Hayati Magufuli kaacha legacy mbaya sana kwenye usalama wa nchi hii!

Hayati Magufuli kaacha legacy mbaya sana kwenye usalama wa nchi hii!

Umetoa hoja yenye uhalisia kabisa, japo wasiowaza wanaweza kupata shida kukuelewa. Mara nyingi namna ya kutawala ni usimikaji unaoenda kudumu kwa miaka kadhaa.

Kwa sababu utawala ni mfumo na uongozi ni team, kwa maana ya kwamba namna ya kutawala huwa inaanzia juu na kushuka chini hadi mitaani na kujikita.

Mifano iko DRC, Liberia, Uganda, na hata Rwanda itaendelea kuwa hivyo kwa miaka mingi zaidi. Namna hiyo ya utawala haiwezi kuja na kutoka tu kama chakula tumboni.

Hivyo, mwendazake kwa kukaa miaka 6 pale kwenye kiti, ilitosha kusimika namna hii ya ajabu ya kuongoza nchi na itadumu kwa muda mrefu kila ikihitajika suluhisho dhidi ya wapinzani wa kisiasa wa mtawala.

Athari ni kubwa, na zitachukua muda mrefu kuondoka, ama zitadumu milele.

Ova
Ww nae huna akili timamu, mbona husemi usimikaji wa Kikwete uliendelea ht JPM alivyokuwa rais?
 
Hawa usalama na Polisi ni magufuli ndiyo alianzisha haya mambo ambayo tusipokuwa makini yatatuletea machafuko TZ. Kuwa aminisha Polisi waweze kuiba kura, kuaminisha usalama kusiliza simu za watu ovyo ovyo bila amri ya mahalama, TRA na usalama kufunga account za watu za bank bila kibali cha mahakama, usalama kuweka uchawa na kuteka na kuuwa watu bila kuwa na uchunguzi

Sasa tunaona matokeo yake. Hapa kuna ambao walikuwa wanaunga mkono kila kitu sasa ndiyo mnaona tuliyokuwa tunasema matatizo ya kuanzisha vitu vibaya vitaendelea hata kama haupo.

Huyu Mama anajaribu kuiga iga bila kujua yeye hana wasukuma na teknologia imebadilika sana. Nyakati hizi Watanzania huwezi kuwadanganya kirahisi na ndiyo maana wapinzani wanaeleweka maana uwazi umeongezeka sana.

Video mpaka vijijini siku hizi. Huwezi kudanganya watu tena kwamba wapinzani ni mabeberu kama wakati ule au Tanzania hakuna Corona!

Magufuli alifanya mazuri lakini kwenye mfumo wa serikali na demokrasia kafanya vibaya kuliko mtu mwingine yeyote!
Wakati mwingine manung'uniko nikitu hatari sana alipo kuwa Mzee wa Msoga tukamuita dhaifu, akatuletea buludoza likatubuludoza tukawa na adabu tukalia mpaka mbingu zikasikia akamuita sasa kaja kizimkazi bado mnamtaja Magu wakati Magu anaondoka idara ilikuwa ofisi ya waziri mkuu leo ipo chini ya kizimkazi bado lawama kwa marehemu what is our problem?
 
Sijasema wamerudishwa nimesema kaacha maana yake wapo kama alivyo waacha na kaacha mfano mbaya sana na unatuletea matatizo zaidi hata yaliyo kuwepo
Sasa kama kaacha huo mfumo mbaya kwanini usimlaumu anaeuendeleza huoni kama unaongea unafiki na chuki dhidi ya marehemu Magufuli
 
Maandamano yatayofanikiwa Tanzania yataanzishwa na vijana wasio na itikadi, ubaguzi, udini kama Kenya, USA revolution, French revolution., Haiti revolition. Yataanzishwa na vijana, Watanzania wenye uchungu na Taifa lao kuliko matumbo yao,kabila lao na wenye chuki na makabila mengine makubwa, washamba wa vijijini.
Hivi katika afrika ni nchi gani, walifanikiwa kufanya maandamano, wakabadilisha utawala, na nchi ikatengamaa kiuchumi, ni ipi hiyo nchi, tujuzane basi, ili nasi tujifunze wenzetu waliwezaje
 
Tatizo nyie Chadema wanaowasikiliza na kuwaelewa ni wachache sana Tanzania ni watoto wenzenu wa mjini 20% ya nchi. 80% walimwelewa Magufuli sababu waliona tofauti kwenye maisha yao kama kupata maji, umeme, barabara, shule, hospitali, kusikilizwa na matatizo yao, kulinda haki zao za msingi kama ardhi, nyumba, biashara zao, maslahi ya maskini.
Uhakika, Asante kwa haya uliyoandika
 
Magufuli alikuwa mwendawazimu, mshamba na dikteta. Afutwe kwenye kumbukumbu za kitaifa ili asijulikane kuwa aliwahi kuwa ikulu.
 
