Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Hata nyie wezii mtazikwa tu na pesa na mali mtaziacha hapa watu watagawana mirathi kunywea bia na kuhongea wanawake nyie mkiwa kuzimu na shetani mkipiga soga motoni.m
Kazikwe naye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata nyie wezii mtazikwa tu na pesa na mali mtaziacha hapa watu watagawana mirathi kunywea bia na kuhongea wanawake nyie mkiwa kuzimu na shetani mkipiga soga motoni.m
Kazikwe naye
Mmekula sana nyama za watu na kunywa damu zaoUjinga mtupu
JPM alikuwa anakusanya mapesa eti akitoka madarakani akazile, Mungu akapiga chini. Mamia ya maelfu ya mamilioni ya dola yakakamatwa na kutaifishwa. Mfugale alikuwa na matrilioni, akaulizwa ya nani, akasema Jiwe alikuwa anampa amtunzie, akapigwa Pini akaunti zake, akafaHata nyie wezii mtazikwa tu na pesa na mali mtaziacha hapa watu watagawana mirathi kunywea bia na kuhongea wanawake nyie mkiwa kuzimu na shetani mkipiga soga motoni.
Wewe hazikutoshi ujueMmekula sana nyama za watu na kunywa damu zao
Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere amebaini kuwa aliyekuwa Mkurugenzi wa mashitaka (DPP), Biswalo Mganga na maafisa wake walikiuka taratibu za mchakato wa kisheria wa makubaliano ya kukiri kosa (plea bargaining).
CAG amesema mchakato huo ulikuwa na matumizi ya nyaraka bandia, matumizi mabaya ya madaraka na watu kuchukuliwa fedha zao katika masuala ya kikodi ambayo si jinai. CAG amebainisha kuwa malipo Tsh bilioni 8.26 yalifanywa na washtakiwa bila ya kuwepo na 'Plea bargaining’.
"Hali hii inaonyesha uwepo wa ukiukwaji wa Kanuni namba 12 na 14 za Kanuni za Mwenendo wa Makosa ya Jinai (makubaliano ya kukiri kosa) za mwaka 2021, ambao unaleta shaka juu ya uwazi na uadilifu katika mchakato wa kukiri makosa." CAG Charles Kichere
MY TAKE:
Yaani tu anajinyima anatafuta hela anapeleka Benki halafu mtu mmoja wa Kanda ya ziwa anaenda Benki kuzichukua. Anajifanya kukushitaki ili apate uhalali wa kchukua account yote kabla hata hukumu haijasomwa.
Yafaa Biswalo Maganga aondolewe Ofisi za Umma kisa afungwe jiwe kubwa shingoni atumbukizwe Baharini. Magufuli alipokufa Biswalo alikuwa anatabasamu tu, alijua kabaki na Mzigo
View attachment 2580396
Awamu ya tano imepeleka wapi haya Mabilioni? Ndo maana Biswalo na Magufuli walikuwa Marafiki sana. Wakamuita Polepole wakampa hela akaanza kuzitawanya kwa Wanasiasa wa Upinzani.
View attachment 2580395
DPP Biswalo Maganga kuwa Jaji, Rais Samia umekosea sana
Miongoni mwa watu walioteuliwa leo na Rais Samia Suluhu kuwa majaji wa mahakama kuu, jina la DPP Biswalo Maganga lipo pia. Hili jambo limetushtua sana wadau wa mambo ya sheria, kuna kitu tunakiona hakiko sawa na kinakwenda kutuharibia zaidi mhimili wetu wa sheria. Nitaweka sababu za msingi sana...www.jamiiforums.com
Inaonekana wewe ndio ulikuwa inapakia watu kwenye viroba, unaenda kuwatupa baharini wakiwa wazimaWewe hazikutoshi ujue
Anguko lenu halipo mbali sana.JPM alikuwa anakusanya mapesa eti akitoka madarakani akazile, Mungu akapiga chini. Mamia ya maelfu ya mamilioni ya dola yakakamatwa na kutaifishwa. Mfugale alikuwa na matrilioni, akaulizwa ya nani, akasema Jiwe alikuwa anampa amtunzie, akapigwa Pini akaunti zake, akafa
Anguko lenu halipo mbali sana.
