Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,078
Sasa badala ya kutetea hoja yako. Umekimbilia matusi ?!.We mwenyewe shoga nani ajiregeze kwako wakati usharegezwa na kuregea zamani? Nasikia ushoga ni asili yako kwani hata baba yako naye shoga hata wajomba zako.
Wewe jamaa ni takataka kabisa, hasara kwa aliyekuzaaWe mwenyewe shoga nani ajiregeze kwako wakati usharegezwa na kuregea zamani? Nasikia ushoga ni asili yako kwani hata baba yako naye shoga hata wajomba zako.
Mwendazake kaacha legacy za ajabu ajabu, wadau wanasema na wewe ni moja ya legacy za mwendazakeHeri mimi legacy. Wewe ni letdown na aibu kwetu na kwako binafsi.
Nia njema ?!. Acha basiJPM alitenda yote kwa nia njema hayo mengine ni changamoto tuu za ki-utendaji
Legacy ya Mtu Haitetewi inajitetea Hailindwi InajilindaView attachment 1758814
Salamuni wanangu janvini. Japo Hayati John Pombe Magufuli hatarudi kujitetea tokana na madongo anayorushiwa na wasahaulifu wa nchi yetu, anao watetezi yaani legacy yake na watanzania wenye mapenzi mema na taifa lao. Hivyo, hata kama hawezi kujitetea, wapo watakaomtetea hadi kieleweke.
Naleta uzi huu kusisitiza hili bila kujali nani watachukia au kukwazwa. Hivyo, wanaopoteza muda kumkandia na kumpa majina na sifa mbaya mwendazake, wajue na kufahamu, hawatafanikiwa. Miradi aliyoanzisha itamsemea. Watanzania watamsemea, wenye akili watamsemea wakati waso nazo wakimzomea. Madege aliyonunua yatamsemea.
Madaraja aliyojenga yatamsemea. Mabarabara yatamsemea, Meli zitamsemea, Umeme utamsemea. Hospitali na zahanati zitamsemea. Flyover zitamsemea na kuwazomea wanaomzomea. Tanzania, Afrina na Dunia watamsemea. Majengo hata ndege watamsemea. Wote watamtetea na kuwazomea wanaomzomea. Wengi watamkumbuka si leo wala kesho bali kwa muda mrefu.
Mpende au mchukie, Magufuli ameacha legacy isiyo ya kawaida kama alivyosema alhaj Ali Hassan Mwinyi mzee wetu au rais wetu SSH aliyewakemea wabunge kuacha ubuge na ujinga wa kumlinganisha na bosi wake. Mwenye akili na tie akilini. Menye macho na aone. Na mwenye masikio na asikie. Siombi radhi kwa haya nilonena hapa. Asanteni sana.
Naomba kuwasilisha kwa wenye akili.
Aliharibu kila kitu akajenga chato kukawa Kama DUBAI, makao makuu ya nchi alipaswa ayahamishie Kilimanjaro kuliko mlima mrefu kuliko yote Africa.Huyo mtu hana la kujitetea, aliharibu kabisa biashara ya korosho
Kabisa na kuni na kiberiti umemkusanyia Kama zoteHana kitu usitumie nguvu nyingi wakati mtu yupo anachomeka moto jehanamu.
Hawaoni alivyoiba na kuwekeza Chato, chato imekuwa Dubai ndani ya GEITA yaaniKorona ishammaliza sijui bado anawakuna nini. Ogopa sana mtu umepumbazwa akili kiasi kwamba aliyekupumbaza hadi baada ya kifo bado unaamini upumbavu wake. Report ya CAG inatosha kuonyesha zombie lilivyokua linawakamua watanzania, mnachotetea ni kijifly over na vindege vichache vinavyotia hasara taifa miaka yote tukadanganywa tumepewa gawio la faida. Kuna watu akili zishapotea kuwarudisha kawaida haiwezekani. Bila shaka uliona video za kanisani ukamuona mtukufu. Zero brain
sina muda , nachosisitiza JIWE aungue salama huko alikojiandaliaManeno ya kitoto haya, Mungu ndio anaepima moto na hakuna wakupunguza wala wakujiongezea.
