Hayati Magufuli kaacha legacy mbaya sana kwenye usalama wa nchi hii!

Hayati Magufuli kaacha legacy mbaya sana kwenye usalama wa nchi hii!

Hawa usalama na Polisi ni magufuli ndiyo alianzisha haya mambo ambayo tusipokuwa makini yatatuletea machafuko TZ. Kuwa aminisha Polisi waweze kuiba kura, kuaminisha usalama kusiliza simu za watu ovyo ovyo bila amri ya mahalama, TRA na usalama kufunga account za watu za bank bila kibali cha mahakama, usalama kuweka uchawa na kuteka na kuuwa watu bila kuwa na uchunguzi

Sasa tunaona matokeo yake. Hapa kuna ambao walikuwa wanaunga mkono kila kitu sasa ndiyo mnaona tuliyokuwa tunasema matatizo ya kuanzisha vitu vibaya vitaendelea hata kama haupo.

Huyu Mama anajaribu kuiga iga bila kujua yeye hana wasukuma na teknologia imebadilika sana. Nyakati hizi Watanzania huwezi kuwadanganya kirahisi na ndiyo maana wapinzani wanaeleweka maana uwazi umeongezeka sana.

Video mpaka vijijini siku hizi. Huwezi kudanganya watu tena kwamba wapinzani ni mabeberu kama wakati ule au Tanzania hakuna Corona!

Magufuli alifanya mazuri lakini kwenye mfumo wa serikali na demokrasia kafanya vibaya kuliko mtu mwingine yeyote!
Hahaha
 
Sasa tunaona matokeo yake. Hapa kuna ambao walikuwa wanaunga mkono kila kitu sasa ndiyo mnaona tuliyokuwa tunasema matatizo ya kuanzisha vitu vibaya vitaendelea hata kama haupo.
Wafuasi wake siku hizi ndio walalamikaji namba moja.
 
Your pain
Yet more my pain
Shall suffocate oppression
Your eyes
Yet more my eyes
Shall be speaking of revolt
Your scars
Yet more my scars
Will be remembering the whip
My hands
Yet more your hands
Will be lifted fully armed
My strength
Yet more your strength
Shall overcome imperialism
My blood
Yet more your blood
Shall irrigate our victory
Many more to come, many more to suffer, many more will die, don't ask me Why.
 
Unapambana na marehemu kwa vile hawezi kujitetea? Kama unaona kuna makosa unadhani atakuja kuyatatua Magufuli? Kila zama na kitabu chake. Fanya mabadiliko kwa kutumia utawala uliopo. Si mlisema Mungu kaamua ugomvi na kwamba wazuri hawafi, sasa kinachowasumbua ni nini?
Hata Adolph Hitler bado atakumbukwa Kwa ubaya wake Ujerumani hadi leo
 
Hawa usalama na Polisi ni magufuli ndiyo alianzisha haya mambo ambayo tusipokuwa makini yatatuletea machafuko TZ. Kuwa aminisha Polisi waweze kuiba kura, kuaminisha usalama kusiliza simu za watu ovyo ovyo bila amri ya mahalama, TRA na usalama kufunga account za watu za bank bila kibali cha mahakama, usalama kuweka uchawa na kuteka na kuuwa watu bila kuwa na uchunguzi

Sasa tunaona matokeo yake. Hapa kuna ambao walikuwa wanaunga mkono kila kitu sasa ndiyo mnaona tuliyokuwa tunasema matatizo ya kuanzisha vitu vibaya vitaendelea hata kama haupo.

Huyu Mama anajaribu kuiga iga bila kujua yeye hana wasukuma na teknologia imebadilika sana. Nyakati hizi Watanzania huwezi kuwadanganya kirahisi na ndiyo maana wapinzani wanaeleweka maana uwazi umeongezeka sana.

Video mpaka vijijini siku hizi. Huwezi kudanganya watu tena kwamba wapinzani ni mabeberu kama wakati ule au Tanzania hakuna Corona!

