Hayati Magufuli angekuwepo tungekuwa mbali

Hayati Magufuli angekuwepo tungekuwa mbali

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
901
Reaction score
1,742
Yule jamaa ukiachilia kisasi na chuki aliyokua nayo kwa baadhi ya vitu na watu alikua raisi mzuri sana aliboresha hata utendaji serikalini.

Sasa hivi document inatoka unaambiwa bado mtu 1 kusaini huyo mtu sasa anaingia asubuhi kazini anafungua App kwanza kuangalia Tamthilia aliyoimiss usiku.

Akimaliza anapitia magroup yote ya whatsapp akimaliza anakunywa chai lisaa akimaliza anapigia simu nyumbani kwao anaongea na kila mtu hapo nusu saa kabla ya lunch time anasogeza file kama ana lisaini analiacha hapo juu ya meza anaenda kutafuta chakula akirudi analifungua kurasa mbili ya minutes na ya maelekezo kisha anaita mtu wa manunuzi kujadili halafu anasema ntalisaini kesho.

Siku imepita , wiki, mwezi , miezi , mwaka watu mnasubiri huduma tu !!! Ingewezekana yule mzee tungemfufua tu
 
Usijali Mungu alimleta Magu kutuonyesha kwamba inawezekana, hivyo inawezekana na tutaichukuwa (tena) nchi yetu na kuindeleza alipoachia Magu, soon, …
 
Pole mkuu tuvumilie tu.

Wacha tulambe asali na tuwarithishe watoto wetu mashimo yaliyoachwa na wawekezaji.

Kipindi hicho mbuga za wanyama watakua wamebakia mbuzi tu.

Maana meli za kubeba wanyama zitakua zimewamaliza wote.
 
Yule jamaa ukiachilia kisasi na chuki aliyokua nayo kwa baadhi ya vitu na watu alikua raisi mzuri sana aliboresha hata utendaji serikalini.

Sasa hivi document inatoka unaambiwa bado mtu 1 kusaini huyo mtu sasa anaingia asubuhi kazini anafungua App kwanza kuangalia Tamthilia aliyoimiss usiku.

Akimaliza anapitia magroup yote ya whatsapp akimaliza anakunywa chai lisaa akimaliza anapigia simu nyumbani kwao anaongea na kila mtu hapo nusu saa kabla ya lunch time anasogeza file kama ana lisaini analiacha hapo juu ya meza anaenda kutafuta chakula akirudi analifungua kurasa mbili ya minutes na ya maelekezo kisha anaita mtu wa manunuzi kujadili halafu anasema ntalisaini kesho.

Siku imepita , wiki, mwezi , miezi , mwaka watu mnasubiri huduma tu !!! Ingewezekana yule mzee tungemfufua tu
we umejuaje yote hayo
 
Kuna ufala mwingi saana kwenye ofisi za serikali, bila chochote kitu na connection inakula kwako

Kila mtu na mazuri na mabaya yake, mwendazake khna sehemu alktukera kuna sehemu swaafi kabisa.
 
Na ikishindikana kumfufua, bora ufe tu, umfuate kwenye ufalme wa malaika, ambapo yeye ndo mkuu wao kwa
Sasa!
Nikifa na wewe bora ufweee uje huku tuendelee ku comment au vipi baba ?
 
Yule jamaa ukiachilia kisasi na chuki aliyokua nayo kwa baadhi ya vitu na watu alikua raisi mzuri sana aliboresha hata utendaji serikalini.

Sasa hivi document inatoka unaambiwa bado mtu 1 kusaini huyo mtu sasa anaingia asubuhi kazini anafungua App kwanza kuangalia Tamthilia aliyoimiss usiku.

Akimaliza anapitia magroup yote ya whatsapp akimaliza anakunywa chai lisaa akimaliza anapigia simu nyumbani kwao anaongea na kila mtu hapo nusu saa kabla ya lunch time anasogeza file kama ana lisaini analiacha hapo juu ya meza anaenda kutafuta chakula akirudi analifungua kurasa mbili ya minutes na ya maelekezo kisha anaita mtu wa manunuzi kujadili halafu anasema ntalisaini kesho.

Siku imepita , wiki, mwezi , miezi , mwaka watu mnasubiri huduma tu !!! Ingewezekana yule mzee tungemfufua tu
Mbali ya Sri Lanka labda au mbali ipi unaisema wewe?
 
Najaribu kuwaza, Wataalamu mtanisahihisha.

Vipi kama Serikali ingekuwa inaajiri kwa Mkataba kama ilivyo kwenye Private sector? Mtu awe anaongezewa Mkataba kulingana na KPI yake na iwapo ata under perform ama ana mis behave kazini basi haongezewi mkataba wake na badala yake wanapewa ajira watu wengine?

Maana watendaji wengi Serikalini wanachukulia Poa poa sana maana wana Uhakika ajira ni ya kudumu mpaka Astaafu. Hivyo hana Presha
Good idea
 
Back
Top Bottom