Hayati Magufuli atakumbukwa kwa msimamo na maono yake kwa Taifa

Hayati Magufuli atakumbukwa kwa msimamo na maono yake kwa Taifa

Ukigusa maslahi ya 'beberu' lazima ushughulikiwe kikamilifu, na njia mojawapo ni kutumia vyombo vya habari kupiga propaganda chafu. Hebu fikiri kiwango cha shutuma na lawama ambazo zingevuma kwenye vyombo vya habari vya kitaifa na kimataifa alichofanyiwa Mbowe (kuwekwa gerezani) awamu hii, kingefanyika awamu iliyopita.
Hivi mwanzilishi wa kesi ya Mbowe ni nani, siyo mwendazake ila ikamwangukia tu mama?
Mungu wetu ni mwema sana, uzuri kwenye kifo hakuna mbabe wala mnyonge
 
Je, vijana wa leo, tunaweza kusimamia maono tuliyonayo hata kama wengi watatupinga? Au tutaamua kwenda kama dunia inavyotaka hata kama haituongozi
Nchi fukara kama Tanzania haiwezi kufanya inachotaka. Ikijaribu itawekewa vikwazo na kutengwa. Na vikwazo vikikolea na vikiwagusa wakubwa wa nchi hii, Rais anaweza kupinduliwa. Hata Nyerere walitaka kumpindua hali ya uchumi ilivyozidi kuwa mbaya. Nchi zinazoweza kuongozwa kama Magufuli alivyotaka kuongoza ni nchi kama Iran, Russia, Venezuela ambazo zina utajiri wa mafuta, zina utajiri wa gesi vitu ambavyo vinaweza kupunguza ukali wa vikwazo.
 
hii nchi tuwape wazanzibar tu maana mara zote wao ndo wameitoa nchi kutoka kwenye tawala dhalimu na za kibabe
 
Halafu huu ujinga mnautoaga wapi???? Yaani mnadanganywa kidogo na propaganda mnasadiki??? Hivi kipindi cha Mama Samia watu hawafi kwa vifo vya ajabu? Hivi serikali ni wajinga waue na kuzika kizembe hivyo??? Ungejua wewe ulitakiwa post nguvu ya serikali usingeshabikia huu ujinga. Dkt Magufuli hakuwa muuaji na hajawahi kuwa muuaji. Alikuwa ni mcha Mungu aliyeamini ktk umoja wa kitaifa. Mungu akulaani wewe unayeamini ujinga huu mpaka na kizazi chako kobe mkubwa
Dada acha kupanic jamaa alikua anaua,hakuwahi kukemea hilo jambo wala kukana...jk hukufanya unyama kwa binadamu hivyo huyu pugi wenu ndio alijiona yeye ni zaidi ya mungu,mlivyo wajinga mkawa mnamtukuza yeye kma mungu bladifaken wahed
 
Nchi fukara kama Tanzania haiwezi kufanya inachotaka. Ikijaribu itawekewa vikwazo na kutengwa. Na vikwazo vikikolea na vikiwagusa wakubwa wa nchi hii, Rais anaweza kupinduliwa. Hata Nyerere walitaka kumpindua hali ya uchumi ilivyozidi kuwa mbaya. Nchi zinazoweza kuongozwa kama Magufuli alivyotaka kuongoza ni nchi kama Iran, Russia, Venezuela ambazo zina utajiri wa mafuta, zina utajiri wa gesi vitu ambavyo vinaweza kupunguza ukali wa vikwazo.
Nadhani suala linalotesa nchi nyingi za Afrika sio rasilimali/uchumi; bali ni ubinafsi na kujilimbikizia mali.
Nchi ya Tz ina utajiri wote huo uliotaja hapo na pengine hata kuzidi. Mfano madini nk.

Laiti kama viongozi wangekubali kuishi maisha ya kawaida na kuacha/kupunguza matumizi makubwa ya fedha ktk mishahara yao (hasa wanasiasa), posho, magari kifahari, ufisadi nk,
nchi ingepiga hatua kubwa mbele hata pasipo kutegemea sana misaada.
Nchi 'maskini' (japo hii dhana ya 'nchi maskini' huwa sikubaliani nayo) lakini baadhi ya viongozi wake wana maisha ya kifahari pengine kuliko hata wa nchi tajiri. Na kama haitoshi nchi hizohizo maskini ndizo zinazowezesha nchi tajiri kuendelea zaidi kwa kununua bidhaa zao na kuwapa upendeleo ktk uwekezaji!
 
Nadhani suala linalotesa nchi nyingi za Afrika sio rasilimali/uchumi; bali ni ubinafsi na kujilimbikizia mali.
Nchi ya Tz ina utajiri wote huo uliotaja hapo na pengine hata kuzidi. Mfano madini nk.