Magufuli alifanya mazuri lakini kwenye mfumo wa serikali na demokrasia kafanya vibaya kuliko mtu mwingine yeyote!
Jiwe mpuuzi sana, alipenda kuzunguka na wakuu wa vyombo vya dola kila sehemu
 
Yule mzee kaweka hovyo mihimili mikubwa,Bunge limejaa vichaa wasiojitambua ndio hao tunategemea wakatutetee,vyombo vya ulinzi na mama yenu kamaliza kwa kujimilikisha usalama iwe ofisi ya raisi.ukizingua ni shingo shwaaaa ,hii nchi imekuwa ngumu sana
 
Acha tuendelee kulewa tu tusubiri kutwaliwa na mora wetu,maana mapambano huwezi fanya na watu wasiojielewa,nguvu kazi ambayo ni vijana wamejigawa njaa imehamia kichwani+ujinga🚮🚮
 
Hawa usalama na Polisi ni magufuli ndiyo alianzisha haya mambo ambayo tusipokuwa makini yatatuletea machafuko TZ. Kuwa aminisha Polisi waweze kuiba kura, kuaminisha usalama kusiliza simu za watu ovyo ovyo bila amri ya mahalama, TRA na usalama kufunga account za watu za bank bila kibali cha mahakama, usalama kuweka uchawa na kuteka na kuuwa watu bila kuwa na uchunguzi

Sasa tunaona matokeo yake. Hapa kuna ambao walikuwa wanaunga mkono kila kitu sasa ndiyo mnaona tuliyokuwa tunasema matatizo ya kuanzisha vitu vibaya vitaendelea hata kama haupo.

Huyu Mama anajaribu kuiga iga bila kujua yeye hana wasukuma na teknologia imebadilika sana. Nyakati hizi Watanzania huwezi kuwadanganya kirahisi na ndiyo maana wapinzani wanaeleweka maana uwazi umeongezeka sana.

Video mpaka vijijini siku hizi. Huwezi kudanganya watu tena kwamba wapinzani ni mabeberu kama wakati ule au Tanzania hakuna Corona!

Magufuli alifanya mazuri lakini kwenye mfumo wa serikali na demokrasia kafanya vibaya kuliko mtu mwingine yeyote!

Tunakula matapishi na ujinga wa demokrasia fake ambayo huyu Hayati wetu alituletea sijui kama alijua itakuwa hivi. Jamani tukipewa madaraka tuangalie vizazi vijavyo
 
Hata hizi habari za kumtetemekea na kujikomba komba kwa Rais zilianza kipindi cha Magufuli. Naona bibi kizimkazi naye anapita mulemule,sifa zote anataka apewe yeye ila lawama aaahhh.
 
Hawa usalama na Polisi ni magufuli ndiyo alianzisha haya mambo ambayo tusipokuwa makini yatatuletea machafuko TZ. Kuwa aminisha Polisi waweze kuiba kura, kuaminisha usalama kusiliza simu za watu ovyo ovyo bila amri ya mahalama, TRA na usalama kufunga account za watu za bank bila kibali cha mahakama, usalama kuweka uchawa na kuteka na kuuwa watu bila kuwa na uchunguzi

Sasa tunaona matokeo yake. Hapa kuna ambao walikuwa wanaunga mkono kila kitu sasa ndiyo mnaona tuliyokuwa tunasema matatizo ya kuanzisha vitu vibaya vitaendelea hata kama haupo.

Huyu Mama anajaribu kuiga iga bila kujua yeye hana wasukuma na teknologia imebadilika sana. Nyakati hizi Watanzania huwezi kuwadanganya kirahisi na ndiyo maana wapinzani wanaeleweka maana uwazi umeongezeka sana.

Video mpaka vijijini siku hizi. Huwezi kudanganya watu tena kwamba wapinzani ni mabeberu kama wakati ule au Tanzania hakuna Corona!

Magufuli alifanya mazuri lakini kwenye mfumo wa serikali na demokrasia kafanya vibaya kuliko mtu mwingine yeyote!
Mizimu yake bado ipo🤦🏾‍♂️
 
Back
Top Bottom