Fedha zenu zitataifishwa huku watoto wenu wakibakia maskini na hawataruhusiwa kugombea nafasi yeyote ile katika nchi hii.
Siku inakuja na sio mbali.
Ibeni ila jueni kuwa kila jambo Lina mwisho wake.
Na wenu pia unakuja.
Jiandaeni.
Nakupuuza Sasa umeshaishiwa hoja.View attachment 2582343kuna ukweli wowote kwamba Mzee wakati anafanya hili zoezi alimuita Yusuuufu kwa sauti kama ya upepo wa kisulisuli?
Huna akiliNakupuuza Sasa umeshaishiwa hoja.
Wewe ni kichaa huna akiliView attachment 2582343kuna ukweli wowote kwamba Mzee wakati anafanya hili zoezi alimuita Yusuuufu kwa sauti kama ya upepo wa kisulisuli?
Nyie ni vichaa Kwa Sababu mnataka kuficha maovu ya sasa hivi Kwenye kichaka cha magufuli.kwa Akili zenu hizi tutaendelea kuibiwa Sana kila mwaka.Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere amebaini kuwa aliyekuwa Mkurugenzi wa mashitaka (DPP), Biswalo Mganga na maafisa wake walikiuka taratibu za mchakato wa kisheria wa makubaliano ya kukiri kosa (plea bargaining).
CAG amesema mchakato huo ulikuwa na matumizi ya nyaraka bandia, matumizi mabaya ya madaraka na watu kuchukuliwa fedha zao katika masuala ya kikodi ambayo si jinai. CAG amebainisha kuwa malipo Tsh bilioni 8.26 yalifanywa na washtakiwa bila ya kuwepo na 'Plea bargaining’.
"Hali hii inaonyesha uwepo wa ukiukwaji wa Kanuni namba 12 na 14 za Kanuni za Mwenendo wa Makosa ya Jinai (makubaliano ya kukiri kosa) za mwaka 2021, ambao unaleta shaka juu ya uwazi na uadilifu katika mchakato wa kukiri makosa." CAG Charles Kichere
MY TAKE:
Yaani tu anajinyima anatafuta hela anapeleka Benki halafu mtu mmoja wa Kanda ya ziwa anaenda Benki kuzichukua. Anajifanya kukushitaki ili apate uhalali wa kchukua account yote kabla hata hukumu haijasomwa.
Yafaa Biswalo Maganga aondolewe Ofisi za Umma kisa afungwe jiwe kubwa shingoni atumbukizwe Baharini. Magufuli alipokufa Biswalo alikuwa anatabasamu tu, alijua kabaki na Mzigo
View attachment 2580396
Awamu ya tano imepeleka wapi haya Mabilioni? Ndo maana Biswalo na Magufuli walikuwa Marafiki sana. Wakamuita Polepole wakampa hela akaanza kuzitawanya kwa Wanasiasa wa Upinzani.
View attachment 2580395
DPP Biswalo Maganga kuwa Jaji, Rais Samia umekosea sana
Miongoni mwa watu walioteuliwa leo na Rais Samia Suluhu kuwa majaji wa mahakama kuu, jina la DPP Biswalo Maganga lipo pia. Hili jambo limetushtua sana wadau wa mambo ya sheria, kuna kitu tunakiona hakiko sawa na kinakwenda kutuharibia zaidi mhimili wetu wa sheria. Nitaweka sababu za msingi sana...www.jamiiforums.com
Kuteuliwa kuwa jaji Biswalo ilikuwa ndio njia nyepesi ya kumuondoa u DPP kwani cheo hicho kina kinga na mchakato wa kumfukuza ni mrefu."..kwanini uhangaike na marehemu wakati hata huyu aliyepo bado anamuona Biswalo anafaa, punguza ujinga kichwani.