Hayati Magufuli ilikuwa Lazima yamkute. Tsh bilioni 8.26 za washtakiwa alibeba Biswalo bila kuwepo na 'Plea bargaining’

Hayati Magufuli ilikuwa Lazima yamkute. Tsh bilioni 8.26 za washtakiwa alibeba Biswalo bila kuwepo na 'Plea bargaining’

m
Kazikwe naye
Hata nyie wezii mtazikwa tu na pesa na mali mtaziacha hapa watu watagawana mirathi kunywea bia na kuhongea wanawake nyie mkiwa kuzimu na shetani mkipiga soga motoni.
 
Hata nyie wezii mtazikwa tu na pesa na mali mtaziacha hapa watu watagawana mirathi kunywea bia na kuhongea wanawake nyie mkiwa kuzimu na shetani mkipiga soga motoni.
JPM alikuwa anakusanya mapesa eti akitoka madarakani akazile, Mungu akapiga chini. Mamia ya maelfu ya mamilioni ya dola yakakamatwa na kutaifishwa. Mfugale alikuwa na matrilioni, akaulizwa ya nani, akasema Jiwe alikuwa anampa amtunzie, akapigwa Pini akaunti zake, akafa
 
Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere amebaini kuwa aliyekuwa Mkurugenzi wa mashitaka (DPP), Biswalo Mganga na maafisa wake walikiuka taratibu za mchakato wa kisheria wa makubaliano ya kukiri kosa (plea bargaining).

CAG amesema mchakato huo ulikuwa na matumizi ya nyaraka bandia, matumizi mabaya ya madaraka na watu kuchukuliwa fedha zao katika masuala ya kikodi ambayo si jinai. CAG amebainisha kuwa malipo Tsh bilioni 8.26 yalifanywa na washtakiwa bila ya kuwepo na 'Plea bargaining’.


"Hali hii inaonyesha uwepo wa ukiukwaji wa Kanuni namba 12 na 14 za Kanuni za Mwenendo wa Makosa ya Jinai (makubaliano ya kukiri kosa) za mwaka 2021, ambao unaleta shaka juu ya uwazi na uadilifu katika mchakato wa kukiri makosa." CAG Charles Kichere

MY TAKE:

Yaani tu anajinyima anatafuta hela anapeleka Benki halafu mtu mmoja wa Kanda ya ziwa anaenda Benki kuzichukua. Anajifanya kukushitaki ili apate uhalali wa kchukua account yote kabla hata hukumu haijasomwa.

Yafaa Biswalo Maganga aondolewe Ofisi za Umma kisa afungwe jiwe kubwa shingoni atumbukizwe Baharini. Magufuli alipokufa Biswalo alikuwa anatabasamu tu, alijua kabaki na Mzigo
View attachment 2580396
Awamu ya tano imepeleka wapi haya Mabilioni? Ndo maana Biswalo na Magufuli walikuwa Marafiki sana. Wakamuita Polepole wakampa hela akaanza kuzitawanya kwa Wanasiasa wa Upinzani.
View attachment 2580395

Awamu ya tano yote walihusika

Mama Samia aliwahi kusema kuwa, Jambo ambalo serikali imefanya kama ni zuri au Baya then lawama ni za watu wote


Ambao by then walikuwa kwenye serikali
 
JPM alikuwa anakusanya mapesa eti akitoka madarakani akazile, Mungu akapiga chini. Mamia ya maelfu ya mamilioni ya dola yakakamatwa na kutaifishwa. Mfugale alikuwa na matrilioni, akaulizwa ya nani, akasema Jiwe alikuwa anampa amtunzie, akapigwa Pini akaunti zake, akafa
Anguko lenu halipo mbali sana.

Fedha zenu zitataifishwa huku watoto wenu wakibakia maskini na hawataruhusiwa kugombea nafasi yeyote ile katika nchi hii.

Siku inakuja na sio mbali.

Ibeni ila jueni kuwa kila jambo Lina mwisho wake.

Na wenu pia unakuja.

Jiandaeni.
 
Mleta mada una mavi kichwani!
.
Haya hizo bilioni 8 anazo Biswalo

Haya twambie hizi anazo nani?
Screenshot_20230407-114442_Telegram.jpg
Screenshot_20230329-152212_Telegram.jpg
 
Anguko lenu halipo mbali sana.

Fedha zenu zitataifishwa huku watoto wenu wakibakia maskini na hawataruhusiwa kugombea nafasi yeyote ile katika nchi hii.

Siku inakuja na sio mbali.

Ibeni ila jueni kuwa kila jambo Lina mwisho wake.

Na wenu pia unakuja.

Jiandaeni.
Screenshot_20230409-163110.jpg
kuna ukweli wowote kwamba Mzee wakati anafanya hili zoezi alimuita Yusuuufu kwa sauti kama ya upepo wa kisulisuli?
 
Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere amebaini kuwa aliyekuwa Mkurugenzi wa mashitaka (DPP), Biswalo Mganga na maafisa wake walikiuka taratibu za mchakato wa kisheria wa makubaliano ya kukiri kosa (plea bargaining).

CAG amesema mchakato huo ulikuwa na matumizi ya nyaraka bandia, matumizi mabaya ya madaraka na watu kuchukuliwa fedha zao katika masuala ya kikodi ambayo si jinai. CAG amebainisha kuwa malipo Tsh bilioni 8.26 yalifanywa na washtakiwa bila ya kuwepo na 'Plea bargaining’.


"Hali hii inaonyesha uwepo wa ukiukwaji wa Kanuni namba 12 na 14 za Kanuni za Mwenendo wa Makosa ya Jinai (makubaliano ya kukiri kosa) za mwaka 2021, ambao unaleta shaka juu ya uwazi na uadilifu katika mchakato wa kukiri makosa." CAG Charles Kichere

MY TAKE:

Yaani tu anajinyima anatafuta hela anapeleka Benki halafu mtu mmoja wa Kanda ya ziwa anaenda Benki kuzichukua. Anajifanya kukushitaki ili apate uhalali wa kchukua account yote kabla hata hukumu haijasomwa.

Yafaa Biswalo Maganga aondolewe Ofisi za Umma kisa afungwe jiwe kubwa shingoni atumbukizwe Baharini. Magufuli alipokufa Biswalo alikuwa anatabasamu tu, alijua kabaki na Mzigo
View attachment 2580396
Awamu ya tano imepeleka wapi haya Mabilioni? Ndo maana Biswalo na Magufuli walikuwa Marafiki sana. Wakamuita Polepole wakampa hela akaanza kuzitawanya kwa Wanasiasa wa Upinzani.
View attachment 2580395
Nyie ni vichaa Kwa Sababu mnataka kuficha maovu ya sasa hivi Kwenye kichaka cha magufuli.kwa Akili zenu hizi tutaendelea kuibiwa Sana kila mwaka.
 
"..kwanini uhangaike na marehemu wakati hata huyu aliyepo bado anamuona Biswalo anafaa, punguza ujinga kichwani.
Kuteuliwa kuwa jaji Biswalo ilikuwa ndio njia nyepesi ya kumuondoa u DPP kwani cheo hicho kina kinga na mchakato wa kumfukuza ni mrefu.
Sio kwamba alionekana anafaa.
 
Back
Top Bottom