Hayati Magufuli kwanini alificha jalada la ununuzi wa ndege?

Hayati Magufuli kwanini alificha jalada la ununuzi wa ndege?

Mkuu wa majeshi, mkuu wa usalama, makamu wake wa Rais mama samia, waziri wake wa fedha Dr mpango, hao wote ni watu makini
Hao wote ni watu aliyowapa ulaji kama siyo kuwateua, taja mtu ambaye yuko nje na Serikali na siyo mteuliwa wake
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Sasa mkuu mtu kama wewe una maana yoyote hapa duniani??

Unatakiwa usome umri wa kujiunga jf, sio Kila mtu humu ndani ni Mtoto mwenzako

Au ana akili za kitaahira kama ww
 
Unatakiwa usome umri wa kujiunga jf, sio Kila mtu humu ndani ni Mtoto mwenzako

Au ana akili za kitaahira kama ww
Mimi sijazungumzia umri, nazungumzia umuhimu wa mtu kama wewe
 
Tuwekee link ya mikataba yote iliyosainiwa baada ya kifo chake.
Hutakiwi kumchokoza "kichaa mwenye hasira" aliyesimama Katibu na lundo la mawe halafu ukakimbilia kwenye nyumba ya vioo. Utakwisha!!!
====
Mara nyingi waleta mada za hivi wepesi kukasirika.
 
Back
Top Bottom