King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Unahisi mambo gani yalikua yanaenda kwa kasi wakati wa Magufuli na yatakwama baada ya wakati wa Magufuli?
Spika ameshauri wasitishe ununuaji wa ndege kwanza maana zinaleta hasara.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unahisi mambo gani yalikua yanaenda kwa kasi wakati wa Magufuli na yatakwama baada ya wakati wa Magufuli?
Magufuli alikuwa mwizi na fisadi periodHajaacha deni tu acha uongo.kaacha vitu vilivyotumia hiyo pesa pia.Eti kaacha deni utafikiri hizo pesa alikopa akaenda kuweka pesa kwenye akaunti yake uswisi.Lugha ya ki layman utafikiri mtu hsta shule hakwenda. Hiyo miradi kila mkoa na wilaya huioni au ? Elimu bure huioni au ? umeme kila kijiji huuoni au? barabara kila kona huoni au? vituo vya afya kote nchini huoni au nk
Kipindi chake nchi ilikuwa inakopesheka na madeni yalikuwa yanalipika bila shida.Wakopeshaji walituamini
Twende sasa ni challenge kwa serikali iliyopo itamudu kukopesheka na kulipa madeni na kuendesha miradi nchi nzima kama Magufuli alivyomudu? muda ni mwalimu mzui.let us wait and see tuone matusi kwa Magufuli kama yana mantiki
Unafikiri utaletewa hela nyumbani kwako? Kwenye miaka hii mitano watu wamenunua magari, wamejenga na kufanya mambo mengi ila lazima ufanye kaziUtawala mpya unapaswa kupambana kuliondoa tabaka aliloliacha linakuwa kwa kasi la wanyonge kulitoa katika unyonge na kulipa maisha bora, hilo ndilo tabaka lake lililompenda sana
Tatizo kubwa ni kwamba, aliyoyafanya aliyasema kwa uwazi kwenye majukwaa na hotuba zake, lakini alivibana vyombo vya takwimu, vya habari, wapinzani, etc... HENCE WANANCHI TUKAKOSA WA KUTUAMBIA MAKOROKOCHO YAKE...Spidi aliulypkuwa nayo Marehemu Magufuli ya kufanya mambo yaende na kufanyika kwa kasi inayoonekana wazi kwa kila mtu, ichallenge kwa waliopo iwe serikalini au bungeni au Mahakamani.
Matarajio ya wananchi ni kuwa spidi itakuwa kubwa kuliko ile au itabaki ile ile.
Sasa hivi Marehemu anapondwa sana kuwa ohh alikuwa dikteta mara ohh alikuwa fisadi mara ohh staili yake haifai
Hakuna shida; cha msingi wananchi wanataka mambo yaende. Tukaneni matusi yote ila mwisho wa siku wananchi watalinganisha output yenu watukanaji na ya Magufuli kwenye kugusa maisha ya wananchi wanyonge
Marehemu Magufuli kila kona anakuwa attacked siyo kesi ila mambo yaende yasipoenda wananchi watawazomea kila kona Kila mtakakopita wadhalilisha Magufuli. Mtazomewa na kuambiwa Magufuli angekuwa hai hili lingefanyika na watawazomea.
Hajaacha deni tu acha uongo.kaacha vitu vilivyotumia hiyo pesa pia.Eti kaacha deni utafikiri hizo pesa alikopa akaenda kuweka pesa kwenye akaunti yake uswisi.Lugha ya ki layman utafikiri mtu hsta shule hakwenda. Hiyo miradi kila mkoa na wilaya huioni au ? Elimu bure huioni au ? umeme kila kijiji huuoni au? barabara kila kona huoni au? vituo vya afya kote nchini huoni au nk
Kipindi chake nchi ilikuwa inakopesheka na madeni yalikuwa yanalipika bila shida.Wakopeshaji walituamini
Twende sasa ni challenge kwa serikali iliyopo itamudu kukopesheka na kulipa madeni na kuendesha miradi nchi nzima kama Magufuli alivyomudu? muda ni mwalimu mzui.let us wait and see tuone matusi kwa Magufuli kama yana mantiki
Marehemu alikua mwizi sana hata CAG anajuaTatizo kubwa ni kwamba, aliyoyafanya aliyasema kwa uwazi kwenye majukwaa na hotuba zake, lakini alivibana vyombo vya takwimu, vya habari, wapinzani, etc... HENCE WANANCHI TUKAKOSA WA KUTUAMBIA MAKOROKOCHO YAKE...
