King Nkondo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2023
- 1,399
- 2,110
Ukatili Kwa wapinga maendeleo ilikuwa ni stahiki yao, mwamba hakutaka wajinga wajinga kama chadema wampigie kelele kwenye kazi zake za kuchapa maendeleo,Tatizo lake ilikuwa ni ukatili pekee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukatili Kwa wapinga maendeleo ilikuwa ni stahiki yao, mwamba hakutaka wajinga wajinga kama chadema wampigie kelele kwenye kazi zake za kuchapa maendeleo,Tatizo lake ilikuwa ni ukatili pekee
Upo sahihi dada anguUkatili Kwa wapinga maendeleo ilikuwa ni stahiki yao, mwamba hakutaka wajinga wajinga kama chadema wampigie kelele kwenye kazi zake za kuchapa maendeleo,
Mie ni Kaka ako, dogo kuwa na adabuUpo sahihi dada angu
Sina kaka mjinga kiasi hikiMie ni Kaka ako, dogo kuwa na adabu
Hilo bwawa kelele za miaka mitatu ya utawala wake na aliacha lipo 30% tu,miaka miwili ya mwanamke wa shoka lipo 92%+Nawaza tu, endapo Magufuli angekuwepo leo;
1. Train ya umeme ingekuwa inapiga kazi usiku na mchana na serikali ingianza kuingiza pesa za kutosha.
2. Bwawa la Mwl. Nyerere lingeanza kuzalisha umeme wa kutosha na leo hii stori za kukatika umeme zisingekuwepo.
3. Kalemani angekuwa Waziri wa Nishati na Nape Nnauye bado angekuwa Mbunge wa kawaida.
4. Magufuli angekuwepo January Makamba angeendelea kuwa Mbunge wa kawaida na Paul Makonda angeteuliwa kuwa Mbunge wa kuteuliwa na sasa angekuwa Waziri wa Miundombinu.
5. Magufuli angekuwepo Lissu bado angekuwa Ubelgiji na Wamasai wasingeondolewa Ngorongoro.
6. Magufuli angekuwepo Sabaya kwa sasa angekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma!
We ni nyumbu wa mbowe huwezi ukawa na akili timamu.Sina kaka mjinga kiasi hiki
Wewe ya Mungu unayajuaje, may be angekuepo angekua ICC ikinyea ndoo, ulifikili upepo ulikua mzuri kwa upande wake, Mungu ni Mungu ndo maana hata haonekaniNawaza tu, endapo Magufuli angekuwepo leo;
1. Train ya umeme ingekuwa inapiga kazi usiku na mchana na serikali ingianza kuingiza pesa za kutosha.
2. Bwawa la Mwl. Nyerere lingeanza kuzalisha umeme wa kutosha na leo hii stori za kukatika umeme zisingekuwepo.
3. Kalemani angekuwa Waziri wa Nishati na Nape Nnauye bado angekuwa Mbunge wa kawaida.
4. Magufuli angekuwepo January Makamba angeendelea kuwa Mbunge wa kawaida na Paul Makonda angeteuliwa kuwa Mbunge wa kuteuliwa na sasa angekuwa Waziri wa Miundombinu.
5. Magufuli angekuwepo Lissu bado angekuwa Ubelgiji na Wamasai wasingeondolewa Ngorongoro.
6. Magufuli angekuwepo Sabaya kwa sasa angekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma!
Sahihi sisterWe ni nyumbu wa mbowe huwezi ukawa na akili timamu.
Kwa position ya urais, ni lazima uwe katili ili mambo yaende mbelePamoja na ukatili wake lakkini aliipenda sn nchi yake
SawaKwa position ya urais, ni lazima uwe katili ili mambo yaende mbele
Nikutakie siku njema nyumbu wa mbowe!Sahihi sister
Huo ni ukweli usio na pingamizi.Nawaza tu, endapo Magufuli angekuwepo leo;
1. Train ya umeme ingekuwa inapiga kazi usiku na mchana na serikali ingianza kuingiza pesa za kutosha.
2. Bwawa la Mwl. Nyerere lingeanza kuzalisha umeme wa kutosha na leo hii stori za kukatika umeme zisingekuwepo.
3. Kalemani angekuwa Waziri wa Nishati na Nape Nnauye bado angekuwa Mbunge wa kawaida.
4. Magufuli angekuwepo January Makamba angeendelea kuwa Mbunge wa kawaida na Paul Makonda angeteuliwa kuwa Mbunge wa kuteuliwa na sasa angekuwa Waziri wa Miundombinu.
5. Magufuli angekuwepo Lissu bado angekuwa Ubelgiji na Wamasai wasingeondolewa Ngorongoro.
6. Magufuli angekuwepo Sabaya kwa sasa angekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma!
Moja maneno yake nanukuu:MTANIKUMBUKA.Nawaza tu, endapo Magufuli angekuwepo leo;
1. Train ya umeme ingekuwa inapiga kazi usiku na mchana na serikali ingianza kuingiza pesa za kutosha.
2. Bwawa la Mwl. Nyerere lingeanza kuzalisha umeme wa kutosha na leo hii stori za kukatika umeme zisingekuwepo.
3. Kalemani angekuwa Waziri wa Nishati na Nape Nnauye bado angekuwa Mbunge wa kawaida.
4. Magufuli angekuwepo January Makamba angeendelea kuwa Mbunge wa kawaida na Paul Makonda angeteuliwa kuwa Mbunge wa kuteuliwa na sasa angekuwa Waziri wa Miundombinu.
5. Magufuli angekuwepo Lissu bado angekuwa Ubelgiji na Wamasai wasingeondolewa Ngorongoro.
6. Magufuli angekuwepo Sabaya kwa sasa angekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma!
Hebu list hapa chini wafanyabiashara ambao walikuwa listed BRELA na walikuwa walipa kodi wazuri walikumbia enzi za hayati MagufuliAsingeweza mana walipa Kodi walikuwa wamebaki ni machinga tu. Wafanyabiashara na walipa Kodi wakubwa walikuwa wameshasepa. Pesa angeitoa wapi Sasa. Ashukuru mungu tu kumpumzisha mana ingekuwa aibu
Alikufa aliuliwa?Kama tuu Hadi anakufa alishindwa kukamilisha ujenzi wa Kipande Cha Dar-Moro.kwa mujibu wa ratiba sembuse Bwawa ambalo hata hela hakuwa nazo?
Mwisho mtu aliyeshindwa kujenga madarasa na kuwapa Watoto madawati Hadi wanaingia shule kama mafungu ya nyanya unadhani angeweza lipi?
madako yako miradi ipi mfuUkweli ni kuwa hiyo miradi yote ni mfu
Chagua jibu sahihi pigia mstariAlikufa aliuliwa?