makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
UCHAWA je?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alaaniwe mama yako kwanzaAlaniwe huko aliko.
Ww kuna shimo mwilini mwako halipo sawaUkweli mtupu. Nani kaanzisha huu utaratibu wa kuengua wapinzani??
Ww nae huna akili timamu, mbona husemi usimikaji wa Kikwete uliendelea ht JPM alivyokuwa rais?Umetoa hoja yenye uhalisia kabisa, japo wasiowaza wanaweza kupata shida kukuelewa. Mara nyingi namna ya kutawala ni usimikaji unaoenda kudumu kwa miaka kadhaa.
Kwa sababu utawala ni mfumo na uongozi ni team, kwa maana ya kwamba namna ya kutawala huwa inaanzia juu na kushuka chini hadi mitaani na kujikita.
Mifano iko DRC, Liberia, Uganda, na hata Rwanda itaendelea kuwa hivyo kwa miaka mingi zaidi. Namna hiyo ya utawala haiwezi kuja na kutoka tu kama chakula tumboni.
Hivyo, mwendazake kwa kukaa miaka 6 pale kwenye kiti, ilitosha kusimika namna hii ya ajabu ya kuongoza nchi na itadumu kwa muda mrefu kila ikihitajika suluhisho dhidi ya wapinzani wa kisiasa wa mtawala.
Athari ni kubwa, na zitachukua muda mrefu kuondoka, ama zitadumu milele.
Ova
Wakati mwingine manung'uniko nikitu hatari sana alipo kuwa Mzee wa Msoga tukamuita dhaifu, akatuletea buludoza likatubuludoza tukawa na adabu tukalia mpaka mbingu zikasikia akamuita sasa kaja kizimkazi bado mnamtaja Magu wakati Magu anaondoka idara ilikuwa ofisi ya waziri mkuu leo ipo chini ya kizimkazi bado lawama kwa marehemu what is our problem?Hawa usalama na Polisi ni magufuli ndiyo alianzisha haya mambo ambayo tusipokuwa makini yatatuletea machafuko TZ. Kuwa aminisha Polisi waweze kuiba kura, kuaminisha usalama kusiliza simu za watu ovyo ovyo bila amri ya mahalama, TRA na usalama kufunga account za watu za bank bila kibali cha mahakama, usalama kuweka uchawa na kuteka na kuuwa watu bila kuwa na uchunguzi
Sasa tunaona matokeo yake. Hapa kuna ambao walikuwa wanaunga mkono kila kitu sasa ndiyo mnaona tuliyokuwa tunasema matatizo ya kuanzisha vitu vibaya vitaendelea hata kama haupo.
Huyu Mama anajaribu kuiga iga bila kujua yeye hana wasukuma na teknologia imebadilika sana. Nyakati hizi Watanzania huwezi kuwadanganya kirahisi na ndiyo maana wapinzani wanaeleweka maana uwazi umeongezeka sana.
Video mpaka vijijini siku hizi. Huwezi kudanganya watu tena kwamba wapinzani ni mabeberu kama wakati ule au Tanzania hakuna Corona!
Magufuli alifanya mazuri lakini kwenye mfumo wa serikali na demokrasia kafanya vibaya kuliko mtu mwingine yeyote!
Sasa kama kaacha huo mfumo mbaya kwanini usimlaumu anaeuendeleza huoni kama unaongea unafiki na chuki dhidi ya marehemu MagufuliSijasema wamerudishwa nimesema kaacha maana yake wapo kama alivyo waacha na kaacha mfano mbaya sana na unatuletea matatizo zaidi hata yaliyo kuwepo
Hivi katika afrika ni nchi gani, walifanikiwa kufanya maandamano, wakabadilisha utawala, na nchi ikatengamaa kiuchumi, ni ipi hiyo nchi, tujuzane basi, ili nasi tujifunze wenzetu waliwezajeMaandamano yatayofanikiwa Tanzania yataanzishwa na vijana wasio na itikadi, ubaguzi, udini kama Kenya, USA revolution, French revolution., Haiti revolition. Yataanzishwa na vijana, Watanzania wenye uchungu na Taifa lao kuliko matumbo yao,kabila lao na wenye chuki na makabila mengine makubwa, washamba wa vijijini.
Uhakika, Asante kwa haya uliyoandikaTatizo nyie Chadema wanaowasikiliza na kuwaelewa ni wachache sana Tanzania ni watoto wenzenu wa mjini 20% ya nchi. 80% walimwelewa Magufuli sababu waliona tofauti kwenye maisha yao kama kupata maji, umeme, barabara, shule, hospitali, kusikilizwa na matatizo yao, kulinda haki zao za msingi kama ardhi, nyumba, biashara zao, maslahi ya maskini.
Ni hao hao wenye uwezo wa kuengua wapinzani ndio wanaoengua mpaka sasa na hata zamani 😳🙄🙏 !Ukweli mtupu. Nani kaanzisha huu utaratibu wa kuengua wapinzani??
