hospitali na zahanati zitamsemea. Flyover zitamsemea na kuwazomea wanaomzomea. Tanzania, Afrina na Dunia watamsemea. Majengo hata ndege watamsemea. Wote watamtetea na kuwazomea wanaomzomea. Wengi watamkumbuka si leo wala kesho bali kwa muda mrefu. Mopende au mchukie, Magufuli ameacha legacy isiyo ya kawaida kama alivyosema alhaj Ali Hassan Mwinyi mzee wetu au rais wetu SSH aliyewakemea wabunge kuacha ubuge na ujinga wa kumlinganisha na bosi wake. Mwenye akili na tie akilini. Menye macho na aone. Na mwenye masikio na asikie. Siombi radhi kwa haya nilonena hapa. Asanteni sana. Naomba kuwasilisha kwa wenye akili.
Aliua Sana watu, aliwashambulia wahaya kana kwamba tetemeko walisababisha, alipora pesa za watu nyingi, ameua biashara za watu, hakuwa huruma na wananchi wake ila Mali na vitu tu.
Wanzania mnaotetea hiyo legacy mlinufaika binafsi kwakuwa alitegeneza kundi akalishibisha kwa mapesa ya walipakodi aliotesa kwa lugha mbaya, kuwateka, kuwafunga na kuwau.
NDIYO NINYI MNAPIGA KELELE YA LEGACY

NCHI SASA IMETULI TULIIII!!!
Kabla hajaondolewa Kila mtu alikuwa na Masha na hofu.
Wakati watu wanateka, ninyi kundi la legacy mlishangili kwa furaha, Sasa no zamu yenu kulia mmeanza na kilio Cha legacy, hiki kitapita tunamwomba Mungu awapige zaidi.
Legacy hawezi ficha ufisadi wake, Sasa mnaimba wimbo wa CAG kapika ripoti, kwani aliteuliwa na nani, Mbona nae alikuwa mnufaika na mwendazake, kwanini hakuweza kuongeza legacy ikawa kubwa?
 
Ili kusherehesha hiyo inayoitwa "legacy" yake, kwa hiyo basi hata chapisho lake la kitaaluma ktk shahada yake ya uzamivu lisifanywe kitu cha siri, bali liwekwe hadharani katika maktaba ili wasomi wenzake waweze kufanya rejea katika kazi yake ya kisomi pia.
 
Back
Top Bottom