Hayati Magufuli angekuwepo SGR Dar-Moro na Bwawa la Mwl. Nyerere vingekuwa vinafanya kazi

Hayati Magufuli angekuwepo SGR Dar-Moro na Bwawa la Mwl. Nyerere vingekuwa vinafanya kazi

Kuchelewa kukamilika miradi huwa ni suala la kawaida, mwamba mwenyewe mzalendo no.1 alitamani na alipambania haswa sgr dar to Moro kufikia December 2019 iwe imeanza kazi lkn tofauti na mategemeo mpaka 2021 ilikuwa bado, so msiwe na wasiwasi mama Yuko kazini kabla ya 2025 sgr itakuwa mzigoni.
 
Nawaza tu, endapo Magufuli angekuwepo leo;

1. Train ya umeme ingekuwa inapiga kazi usiku na mchana na serikali ingianza kuingiza pesa za kutosha.

2. Bwawa la Mwl. Nyerere lingeanza kuzalisha umeme wa kutosha na leo hii stori za kukatika umeme zisingekuwepo.

3. Kalemani angekuwa Waziri wa Nishati na Nape Nnauye bado angekuwa Mbunge wa kawaida.

4. Magufuli angekuwepo January Makamba angeendelea kuwa Mbunge wa kawaida na Paul Makonda angeteuliwa kuwa Mbunge wa kuteuliwa na sasa angekuwa Waziri wa Miundombinu.

5. Magufuli angekuwepo Lissu bado angekuwa Ubelgiji na Wamasai wasingeondolewa Ngorongoro.

6. Magufuli angekuwepo Sabaya kwa sasa angekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma!
Hilo bwawa kelele za miaka mitatu ya utawala wake na aliacha lipo 30% tu,miaka miwili ya mwanamke wa shoka lipo 92%+
 
Nawaza tu, endapo Magufuli angekuwepo leo;

1. Train ya umeme ingekuwa inapiga kazi usiku na mchana na serikali ingianza kuingiza pesa za kutosha.

2. Bwawa la Mwl. Nyerere lingeanza kuzalisha umeme wa kutosha na leo hii stori za kukatika umeme zisingekuwepo.

3. Kalemani angekuwa Waziri wa Nishati na Nape Nnauye bado angekuwa Mbunge wa kawaida.

4. Magufuli angekuwepo January Makamba angeendelea kuwa Mbunge wa kawaida na Paul Makonda angeteuliwa kuwa Mbunge wa kuteuliwa na sasa angekuwa Waziri wa Miundombinu.

5. Magufuli angekuwepo Lissu bado angekuwa Ubelgiji na Wamasai wasingeondolewa Ngorongoro.

6. Magufuli angekuwepo Sabaya kwa sasa angekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma!
Wewe ya Mungu unayajuaje, may be angekuepo angekua ICC ikinyea ndoo, ulifikili upepo ulikua mzuri kwa upande wake, Mungu ni Mungu ndo maana hata haonekani
 
Nawaza tu, endapo Magufuli angekuwepo leo;

1. Train ya umeme ingekuwa inapiga kazi usiku na mchana na serikali ingianza kuingiza pesa za kutosha.

2. Bwawa la Mwl. Nyerere lingeanza kuzalisha umeme wa kutosha na leo hii stori za kukatika umeme zisingekuwepo.

3. Kalemani angekuwa Waziri wa Nishati na Nape Nnauye bado angekuwa Mbunge wa kawaida.

4. Magufuli angekuwepo January Makamba angeendelea kuwa Mbunge wa kawaida na Paul Makonda angeteuliwa kuwa Mbunge wa kuteuliwa na sasa angekuwa Waziri wa Miundombinu.

5. Magufuli angekuwepo Lissu bado angekuwa Ubelgiji na Wamasai wasingeondolewa Ngorongoro.

6. Magufuli angekuwepo Sabaya kwa sasa angekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma!
Huo ni ukweli usio na pingamizi.
 
Nawaza tu, endapo Magufuli angekuwepo leo;

1. Train ya umeme ingekuwa inapiga kazi usiku na mchana na serikali ingianza kuingiza pesa za kutosha.

2. Bwawa la Mwl. Nyerere lingeanza kuzalisha umeme wa kutosha na leo hii stori za kukatika umeme zisingekuwepo.

3. Kalemani angekuwa Waziri wa Nishati na Nape Nnauye bado angekuwa Mbunge wa kawaida.

4. Magufuli angekuwepo January Makamba angeendelea kuwa Mbunge wa kawaida na Paul Makonda angeteuliwa kuwa Mbunge wa kuteuliwa na sasa angekuwa Waziri wa Miundombinu.

5. Magufuli angekuwepo Lissu bado angekuwa Ubelgiji na Wamasai wasingeondolewa Ngorongoro.

6. Magufuli angekuwepo Sabaya kwa sasa angekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma!
Moja maneno yake nanukuu:MTANIKUMBUKA.
 
Mama alimpendelea sana Makamba alimruhusu kufukuza top management yote pamoja na bodi yao.
Makamba alikiita hicho kitendo ni kung'oa engine yote ili watanzania wapate umeme wa uhakika.

Cha ajabu miaka 2 baada ya engine kung'olewa hali ya umeme ni mbaya zaidi.
 
Asingeweza mana walipa Kodi walikuwa wamebaki ni machinga tu. Wafanyabiashara na walipa Kodi wakubwa walikuwa wameshasepa. Pesa angeitoa wapi Sasa. Ashukuru mungu tu kumpumzisha mana ingekuwa aibu
Hebu list hapa chini wafanyabiashara ambao walikuwa listed BRELA na walikuwa walipa kodi wazuri walikumbia enzi za hayati Magufuli
1,......
2........
3......
4.......
5.........

Ukishindwa kuwaorodhesha wewe ni mbwa koko
 
Kama tuu Hadi anakufa alishindwa kukamilisha ujenzi wa Kipande Cha Dar-Moro.kwa mujibu wa ratiba sembuse Bwawa ambalo hata hela hakuwa nazo?

Mwisho mtu aliyeshindwa kujenga madarasa na kuwapa Watoto madawati Hadi wanaingia shule kama mafungu ya nyanya unadhani angeweza lipi?
Alikufa aliuliwa?
 
Back
Top Bottom