Laiti kama viongozi wangekubali kuishi maisha ya kawaida na kuacha/kupunguza matumizi makubwa ya fedha ktk mishahara yao (hasa wanasiasa), posho, magari kifahari, ufisadi nk,
nchi ingepiga hatua kubwa mbele hata pasipo kutegemea sana misaada.
Nchi 'maskini' (japo hii dhana ya 'nchi maskini' huwa sikubaliani nayo) lakini baadhi ya viongozi wake wana maisha ya kifahari pengine kuliko hata wa nchi tajiri. Na kama haitoshi nchi hizohizo maskini ndizo zinazowezesha nchi tajiri kuendelea zaidi kwa kununua bidhaa zao na kuwapa upendeleo ktk uwekezaji!
Tanzania haina utajiri wa gesi na mafuta ukilinganisha na nchi kama Russia, Venezuela, Iran. Madini tunayo lakini madini ni rahisi kuwekewa vikwazo kwa hiyo hatuwezi kukwepa vikwazo. Sekta ya nishati ni vigumu kuiwekea vikwazo kwa sababu bila mafuta, bila ya gesi uchumi wa dunia unaanguka.

Katika nchi zenye gesi, Tanzania ni namba 83


Katika nchi zenye mafuta, Tanzania wala haikuorodheshwa

 
Tanzania haina utajiri wa gesi na mafuta ukilinganisha na nchi kama Russia, Venezuela, Iran. Madini tunayo lakini madini ni rahisi kuwekewa vikwazo kwa hiyo hatuwezi kukwepa vikwazo. Sekta ya nishati ni vigumu kuiwekea vikwazo kwa sababu bila mafuta, bila ya gesi uchumi wa dunia unaanguka.

Katika nchi zenye gesi, Tanzania ni namba 83


Katika nchi zenye mafuta, Tanzania wala haikuorodheshwa

Ni Sawa, kwa mujibu wa takwimu hatuwezi kupinga.
Japo tutakubaliana kwamba, kuna nchi ambazo hazina rasilimali yoyote kati ya hizo ulizotaja au kuwa nazo chache, lakini bado kiuchumi zinaizidi nchi ya Tanzania na wala hazitegemei sana misaada ya wahisani.

Pamoja na yote, bado naamini kwamba, hayati JPM angekuwa hai, na laiti kama angepata ushirikiano wa kutosha, Tanzania ingepiga hatua kubwa sana ktk maendeleo.
 
We wa wapi?[emoji23][emoji23] Nenda Tweeter, FB, WhatsApp uone... Upo dunia gani mkuu? Are you serious?!
 
Kwa mauaji, utesaji na ukatili anaodaiwa kuufanya Magufuli basi hakuna kizazi kitamsahau au kupita bila kumlaani. Wapo watu ipo siku wataenda kulichapa viboko kaburi lake.

Hivi kama Magufuli alishajua kuwa huenda muda mfupi atakufa, kwanini hakutubu mbele ya watanzania ili watu wasamehe ukatili uliowahi kuufanya?
Nani kasema hakutubu? Ukatili upi huo unaoongelea? Na nani hao wa kuchapa kaburi lake? Hebu wajaribu hata kurusha mchanga tu wauone moto.

Mpaka alipata upako. Alikufa kifo chema.
 
Atakumbukwa kwa misimamo yake ya kuua,kutupa maiti ziwani,kuandaa mazishi ya Lisu,kesi ya mbowe na mengineyo!Hata Mkapa naye alikuwa Rais na yeye akumbukwe pia
 
Pamoja na hoja nyingi zinazotolewa kuhusu aliyekuwa rais wa JMT hayati JPM, ukweli utabaki kuwa ukweli.
Magufuli alipigania maslahi ya taifa.
Alitetea wananchi wa hali ya chini (wanyonge)
Alikuwa mzalendo kwa taifa lake.
Alikubali kuonekana kama mtu asiyefaa ili mradi tu asimamie maslahi ya taifa.
Hakika tutamkumbuka daima kwa misimamo na maono yake bila kujali wangapi wangempinga!

Je, vijana wa leo, tunaweza kusimamia maono tuliyonayo hata kama wengi watatupinga? Au tutaamua kwenda kama dunia inavyotaka hata kama haituongozi kule tunakoelekea?

View attachment 2153375
JPM hakuwa na maono ya aina yoyote tofauti na ukurupukaji!
Uongozi unahitaji great thinkers na watu wenye sound mental health + emotional intelligence!
Uongozi si sawa na kubeti!
Tofauti na hapo mnatulazimisha tuenzi visivyoenzika!
 
Ukigusa maslahi ya 'beberu' lazima ushughulikiwe kikamilifu, na njia mojawapo ni kutumia vyombo vya habari kupiga propaganda chafu. Hebu fikiri kiwango cha shutuma na lawama ambazo zingevuma kwenye vyombo vya habari vya kitaifa na kimataifa alichofanyiwa Mbowe (kuwekwa gerezani) awamu hii, kingefanyika awamu iliyopita.
Inferiority complex!
 
Back
Top Bottom