Sang'udi
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 9,138
- 22,236
Na bahati mbaya ndio anayeendesha nchi kwa sasa.Kiikwte ndio rais wa hovyo kabiisa kutokea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na bahati mbaya ndio anayeendesha nchi kwa sasa.Kiikwte ndio rais wa hovyo kabiisa kutokea
Kwahiyo kwa kuwa alitokea Chato unataka kusiwe na maendeleo?Mauaji,Utekaji,Wasiojulikana,Upendeleo,Ukabila,Kujisifia,Wizi wa Kura,Kubambikia wapinzani kesi,Kununua Wapinzani,Kuongea hovyo hovyo ni baadhi ya mambo tutakayokosa.
1. Chato International Airport
2. Chato National Park
3. Chato CRDB
4. Chato Bohari ya madawa ya kanda
5. Chato VETA
6. Chato Hotel TANAPA
7. Chato Zimamoto
8. Chato Hospital rufaa
9. Chato Mahakama
10. Chato 🚦
11. Chato .....
Bwana yule alichezea kodi zetu,bora kaondoka hana maana kabisa.
Only Mediocre will see my post km Propaganda...You must be one.Acha propaganda hizo wewe?
Safi kabisa,Kingai ametufundisha kitu kunaitwa PGO.
1. Bagamoyo imefumuliwa barabara za vumbi na kuanza kujengwa kila mtaa barabara za lami zilizochini kiwangoMauaji,Utekaji,Wasiojulikana,Upendeleo,Ukabila,Kujisifia,Wizi wa Kura,Kubambikia wapinzani kesi,Kununua Wapinzani,Kuongea hovyo hovyo ni baadhi ya mambo tutakayokosa.
1. Chato International Airport
2. Chato National Park
3. Chato CRDB
4. Chato Bohari ya madawa ya kanda
5. Chato VETA
6. Chato Hotel TANAPA
7. Chato Zimamoto
8. Chato Hospital rufaa
9. Chato Mahakama
10. Chato 🚦
11. Chato .....
Bwana yule alichezea kodi zetu,bora kaondoka hana maana kabisa.
Acha kutetea upumbavu, hakuna mnyonge hapa. Magufuli aliwafanya mtaji wa kuendeleza UDIKTETA wake, na nyinyi mukaanza kumuita mungu.Pamoja na hoja nyingi zinazotolewa kuhusu aliyekuwa rais wa JMT hayati JPM, ukweli utabaki kuwa ukweli.
Magufuli alipigania maslahi ya taifa.
Alitetea wananchi wa hali ya chini (wanyonge)
Alikuwa mzalendo kwa taifa lake.
Alikubali kuonekana kama mtu asiyefaa ili mradi tu asimamie maslahi ya taifa.
Hakika tutamkumbuka daima kwa misimamo na maono yake bila kujali wangapi wangempinga!
Je, vijana wa leo, tunaweza kusimamia maono tuliyonayo hata kama wengi watatupinga? Au tutaamua kwenda kama dunia inavyotaka hata kama haituongozi kule tunakoelekea?
View attachment 2153375
Magufuli ni shujaa wa mburula kama wewe Gobole ambao hamna uwezo wa kuchambua uwongo na ukweli. Wahanga wa propaganda za Magufuli aliyekandamiza vyombo huru vya habari ni wale ambao hawajasoma kabisa, wanyonge, darasa la 7 na wale wanufaika wa utawala wake.Mwaka umekatika bt it look like yesterday...
Kuna mengi yamebadilika ambayo nahisi angekuepo yangefanyika tofauti na kwa kasi kubwa...
Kasi ya Utendaji imepungua na Kasi ya kupiga domo imeongezeka...zama hizi naweza kuchora ramani ya nyumba na nikajivunia kua ni mafanikio...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Enzi za mawaziri kukimbizana site zimeisha..
Enzi za kujivunia uchapakazi na miradi mmoja baada ya mwingine sizioni tena now tupo bze mikutano, makongamano, warsha na Safari...
From hard workers to Mediocre in just one yr.
Yapo Mengi ya kukumbuka bt niseme tu God is good all the time, hawezi kuliacha jambo lifanyike bila kua na sababu zake...
Lifes goes on.....
Rest in Power A true Son of of Africa.
Pamoja na hoja nyingi zinazotolewa kuhusu aliyekuwa rais wa JMT hayati JPM, ukweli utabaki kuwa ukweli.
Magufuli alipigania maslahi ya taifa.
Alitetea wananchi wa hali ya chini (wanyonge)
Alikuwa mzalendo kwa taifa lake.
Alikubali kuonekana kama mtu asiyefaa ili mradi tu asimamie maslahi ya taifa.
Hakika tutamkumbuka daima kwa misimamo na maono yake bila kujali wangapi wangempinga!
Je, vijana wa leo, tunaweza kusimamia maono tuliyonayo hata kama wengi watatupinga? Au tutaamua kwenda kama dunia inavyotaka hata kama haituongozi kule tunakoelekea?
