Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Nawashangaa nyuki wa mama na utetezi wenu wa kipuuzi, oooh ameruhusu mikutano ya siasa, oooh amerusu vyombo vya habari kuongea vitakavyo, oooh wananchi wanajiachia watakavyo mtandaoni, oooh this ...oooh that, upuuzi mtupu!
Magufuli kuminya Katiba haimpi ruhusa Rais Samia kujifanyia atakavyo kwa jina la "Kuruhusu". Hatufanyii hisani, Rais Samia hayupo juu ya Katiba kwamba anaweza kujifanyia anavyotaka na kuvunja katiba atakavyo. Sisi ndio tumempa nafasi hiyo, anafanya kazi kwaajili yetu.
Akiboronga atapigwa spana, akifanya vizuri atapewa maua yake, lakini siyo anaambiwa ukweli mnakuja na visababu uchwara mbona hakusema hiki wakati wa Magufuli au mbona hamkufanya vile wakati wa Magufuli. Uozo na ukiukwaji wa haki wa Magufuli haufuti mapungufu ya mama (ambayo ni mengi), na akiboronga ataambiwa ili ajirekebishe, siyo kututupia vije mara umekuwa chura, mara usiguse uchumi wako. Uchumi wako kivipi wakati unatuwalikilisha sisi?
Wanaotokosoa wana lengo la kujenga, sio kuvimba na kureact na kujifanya wewe ni bora wakati hauna tofauti na mtangulizi wako, uchofanya ni 'kutupapasa' tu lakini ukiukwaji wa haki ni ule ule!
Nyuki wa mama povu liwe fupi fupi!
Nawashangaa nyuki wa mama na utetezi wenu wa kipuuzi, oooh ameruhusu mikutano ya siasa, oooh amerusu vyombo vya habari kuongea vitakavyo, oooh wananchi wanajiachia watakavyo mtandaoni, oooh this ...oooh that, upuuzi mtupu!
Magufuli kuminya Katiba haimpi ruhusa Rais Samia kujifanyia atakavyo kwa jina la "Kuruhusu". Hatufanyii hisani, Rais Samia hayupo juu ya Katiba kwamba anaweza kujifanyia anavyotaka na kuvunja katiba atakavyo. Sisi ndio tumempa nafasi hiyo, anafanya kazi kwaajili yetu.
Akiboronga atapigwa spana, akifanya vizuri atapewa maua yake, lakini siyo anaambiwa ukweli mnakuja na visababu uchwara mbona hakusema hiki wakati wa Magufuli au mbona hamkufanya vile wakati wa Magufuli. Uozo na ukiukwaji wa haki wa Magufuli haufuti mapungufu ya mama (ambayo ni mengi), na akiboronga ataambiwa ili ajirekebishe, siyo kututupia vije mara umekuwa chura, mara usiguse uchumi wako. Uchumi wako kivipi wakati unatuwalikilisha sisi?
Wanaotokosoa wana lengo la kujenga, sio kuvimba na kureact na kujifanya wewe ni bora wakati hauna tofauti na mtangulizi wako, uchofanya ni 'kutupapasa' tu lakini ukiukwaji wa haki ni ule ule!
Nyuki wa mama povu liwe fupi fupi!