Munch wa annabelletz47
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 1,885
- 3,227
YANGA BINGWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi sawa, dah!Bila kubadili set up ya Usalama hayawezi kuisha ,yaliwnza Kwa JK yakawa accelerated awamu ya 5 na kukita Mizizi Sasa ni muendelezo tuu.
SSH alisema zile zile sheria zilizotumika wakati ule Bado zipo,akimaanisha huruma yake haiwezi kumponza 😂😂
Legacy, lagacy, lagacyMpka leo bado unamuongelea MAGUFULI miaka 4 ss
Sizani kma uko sawa kichwani yanatoendelea magufuli yupo
Mkuu leo umetema madini tupuSijasema wamerudishwa nimesema kaacha maana yake wapo kama alivyo waacha na kaacha mfano mbaya sana na unatuletea matatizo zaidi hata yaliyo kuwepo
Akili za wanaccm ndiyo zilivyo mkuuHivi ni Kwa nini Moderators munaachia watu wamtukane mtoa Mada Kwa maoni yake ? Kwani watu wanapungukiwa na nini kumjibu mtoa Mada bila matusi?
Hizi akili za kutukana mtoa Mada ni taabu Tupu… wajibu tu bila matusi maana hata wao kutukanwa hawapendi…Akili za wanaccm ndiyo zilivyo mkuu
Hakuna chama hicho duniani kinaweza kufanya yote hayo. Palestina anapigana mwenyewe wakati Isreal kapewa silaha zote za dunia huku wao wanapambania ardhi na Allah atawapa ushindi na kuweka heshima ya nchi yao.
Hawana majibuHizi akili za kutukana mtoa Mada ni taabu Tupu… wajibu tu bila matusi maana hata wao kutukanwa hawapendi…
Ligacg nayo imefariki?
Mbona mengine mnasema Kila kitu kiliansia kwake? Kwa nini kwenye kupanda mbegu za uovu mnataka kumsafisha 😂😂
Wengine wanasema Toka mtoto pendwa arudi kwenye maamuzi ,tumerudi tulikotoka.
Magufuli hayupo we Mbweha! Juzi kati hapa si mlisema nchi imeponywa!? Na si iliponywa na watu wazima kabisa?
Sasa Leo Magufuli anaingiaje hapo?
Kila mtu abebe mzigo wake mwenyewe. Magufuli mlimbebesha wa kwako na huyu abebe wa kwake!!
Mkuu umeeleza jambo muhimu sana. Usiopoteze muda kubishana au kuelewesha kila mtu hapa. Wako wengi wasio na uwezo wa kuona mantiki ya mambo. Akili zao zimegota kwenye tribal politics na personality cult worship. Hata useme nini hawawezi kukuelewa. Hawajui kuwa legacy za watu kama Christopher Columbus na Julius Caesar zinachambuliwa hadi leo.Sijasema wamerudishwa nimesema kaacha maana yake wapo kama alivyo waacha na kaacha mfano mbaya sana na unatuletea matatizo zaidi hata yaliyo kuwepo
Hawa usalama na Polisi ni magufuli ndiyo alianzisha haya mambo ambayo tusipokuwa makini yatatuletea machafuko TZ. Kuwa aminisha Polisi waweze kuiba kura, kuaminisha usalama kusiliza simu za watu ovyo ovyo bila amri ya mahalama, TRA na usalama kufunga account za watu za bank bila kibali cha mahakama, usalama kuweka uchawa na kuteka na kuuwa watu bila kuwa na uchunguzi
Sasa tunaona matokeo yake. Hapa kuna ambao walikuwa wanaunga mkono kila kitu sasa ndiyo mnaona tuliyokuwa tunasema matatizo ya kuanzisha vitu vibaya vitaendelea hata kama haupo.
Huyu Mama anajaribu kuiga iga bila kujua yeye hana wasukuma na teknologia imebadilika sana. Nyakati hizi Watanzania huwezi kuwadanganya kirahisi na ndiyo maana wapinzani wanaeleweka maana uwazi umeongezeka sana.
Video mpaka vijijini siku hizi. Huwezi kudanganya watu tena kwamba wapinzani ni mabeberu kama wakati ule au Tanzania hakuna Corona!
Magufuli alifanya mazuri lakini kwenye mfumo wa serikali na demokrasia kafanya vibaya kuliko mtu mwingine yeyote!