Leo hii imekuwa kama ilivyokuwa wakati anaumwa... hakuna aliyesema kwamba anaumwa na wengine walikamatwa kwa "KUZUSHA" mitandaoni kwamba anaumwa... GHAFRA TUKAJA KUPEWA TAARIFA YA KIFO, AS IF KAFA KWA AJALI, KUMBE WAPI...
The same to hili la leo.. hakukuwa na wa kusema WIZI, AU MADHAMBI YOYOTE YALIYOTOKEA SERIKALINI, na mbaya zaidi wengine walitudanganya kwa kutoa magawio kwa serikali. Na wengine (ATCL) wakasema Mwaka 2018 walipata faida ya Tshs 28B, lakini, lakini CAG kasema ATCL imepata hasara kwa miaka mitano mfululizo UKIWEMO HUO MWAKA 2018 ambao tuliambiwa walipata faida.......
Matokeo yake, madhambi yote yameekwa hadharani GHAFRA, halafu mengi kishenzi kwa wakati mmoja Yaani ATCL, TANESCO, SIJUI HATI CHAFU, etc... Unategemea nini?? Yaani ukilinganisha na aliyokuwa anayahubiri, NA HUU WIZI ULIOKUWA UKIENDELEA ndani ya serikali, LAZIMA USHANGAE... utakuwa wa ajabu sana kama utaona ni sawa wizi huu kutokea, KISA UMEONA FLYOVER YA UBUNGO.... hivi bila wizi, zingejengwa flyover ngapi kwa hela zilizopigwa???
Miradi aliyoianzisha ikiwekwa hadharani, tutakimbiana hapa.. SASA HII ILIWEKWA WAZI MINGINE ILIPITIA BUNGENI.. NIAMBIE ILE YA JUUKWAJU IPOJE? eg Uwanja wa Ndege Chato haukupita Bungeni etc
Ndio Mana hata Mungu hawapendi wanyongeView attachment 1747010
Mmesikia serikali ya wanyonge? Serikali takatifu ya shujaa wa Afrika, tuliyeambiwa amefuta ufisadi? Ngoja nikutajie machache;
Ujenzi wa SGR umesababisha hasara ya 3.5Bil kwa kuajiri wafanyakazi wa kigeni wasiokua na vibali.
Kigwangala alitumia 172M kuandaa Kili challenge lakini pesa hizo hazijulikani zilitumikaje (hazina risiti).
Akaunti ya jeshi la zimamoto ilitumika kupitisha 261M. Yani watu walipiga "mchongo" wakakosa akaunti ya kupitishia, wakatumia akaunti ya zimamoto. Zilipoingia wakazitoa wakasepa. Just imagine watu wana ujasiri wa kupitisha pesa chafu kwenye akaunti ya jeshi? Halafu tunaambiwa mwendazake alinyoosha nchi.
Wasafi walipewa 140M, TBC 201M na Clouds 629M kutangaza tamasha la Urithi Festival. Lakini hakuna mkataba wala risiti yoyote ya kujustify malipo hayo.
18Bil zilizokusanywa ktk wilaya 135 hazikufika serikalini. Yani zilikusanywa lakini wajanja wakalala nazo mbele.
3.9Bil zilitolewa kukarabati ndege ya ATCL iliyopaki tangu mwaka 2015, lakini hela imeliwa na ndege haijakarabatibwa. Yani watu walitafuna milioni 3,900 halafu hawakupaka hata rangi.Hayo ni baadhi tu ya "madudu" ya serikali takatifu ya mwendazake. Sijaongelea HESLB, TANAPA, TANROADS, SGR, Stligler's gorge, Stand ya Magufuli. Huko kuna madudu ya kutisha.
Lakini tuliaminishwa serikali ya mwendazake haikua na doa. Watu waliokosoa waliitwa vibaraka. Serikali takatifu haikutaka kunyooshewa kidole.
Tujifunze kutofautisha mtu msafi na anayeficha uchafu. Mwendazake hakua msafi bali alijua kuficha uchafu. Ndio maana akaminya uhuru wa habari. Hatukusikia skendo kama za Escrow tukadhani serikali yake ni safi, kumbe kuna skendo kubwa zaidi ya Escrow lakini zimefichwa uvunguni.Ndio maana nasema afadhali JK aliruhusu media ziwe huru. Skendo za Richmond, EPA, Escrow aliacha wananchi wajue. Lakini mwendazake alifunika skendo zisifike kwa wananchi.
