Kukiingoza kikazi kilichoziea kupiga dili na sabotage za hapa na pale ndani ya serikali, lazima uwe na MTU nusu chuma, na usiwe na huruma uchwara, nchi hii itakutesa bure.JPM alikuwa ndie mwanasiasa pekee ambae alikuwa na rekodi nzuri mwaka 2015. Ndio maana chama chake kilikosa mtu mwingine wa kusimamisha dhidi ya Lowasa...
Nothing is the number when you die!JPM alikuwa ndie mwanasiasa pekee ambae alikuwa na rekodi nzuri mwaka 2015. Ndio maana chama chake kilikosa mtu mwingine wa kusimamisha dhidi ya Lowasa....
Hahahhaa umenikumbusha eti MAHAKAMA YA MAFISADINI ngumu sana kuniaminisha
Mpenzi wa wananchi huyo huyo anawaua wananchi wake wasio na hatia tena wanyonge
Sijasikia ameua fisadi lolote au hata kulifunga fisadi lolote la CCM...kaua wananchi masikini wasio na nguvu yoyote kama Ben na Gwanda,poor people with no cent hata moja,wala hawajamuibia mtu,ni watu walikua na ideas tu
Limekufa,punguani lile,kichaa kabisa
Nani aliyekuambia ufoji cheti ndugu? Kumchukia mtu baada ya kukuwajibisha ni ujinga.NI ngumu sana kuniaminisha
Mpenzi wa wananchi huyo huyo anawaua wananchi wake wasio na hatia tena wanyonge...
Sio kosa langu mkuu...mi sikusababisha utumbuliweMzee
Is your head deep into your own ass eating your own shit?
Nani kafoji cheti?
Umekua mganga wa kienyeji unafanya ramli?
Sijawahi foji cheti popote na huenda vyeti vyangu vikawa na marks bora zaidi yako na Magufuli combined!
Maana wote nyie ni ma-failure matupu!
Likichaa lile,lina faili Mirembe,limekufa,halipo tena,maiti lile,nenda kajizike nalo...thats a FACT!
Pole sana mkuu...Jamaa hakuwa na rafiki fisadi.Still unazidi kupotea
Hunijui,sikujui,nimetumbuliwa wapi mzee?
Nipo sekta binafsi,on top of that naishi nje ya nchi,sasa sijui hilo limarehemu,kichaa la Mirembe lije America linitumbue wapi kwa mfano?
Stop eating your own shit coming outta yo'ass!
Fvck outta here!
Umesema JPM alikuwa hana urafiki linapokuja suala la HAKI..JPM alikuwa ndie mwanasiasa pekee ambae alikuwa na rekodi nzuri mwaka 2015. Ndio maana chama chake kilikosa mtu mwingine wa kusimamisha dhidi ya Lowasa...
Takataka tu Mwendazake. Jiulize yafuatayo;View attachment 1758814
Salamuni wanangu janvini.
Japo Hayati John Pombe Magufuli hatarudi kujitetea tokana na madongo anayorushiwa na wasahaulifu wa nchi yetu, anao watetezi yaani legacy yake na Watanzania wenye mapenzi mema na taifa lao. Hivyo, hata kama hawezi kujitetea, wapo watakaomtetea hadi kieleweke.
Naleta uzi huu kusisitiza hili bila kujali nani watachukia au kukwazwa. Hivyo, wanaopoteza muda kumkandia na kumpa majina na sifa mbaya mwendazake, wajue na kufahamu, hawatafanikiwa. Miradi aliyoanzisha itamsemea. Watanzania watamsemea, wenye akili watamsemea wakati waso nazo wakimzomea. Madege aliyonunua yatamsemea.
Madaraja aliyojenga yatamsemea. Mabarabara yatamsemea, Meli zitamsemea, Umeme utamsemea. Hospitali na zahanati zitamsemea. Flyover zitamsemea na kuwazomea wanaomzomea. Tanzania, Afrina na Dunia watamsemea. Majengo hata ndege watamsemea. Wote watamtetea na kuwazomea wanaomzomea. Wengi watamkumbuka si leo wala kesho bali kwa muda mrefu.
Mpende au mchukie, Magufuli ameacha legacy isiyo ya kawaida kama alivyosema alhaj Ali Hassan Mwinyi mzee wetu au rais wetu SSH aliyewakemea wabunge kuacha ubuge na ujinga wa kumlinganisha na bosi wake. Mwenye akili na tie akilini. Menye macho na aone. Na mwenye masikio na asikie. Siombi radhi kwa haya nilonena hapa. Asanteni sana.
Naomba kuwasilisha kwa wenye akili.