Hayati Magufuli atakumbukwa kwa msimamo na maono yake kwa Taifa

Hayati Magufuli atakumbukwa kwa msimamo na maono yake kwa Taifa

Pamoja na hoja nyingi zinazotolewa kuhusu aliyekuwa rais wa JMT hayati JPM, ukweli utabaki kuwa ukweli.
Magufuli alipigania maslahi ya taifa.
Alitetea wananchi wa hali ya chini (wanyonge)
Alikuwa mzalendo kwa taifa lake.
Alikubali kuonekana kama mtu asiyefaa ili mradi tu asimamie maslahi ya taifa.
Hakika tutamkumbuka daima kwa misimamo na maono yake bila kujali wangapi wangempinga!

Je vijana wa leo, tunaweza kusimamia maono tuliyonayo hata kama wengi watatupinga? Au tutaamua kwenda kama dunia inavyotaka hata kama haituongozi kule tunakoelekea?View attachment 2153375
Pengo lake halina spea, serikali yake ilisifika kwa utekelezaji serikali ya sasa hivi inasifika kwa maneno na malalamiko mengi bila utekelezaji.

Wale wenye mimba zako za chuki kwenye vichwa na mawazo yao, waliodai "hamna uhuru wa kujieleza ",baada ya kuingia Mama wakadai sasa hivi kuna uhuru wa kujieleza, cha ajabu.

Pamoja na uhuru wakujieleza.
1.Mgao wa umeme kimya
2.Mgao wa maji kimya.
3.Tozo kimya.
4.Bei ya mafuta imepanda tokea mwaka jana mwishoni, amabayo imegusa bidhaa nyingine kimya.
5.Watu wanajipigia hela plus utendaji na uwajibikaji wa watumishi umepungua kimya.

Unajiuliza sasa uhuru wa kuongea walikuwa wanaudai katika mambo gani, ikiwa mambo yanayo yagusa wananchi hawaongei labda may be uliwabana sana kwenye issues zao za Magendo.

Bahati kwa nature ya kazi yangu nimezunguka sana baadhi ya mikoa,nimeshudia hospitali ulizojenga kila wilaya, mahakama kila wilaya barabara za kisasa,nimeshuhudia majengo mapya ya ofisi za wakuu wa wilaya na wakurugenzi na zaidi nilishuhudia barabara ya km 50 ya zege kuelekea Ludewa.

Pumzika tu ila pengo lako halina spea, vitu ulivyo vifanya vinaonekana huitaji kutumia nguvu.

RIP Chuma John Pombe Magufuli.
 
Uchafuzi na wizi wa chaguzi ndìo hitimisho la huyo "mwamba". Mzee wa sauti moja tu, nyingine fyekelea mbali.
 
Mimi kwa JPM nampongeza tu kwa uthubutu wake tu lakini akili ya uongozi hakua nayo na swala eti alipigania wanyonge hakuna kitu kama hicho kwa Sababu yeye ndo kaongeza umasikini kwa wanyonge zaidi ya hapo alikua bingwa wa kusema uongo na wajinga wakaona uongo wake ndo ukweli.Kama asingekufa basi nchi yetu ilikua unaenda kuangamia .
 
Kwanini wakati huo rais alituhumiwa moja kwa moja tofauti na sasa?
Kuna vijana wanapotea, wengine wanauawa ama kufungwa kwa madai ya ugaidi; kwanini hatajwi rais kuhusika?

Au ndio kusema, tusiyoyajua ni mengi kuliko tuyajuayo? Na kwamba siasa za nchi yetu zimejaa propaganda nyingi kuliko ukweli/ uhalisia? [emoji848]
Ametuachia bunge la Kijani
 
Usisahau katuachia na bunge la Kijani
Pengo lake halina spea, serikali yake ilisifika kwa utekelezaji serikali ya sasa hivi inasifika kwa maneno na malalamiko mengi bila utekelezaji.

Wale wenye mimba zako za chuki kwenye vichwa na mawazo yao, waliodai "hamna uhuru wa kujieleza ",baada ya kuingia Mama wakadai sasa hivi kuna uhuru wa kujieleza, cha ajabu.

Pamoja na uhuru wakujieleza.
1.Mgao wa umeme kimya
2.Mgao wa maji kimya.
3.Tozo kimya.
4.Bei ya mafuta imepanda tokea mwaka jana mwishoni, amabayo imegusa bidhaa nyingine kimya.
5.Watu wanajipigia hela plus utendaji na uwajibikaji wa watumishi umepungua kimya.