Vitabu vya dini vinatuambia tusihukumu maana tutahukumiwa sasa wewe unahukumu jiandae,motowako umesha pimwa hutajiongezea wala kupunguza.
sina muda , nachosisitiza JIWE aungue salama huko alikojiandali
Familia ya aliowadhulumu pesa yao ya lorosho yitasema, watumishi wa uma aliowachukia bila sababu na kuwanyima stahiki zao watasema, waliotukanwa hadharani watasema, waliotekwa watasema, waliobomolewa nyumba kionevu bila bila fidia watasema, bahari ilipotupwa miili ya watu kwenye viroba itasema, kiuwanja la chato linaloanza kuoteana nyasi litasema.View attachment 1758814
Salamuni wanangu janvini.
Japo Hayati John Pombe Magufuli hatarudi kujitetea tokana na madongo anayorushiwa na wasahaulifu wa nchi yetu, anao watetezi yaani legacy yake na Watanzania wenye mapenzi mema na taifa lao. Hivyo, hata kama hawezi kujitetea, wapo watakaomtetea hadi kieleweke.
Naleta uzi huu kusisitiza hili bila kujali nani watachukia au kukwazwa. Hivyo, wanaopoteza muda kumkandia na kumpa majina na sifa mbaya mwendazake, wajue na kufahamu, hawatafanikiwa. Miradi aliyoanzisha itamsemea. Watanzania watamsemea, wenye akili watamsemea wakati waso nazo wakimzomea. Madege aliyonunua yatamsemea.
Madaraja aliyojenga yatamsemea. Mabarabara yatamsemea, Meli zitamsemea, Umeme utamsemea. Hospitali na zahanati zitamsemea. Flyover zitamsemea na kuwazomea wanaomzomea. Tanzania, Afrina na Dunia watamsemea. Majengo hata ndege watamsemea. Wote watamtetea na kuwazomea wanaomzomea. Wengi watamkumbuka si leo wala kesho bali kwa muda mrefu.
Mpende au mchukie, Magufuli ameacha legacy isiyo ya kawaida kama alivyosema alhaj Ali Hassan Mwinyi mzee wetu au rais wetu SSH aliyewakemea wabunge kuacha ubuge na ujinga wa kumlinganisha na bosi wake. Mwenye akili na tie akilini. Menye macho na aone. Na mwenye masikio na asikie. Siombi radhi kwa haya nilonena hapa. Asanteni sana.
Naomba kuwasilisha kwa wenye akili.
Mboe ndo nani? kaa ukijua JIWE anaugulia maumivu ya moto muda huuMnaroho ngumu sana nyinyi watu.
Ila mboe anawaweza 2025 atawaletea muongo awe mgombea wenu na mta shangilia.
Korona ishammaliza sijui bado anawakuna nini. Ogopa sana mtu umepumbazwa akili kiasi kwamba aliyekupumbaza hadi baada ya kifo bado unaamini upumbavu wake. Report ya CAG inatosha kuonyesha zombie lilivyokua linawakamua watanzania, mnachotetea ni kijifly over na vindege vichache vinavyotia hasara taifa miaka yote tukadanganywa tumepewa gawio la faida. Kuna watu akili zishapotea kuwarudisha kawaida haiwezekani. Bila shaka uliona video za kanisani ukamuona mtukufu. Zero brain
Jiwe ndio nani? Mboe amewashikia akili sana endeleeni kuzungusha mikono mbaka siku na yeye akiunga juhudi za Mama kuendeleza kazi ndio mtazinduka.Mboe ndo nani? kaa ukijua JIWE anaugulia maumivu ya moto muda huu