Our problem ni kutokujua nini hasa tatizo letu Watanzania ! Na nini hasa tunataka !Wakati mwingine manung'uniko nikitu hatari sana alipo kuwa Mzee wa Msoga tukamuita dhaifu, akatuletea buludoza likatubuludoza tukawa na adabu tukalia mpaka mbingu zikasikia akamuita sasa kaja kizimkazi bado mnamtaja Magu wakati Magu anaondoka idara ilikuwa ofisi ya waziri mkuu leo ipo chini ya kizimkazi bado lawama kwa marehemu what is our problem?
Unapambana na marehemu kwa vile hawezi kujitetea? Kama unaona kuna makosa unadhani atakuja kuyatatua Magufuli? Kila zama na kitabu chake. Fanya mabadiliko kwa kutumia utawala uliopo. Si mlisema Mungu kaamua ugomvi na kwamba wazuri hawafi, sasa kinachowasumbua ni nini?Hawa usalama na Polisi ni magufuli ndiyo alianzisha haya mambo ambayo tusipokuwa makini yatatuletea machafuko TZ. Kuwa aminisha Polisi waweze kuiba kura, kuaminisha usalama kusiliza simu za watu ovyo ovyo bila amri ya mahalama, TRA na usalama kufunga account za watu za bank bila kibali cha mahakama, usalama kuweka uchawa na kuteka na kuuwa watu bila kuwa na uchunguzi
Sasa tunaona matokeo yake. Hapa kuna ambao walikuwa wanaunga mkono kila kitu sasa ndiyo mnaona tuliyokuwa tunasema matatizo ya kuanzisha vitu vibaya vitaendelea hata kama haupo.
Huyu Mama anajaribu kuiga iga bila kujua yeye hana wasukuma na teknologia imebadilika sana. Nyakati hizi Watanzania huwezi kuwadanganya kirahisi na ndiyo maana wapinzani wanaeleweka maana uwazi umeongezeka sana.
Video mpaka vijijini siku hizi. Huwezi kudanganya watu tena kwamba wapinzani ni mabeberu kama wakati ule au Tanzania hakuna Corona!
Magufuli alifanya mazuri lakini kwenye mfumo wa serikali na demokrasia kafanya vibaya kuliko mtu mwingine yeyote!
Wewe utakuwa ulitumbuliwa vyeti feki halafu huna mamlaka kutupangia jinsi ya kukumbuka Magufuli kwa mazuri yakeMagufuli alikuwa mwendawazimu, mshamba na dikteta. Afutwe kwenye kumbukumbu za kitaifa ili asijulikane kuwa aliwahi kuwa ikulu.
The topic is beyond your scope, you can't understand it. Veterans wa tangu enzi za Jambo Forum wanaelewa critical arguments flow yake hupaswa kuwa deep kiasi gani.Una muda mrefu jamii forum lakini Bado ni kichaa
Vijana wa diverting the real shit, kaongelelea legacy ya Jiwe which is very straightforward. Huwa tunaongelea legacy ya Mchonga kwenye issues kibao lakini kwa kuwa hakuna team Mchonga mitandaoni huwezi kukuta these type of fools wakibwabwaja eti unamuongelea marehemu/hayati wakati hayupo, in a good way or bad way the fvcking legacy lives.Mpka leo bado unamuongelea MAGUFULI miaka 4 ss
Sizani kma uko sawa kichwani yanatoendelea magufuli yupo
Madness argumentThe topic is beyond your scope, you can't understand it. Veterans wa tangu enzi za Jambo Forum wanaelewa critical arguments flow yake hupaswa kuwa deep kiasi gani.
Unamfahamu Dr Ulimboka?Hawa usalama na Polisi ni magufuli ndiyo alianzisha haya mambo ambayo tusipokuwa makini yatatuletea machafuko TZ. Kuwa aminisha Polisi waweze kuiba kura, kuaminisha usalama kusiliza simu za watu ovyo ovyo bila amri ya mahalama, TRA na usalama kufunga account za watu za bank bila kibali cha mahakama, usalama kuweka uchawa na kuteka na kuuwa watu bila kuwa na uchunguzi
Sasa tunaona matokeo yake. Hapa kuna ambao walikuwa wanaunga mkono kila kitu sasa ndiyo mnaona tuliyokuwa tunasema matatizo ya kuanzisha vitu vibaya vitaendelea hata kama haupo.
Huyu Mama anajaribu kuiga iga bila kujua yeye hana wasukuma na teknologia imebadilika sana. Nyakati hizi Watanzania huwezi kuwadanganya kirahisi na ndiyo maana wapinzani wanaeleweka maana uwazi umeongezeka sana.
Video mpaka vijijini siku hizi. Huwezi kudanganya watu tena kwamba wapinzani ni mabeberu kama wakati ule au Tanzania hakuna Corona!
Magufuli alifanya mazuri lakini kwenye mfumo wa serikali na demokrasia kafanya vibaya kuliko mtu mwingine yeyote!