View attachment 2153375
Hamna atakumbukwa KWa kuligawa taifa, na kutuachia mashimo matakatifu katika Taifa letu,Pamoja na hoja nyingi zinazotolewa kuhusu aliyekuwa rais wa JMT hayati JPM, ukweli utabaki kuwa ukweli.
Magufuli alipigania maslahi ya taifa.
Alitetea wananchi wa hali ya chini (wanyonge)
Alikuwa mzalendo kwa taifa lake.
Alikubali kuonekana kama mtu asiyefaa ili mradi tu asimamie maslahi ya taifa.
Hakika tutamkumbuka daima kwa misimamo na maono yake bila kujali wangapi wangempinga!
Je, vijana wa leo, tunaweza kusimamia maono tuliyonayo hata kama wengi watatupinga? Au tutaamua kwenda kama dunia inavyotaka hata kama haituongozi kule tunakoelekea?
View attachment 2153375
Atakumbukwa kua muuaji alieua na kuweka maiti kwenye virobaPamoja na hoja nyingi zinazotolewa kuhusu aliyekuwa rais wa JMT hayati JPM, ukweli utabaki kuwa ukweli.
Magufuli alipigania maslahi ya taifa.
Alitetea wananchi wa hali ya chini (wanyonge)
Alikuwa mzalendo kwa taifa lake.
Alikubali kuonekana kama mtu asiyefaa ili mradi tu asimamie maslahi ya taifa.
Hakika tutamkumbuka daima kwa misimamo na maono yake bila kujali wangapi wangempinga!
Je, vijana wa leo, tunaweza kusimamia maono tuliyonayo hata kama wengi watatupinga? Au tutaamua kwenda kama dunia inavyotaka hata kama haituongozi kule tunakoelekea?
View attachment 2153375
Shida ya nchi yetu wahalifu kwa jina la siasa "viongozi" wanalindwa lakini wale wanaojali maslahi ya nchi ndiyo wanakuwa branded kama "wahalifu"...Akili hii Mungu mwenyewe anajua itatufikisha wapiKwanini wakati huo rais alituhumiwa moja kwa moja tofauti na sasa?
Kuna vijana wanapotea, wengine wanauawa ama kufungwa kwa madai ya ugaidi; kwanini hatajwi rais kuhusika?
Au ndio kusema, tusiyoyajua ni mengi kuliko tuyajuayo? Na kwamba siasa za nchi yetu zimejaa propaganda nyingi kuliko ukweli/ uhalisia? [emoji848]
Halafu kuna prof mmoja kichaa anasema eti hakuwa na maono, hivi yeye pamoja na huo u prof alishawahi kulifanyia nini hili taifa???? Yaani kuna watu watakufa vifo vya kimasikini sana kichwani. Dkt Magufuli hata kama waki degrade nafasi yake mionyoni mwa watanzania hakuna wa kuiondoa na uziri alishafariki hayupo na hawezi kujitetea na aliyoyafanya ni alama tosha itakayodumu daima ktk taifa letu. Na kibaya wanaomdharirisha wapo labeled kama traitors na watanzania wanawajua vizuri ila hawasemi kitu maana wanajua iliyokweliPamoja na hoja nyingi zinazotolewa kuhusu aliyekuwa rais wa JMT hayati JPM, ukweli utabaki kuwa ukweli.
Magufuli alipigania maslahi ya taifa.
Alitetea wananchi wa hali ya chini (wanyonge)
Alikuwa mzalendo kwa taifa lake.
Alikubali kuonekana kama mtu asiyefaa ili mradi tu asimamie maslahi ya taifa.
Hakika tutamkumbuka daima kwa misimamo na maono yake bila kujali wangapi wangempinga!
Je, vijana wa leo, tunaweza kusimamia maono tuliyonayo hata kama wengi watatupinga? Au tutaamua kwenda kama dunia inavyotaka hata kama haituongozi kule tunakoelekea?
View attachment 2153375
Hapa alikosea sana sana...Sijui kwanini alikuwa obsessed na kuifanya nchi kutokuwa na wapinzani...Hilo kwakweli ni kosa ambalo halina utetezi kwanguUsisahau katuachia na bunge la Kijani
Halafu huu ujinga mnautoaga wapi???? Yaani mnadanganywa kidogo na propaganda mnasadiki??? Hivi kipindi cha Mama Samia watu hawafi kwa vifo vya ajabu? Hivi serikali ni wajinga waue na kuzika kizembe hivyo??? Ungejua wewe ulitakiwa post nguvu ya serikali usingeshabikia huu ujinga. Dkt Magufuli hakuwa muuaji na hajawahi kuwa muuaji. Alikuwa ni mcha Mungu aliyeamini ktk umoja wa kitaifa. Mungu akulaani wewe unayeamini ujinga huu mpaka na kizazi chako kobe mkubwaAtakumbukwa kua muuaji alieua na kuweka maiti kwenye virobaView attachment 2154432