Unajiuliza sasa uhuru wa kuongea walikuwa wanaudai katika mambo gani, ikiwa mambo yanayo yagusa wananchi hawaongei labda may be uliwabana sana kwenye issues zao za Magendo.

Bahati kwa nature ya kazi yangu nimezunguka sana baadhi ya mikoa,nimeshudia hospitali ulizojenga kila wilaya, mahakama kila wilaya barabara za kisasa,nimeshuhudia majengo mapya ya ofisi za wakuu wa wilaya na wakurugenzi na zaidi nilishuhudia barabara ya km 50 ya zege kuelekea Ludewa.

Pumzika tu ila pengo lako halina spea, vitu ulivyo vifanya vinaonekana huitaji kutumia nguvu.

RIP Chuma John Pombe Magufuli.
 
Pamoja na hoja nyingi zinazotolewa kuhusu aliyekuwa rais wa JMT hayati JPM, ukweli utabaki kuwa ukweli.
Magufuli alipigania maslahi ya taifa.
Alitetea wananchi wa hali ya chini (wanyonge)
Alikuwa mzalendo kwa taifa lake.
Alikubali kuonekana kama mtu asiyefaa ili mradi tu asimamie maslahi ya taifa.
Hakika tutamkumbuka daima kwa misimamo na maono yake bila kujali wangapi wangempinga!

Je, vijana wa leo, tunaweza kusimamia maono tuliyonayo hata kama wengi watatupinga? Au tutaamua kwenda kama dunia inavyotaka hata kama haituongozi kule tunakoelekea?​

View attachment 2153375

atakumbukwa sana mpaka sasa hivi kwenye ligi ya urais makufuli anaongoza akifuatiwa na nyerere
 
Labda maono ya kuua na kupiga watu risasi.
FN_sEdQXoAcX4Xa.jpg
 
Aturudishie Kwanza aliowapoteza
Hata yeye hivi sasa hayupo tena ! Lakini maisha yanaendelea na pia Mimi na wewe iko siku tutaondoka na maisha yataendelea kama kawaida !! Kila MTU ana mabaya yake na mazuri yake tujitahidi kujifunza kuchukua yale mema ya watu katika jamii na kuyaendeleza na pia kujifunza na kuyaacha yale yote mabaya ya Hao watu katika jamii !! Iwe ni kwa viongozi au kwa watu wa kawaida hakuna aliyekamilika !! "
 
Pamoja na hoja nyingi zinazotolewa kuhusu aliyekuwa rais wa JMT hayati JPM, ukweli utabaki kuwa ukweli.
Magufuli alipigania maslahi ya taifa.
Alitetea wananchi wa hali ya chini (wanyonge)
Alikuwa mzalendo kwa taifa lake.
Alikubali kuonekana kama mtu asiyefaa ili mradi tu asimamie maslahi ya taifa.
Hakika tutamkumbuka daima kwa misimamo na maono yake bila kujali wangapi wangempinga!

Je, vijana wa leo, tunaweza kusimamia maono tuliyonayo hata kama wengi watatupinga? Au tutaamua kwenda kama dunia inavyotaka hata kama haituongozi kule tunakoelekea?​

View attachment 2153375
Naunga mkojo hoja
 
Mwaka umekatika bt it look like yesterday...
Kuna mengi yamebadilika ambayo nahisi angekuepo yangefanyika tofauti na kwa kasi kubwa...

Kasi ya Utendaji imepungua na Kasi ya kupiga domo imeongezeka...zama hizi naweza kuchora ramani ya nyumba na nikajivunia kua ni mafanikio...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Enzi za mawaziri kukimbizana site zimeisha..

Enzi za kujivunia uchapakazi na miradi mmoja baada ya mwingine sizioni tena now tupo bze mikutano, makongamano, warsha na Safari...

From hard workers to Mediocre in just one yr.

Yapo Mengi ya kukumbuka bt niseme tu God is good all the time, hawezi kuliacha jambo lifanyike bila kua na sababu zake...
Lifes goes on.....
Rest in Power A true Son of of Africa.
Acha propaganda hizo wewe?
 
Mungu alituepusha na hiki kikombe Cha uovu!!, Leo Bungeni ingekuwa tiali muswaada umepitishwa Rais wa wanyonge atawala milele.
 
Back
Top Bottom