Ndio maana watu wamemtania CAG atoe pia ripoti aliyopanga kumpa mwendazake, maana angekua hai asingethubutu kusema ATCL imepata hasara ya mabilioni, au SGR imeleta hasara, au mradi wa Stigler's umejaa madudu. Angeficha kwa sababu ndivyo mwendazake alivyopenda.
Tunahitaji viongozi wasafi, sio wanaojua kuficha uchafu.!
By Malisa Godlisten
Tunataka majizi aliyokua anawaimba, na wapiga dili wako walikua wa hawam ipi hii au enzi ipi? Nyie na huyu MZEE mmewachea akili mbaya watanzania, MUNGU shahidi ,Sasa ni je mangapi watz bado hawajajua,? Mawaziri wake wameishi mama peponi, vipi yeye aliishi vipi? Unanunua mandenge,wakati wananchi wako wafa njaa alafu yanatengeneza hasara, hii umekaa vipi mpaka kuandika haya, aisee MUNGU anawaona na malipo ni hapa dunian,na nasema wazulumaji wote wa serikali iliyopita mjipange MUNGU ataongea nanyi siku zaja, atalipa roho ya kila mtanzania ,na ndivyo ilivyo sio maneno ya if,Spidi aliulypkuwa nayo Marehemu Magufuli ya kufanya mambo yaende na kufanyika kwa kasi inayoonekana wazi kwa kila mtu, ichallenge kwa waliopo iwe serikalini au bungeni au Mahakamani.
Matarajio ya wananchi ni kuwa spidi itakuwa kubwa kuliko ile au itabaki ile ile.
Sasa hivi Marehemu anapondwa sana kuwa ohh alikuwa dikteta mara ohh alikuwa fisadi mara ohh staili yake haifai
Hakuna shida; cha msingi wananchi wanataka mambo yaende. Tukaneni matusi yote ila mwisho wa siku wananchi watalinganisha output yenu watukanaji na ya Magufuli kwenye kugusa maisha ya wananchi wanyonge
Marehemu Magufuli kila kona anakuwa attacked siyo kesi ila mambo yaende yasipoenda wananchi watawazomea kila kona Kila mtakakopita wadhalilisha Magufuli. Mtazomewa na kuambiwa Magufuli angekuwa hai hili lingefanyika na watawazomea.
Raisi SSH akifufuka nchi ina raisi.Mara Paa Magufuri Kafufuka. Patakuwa hapatoshi dodoma.
Umemshauri vizuri kwani bila hivyo itaonekana yeye ndiyo anayempinga kumbe ni kwakua watu wale wale wanafanya the opposite of what was there beforeTo be fair kwa Magufuli na Samia nadhani ni vyema haya yakafanyika;
1. Rais aondoe team yote ya Magufuli , hii itamuwezesha kuja na watu anaowaamini na anaoona watafit kwenye vision yake na pia itawapunguzia mzigo team ya awamu ya tano kutengeneza mitazamo kinzani kwenye jambo moja.
2. Rais asimamishe miradi yote kwanza;
Aunde tume zake kama ile ya covid , ili zimshauri ni miradi gani ina tija na pia atuambie kama ataendelea nayo au la.
3. Atuambie yeye mwenyewe ana mipango gani ya maendeleo kwa Taifa.
Baada ya haya kufanyika , tutaendelea pale tulipoishia.
Na hao ndio population kubwa ya Tanzania zaidi ya asilimia 80 na ndio wanyonge wenyewe waliompigia kura na ndio alijitahidi kuwapelekea miradi mingi na elimu bure nk
Ndio aliosimama nao.Lisu alisimama na wanaoielewa akaambulia kura milioni moja
Magufuli akasimama na wasiojielewa wenye elimu duni na uelewa duni na machinga na ma ntilie nk.
Nakubaliana na wewe alisima na wengi wa chini hakusimama na wachaje wa juu au middle class
Magufuli alikuwa kwenye ujenz wa nchi, hakutaka kelele kelele.Mbona yeye aliwa attack wastaafu alipoukwaa urais?
Kwanini yeye asishambuliwe kwa maovu aliyoyafanya?
Tena mtu kama magu watu watamu attack sana kwa sababu enzi za uhai wake alitumia mkono wa chuma kunyamazisha watu wasihoji wala kupinga chochote akifanyacho.
Ukijaribu risasi zinakuhusu!
Now hayupo acheni watu wajimwaemwae.