Hayati Magufuli, kama sio leo basi ni suala la muda tu kupewa tuzo ya heshima kama Rais aliyesimamia vema rasilimali na kupunguza kero kwa wananchi

Kizazi cha kupatana na ccm akili zao zinawarudi sasa

Sasa wanausema ukweli kwamba hakuna kama Magufuli linapokuja suala la ufisadi
 
Ulinzi wa rasilimali zetu, sasa ni dhahiri serikali iliyopo imeshindwa kuzilinda, matokeo yake inagawa tu sasa

Bandari zetu nazo zinageiwa wawekezaji tena ktoka nchi moja tu kwa Bandari zote nchini
 
Huu ndio wakati sahihi wa kuutambua mchango wa JPM katika Taifa hili

Nini sasa kinachoendelea baada tu ya miaka miwili kutokuwepo kwake
 
Nina mengi sana nimejifunza kwa JPM kweli hebu kila mtu kwa nafasi yake atende mema,aishi kweli yake

hutoambiwa/hawatosema sifa zako ukiwa hai ila sifa zako zitakufata huko uliko,Hakika JPM huko aliko anapokea

ving'ora vya tuzo asee,huwezi eleweka sasa ila ni swala la Muda tu,tutendeni mema na kweli,Haki yetu tutaipata hata tukiwa chini ndani ya Ardhi.
 
" Watanzania mtanikumbuka,na Tena mtanikumbuka kwa mazuri na si mabaya kwasababu nime sacrifice maisha yangu kwa wananchi masikini"
 
Huyu mwamba, asingekubali wamaasai kufukuzwa pale ngorongoro, kwa sababu ya uhusika wao na namna wanavyoishi na wanyama
 
Huyu mwamba, asingekubali wamaasai kufukuzwa pale ngorongoro, kwa sababu ya uhusika wao na namna wanavyoishi na wanyama
Tena magu angewafukuza nakuwatoza faini juu angalia alichofanya kwasisi wavuvi ziwatanganyika uvuvi wakipe niuvuvi salama kabisa hufanyika usiku tena kwenye kinakirefu chamaji na tunatumia leseni lakini jamaa ametufirisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…