Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Unakwenda kuandamana leo au napo unamwogopa Magufuli? Nchi hii yaani dah! ðŸ˜
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi! Member from 2006!
Alichopanda anakivunaBlaming mentality
Vyeti feki hao waliong'olewa na JPM kwenye mfumoKweli ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi! Member from 2006!
Hawa ndio wanaofanya uzinzi na ngono zembe wakishapata ukimwi wanataka kuonewa huruma kwa ujinga wao. Yule mzee hawezi kuepuka lawama na laana hizi.Wenye upeo mdogo na watoto wa siku hizi wajinga jinga itachukuwa mwaka kuelewa mambo ninayo andika. Nafikiria miaka 5 mbele ya sasa
Hawa usalama na Polisi ni magufuli ndiyo alianzisha haya mambo ambayo tusipokuwa makini yatatuletea machafuko TZ. Kuwa aminisha Polisi waweze kuiba kura, kuaminisha usalama kusiliza simu za watu ovyo ovyo bila amri ya mahalama, TRA na usalama kufunga account za watu za bank bila kibali cha mahakama, usalama kuweka uchawa na kuteka na kuuwa watu bila kuwa na uchunguzi …….. Sasa tunaona matokeo yake. Hapa kuna ambao walikuwa wanaunga mkono kila kitu sasa ndiyo mnaona tuliyokuwa tunasema matatizo ya kuanzisha vitu vibaya vitaendelea hata kama haupo.
Huyu Mama anajaribu kuiga iga bila kujua yeye hana wasukuma na teknologia imebadilika sana. Nyakati hizi Watanzania huwezi kuwadanganya kirahisi na ndiyo maana wapinzani wanaeleweka maana uwazi umeongezeka sana. Video mpaka vijijini siku hizi. Huwezi kudanganya watu tena kwamba wapinzani ni mabeberu kama wakati ule au Tanzania hakuna Corona!
Magufuli alifanya mazuri lakini kwenye mfumo wa serikali na demokrasia kafanya vibaya kuliko mtu mwingine yeyote!
Huna hata aibu?Hawa usalama na Polisi ni magufuli ndiyo alianzisha haya mambo ambayo tusipokuwa makini yatatuletea machafuko TZ. Kuwa aminisha Polisi waweze kuiba kura, kuaminisha usalama kusiliza simu za watu ovyo ovyo bila amri ya mahalama, TRA na usalama kufunga account za watu za bank bila kibali cha mahakama, usalama kuweka uchawa na kuteka na kuuwa watu bila kuwa na uchunguzi …….. Sasa tunaona matokeo yake. Hapa kuna ambao walikuwa wanaunga mkono kila kitu sasa ndiyo mnaona tuliyokuwa tunasema matatizo ya kuanzisha vitu vibaya vitaendelea hata kama haupo.
Huyu Mama anajaribu kuiga iga bila kujua yeye hana wasukuma na teknologia imebadilika sana. Nyakati hizi Watanzania huwezi kuwadanganya kirahisi na ndiyo maana wapinzani wanaeleweka maana uwazi umeongezeka sana. Video mpaka vijijini siku hizi. Huwezi kudanganya watu tena kwamba wapinzani ni mabeberu kama wakati ule au Tanzania hakuna Corona!
Magufuli alifanya mazuri lakini kwenye mfumo wa serikali na demokrasia kafanya vibaya kuliko mtu mwingine yeyote!
Legacy yakeHayati JPM yupo kaburini muda huu, kinachokufanya uogope polisi ni kipi tena??
LegasiBlaming mentality
LegacyAnayeongoza sasa na haya mambo yanaendelea huku akiwaita Watanzania ni Makhulutabu na kuwafananisha na Samaki ni Hayati Magufuli?
Acheni kutulazimisha tuanze Kuwadharau.
Nakuuliza tena kwa mara ya pili, huna hata aibu?Bisheni kwa hoja. Mimi binafsi nilikuwa na fahamiana sana na Magu aka Pombe kuanzia nikiwa mdogo sana. Haya nayo sema ni yeye kama Raisi na si kama ndugu. Kama kuna mtu hapa anamfahamu Magu kuanzia 1991 anaweza kubishana na mimi bila hivyo endelea na uchawa wako na hautaweza kunielewa na kubishana kwa hoja
LegacyMagufuli hayupo we Mbweha! Juzi kati hapa si mlisema nchi imeponywa!? Na si iliponywa na watu wazima kabisa?
Sasa Leo Magufuli anaingiaje hapo?
Kila mtu abebe mzigo wake mwenyewe. Magufuli mlimbebesha wa kwako na huyu abebe wa kwake!!
Nakuuliza tena kwa mara ya pili, huna hata aibu?
Kumbe JPM ndo Rais wa kwanza Tanzania kila kitu kilianzia kwake ee?
Ongea hoja yako. Nimekosea wapi na wewe unafikiria tofauti ki vipi!
LegacyMkuu kaandamane JPM alishafariki