Wakati mwingine manung'uniko nikitu hatari sana alipo kuwa Mzee wa Msoga tukamuita dhaifu, akatuletea buludoza likatubuludoza tukawa na adabu tukalia mpaka mbingu zikasikia akamuita sasa kaja kizimkazi bado mnamtaja Magu wakati Magu anaondoka idara ilikuwa ofisi ya waziri mkuu leo ipo chini ya kizimkazi bado lawama kwa marehemu what is our problem?
Our problem ni kutokujua nini hasa tatizo letu Watanzania ! Na nini hasa tunataka !
Watanzania ni watu wa kulia lia tu !
Kila mtu analialia tu upande wake !
Kisha tunamalizia siku kwenye Simba na Yanga ! Ubaya Ubwela tu. 😳🙄👍😅😂👍
 
Hawa usalama na Polisi ni magufuli ndiyo alianzisha haya mambo ambayo tusipokuwa makini yatatuletea machafuko TZ. Kuwa aminisha Polisi waweze kuiba kura, kuaminisha usalama kusiliza simu za watu ovyo ovyo bila amri ya mahalama, TRA na usalama kufunga account za watu za bank bila kibali cha mahakama, usalama kuweka uchawa na kuteka na kuuwa watu bila kuwa na uchunguzi

Sasa tunaona matokeo yake. Hapa kuna ambao walikuwa wanaunga mkono kila kitu sasa ndiyo mnaona tuliyokuwa tunasema matatizo ya kuanzisha vitu vibaya vitaendelea hata kama haupo.

Huyu Mama anajaribu kuiga iga bila kujua yeye hana wasukuma na teknologia imebadilika sana. Nyakati hizi Watanzania huwezi kuwadanganya kirahisi na ndiyo maana wapinzani wanaeleweka maana uwazi umeongezeka sana.

Video mpaka vijijini siku hizi. Huwezi kudanganya watu tena kwamba wapinzani ni mabeberu kama wakati ule au Tanzania hakuna Corona!

Magufuli alifanya mazuri lakini kwenye mfumo wa serikali na demokrasia kafanya vibaya kuliko mtu mwingine yeyote!
Unapambana na marehemu kwa vile hawezi kujitetea? Kama unaona kuna makosa unadhani atakuja kuyatatua Magufuli? Kila zama na kitabu chake. Fanya mabadiliko kwa kutumia utawala uliopo. Si mlisema Mungu kaamua ugomvi na kwamba wazuri hawafi, sasa kinachowasumbua ni nini?
 
Magufuli alikuwa mwendawazimu, mshamba na dikteta. Afutwe kwenye kumbukumbu za kitaifa ili asijulikane kuwa aliwahi kuwa ikulu.
Wewe utakuwa ulitumbuliwa vyeti feki halafu huna mamlaka kutupangia jinsi ya kukumbuka Magufuli kwa mazuri yake
 
Una muda mrefu jamii forum lakini Bado ni kichaa
The topic is beyond your scope, you can't understand it. Veterans wa tangu enzi za Jambo Forum wanaelewa critical arguments flow yake hupaswa kuwa deep kiasi gani.
 
Mpka leo bado unamuongelea MAGUFULI miaka 4 ss
Sizani kma uko sawa kichwani yanatoendelea magufuli yupo
Vijana wa diverting the real shit, kaongelelea legacy ya Jiwe which is very straightforward. Huwa tunaongelea legacy ya Mchonga kwenye issues kibao lakini kwa kuwa hakuna team Mchonga mitandaoni huwezi kukuta these type of fools wakibwabwaja eti unamuongelea marehemu/hayati wakati hayupo, in a good way or bad way the fvcking legacy lives.
 
The topic is beyond your scope, you can't understand it. Veterans wa tangu enzi za Jambo Forum wanaelewa critical arguments flow yake hupaswa kuwa deep kiasi gani.
Madness argument
 
Hawa usalama na Polisi ni magufuli ndiyo alianzisha haya mambo ambayo tusipokuwa makini yatatuletea machafuko TZ. Kuwa aminisha Polisi waweze kuiba kura, kuaminisha usalama kusiliza simu za watu ovyo ovyo bila amri ya mahalama, TRA na usalama kufunga account za watu za bank bila kibali cha mahakama, usalama kuweka uchawa na kuteka na kuuwa watu bila kuwa na uchunguzi

Sasa tunaona matokeo yake. Hapa kuna ambao walikuwa wanaunga mkono kila kitu sasa ndiyo mnaona tuliyokuwa tunasema matatizo ya kuanzisha vitu vibaya vitaendelea hata kama haupo.

Huyu Mama anajaribu kuiga iga bila kujua yeye hana wasukuma na teknologia imebadilika sana. Nyakati hizi Watanzania huwezi kuwadanganya kirahisi na ndiyo maana wapinzani wanaeleweka maana uwazi umeongezeka sana.

Video mpaka vijijini siku hizi. Huwezi kudanganya watu tena kwamba wapinzani ni mabeberu kama wakati ule au Tanzania hakuna Corona!

Magufuli alifanya mazuri lakini kwenye mfumo wa serikali na demokrasia kafanya vibaya kuliko mtu mwingine yeyote!
Unamfahamu Dr Ulimboka?
 
Back
Top Bottom