Hayati Magufuli kwanini alificha jalada la ununuzi wa ndege?

Hayati Magufuli kwanini alificha jalada la ununuzi wa ndege?

amewanunulia ndege, endesheni shirika sasa lilete faida na liwe na manufaa kwa watanzania.

Shirika lilikuwa na ndege moja tu choka mbaya na mamia ya wafanyakazi wakilipwa mishahara ya bure na wengine hewa.
Kawanunulia midege na kuajiri watendaji sambamba na idadi yan ndege.
Zilinunuliwa bei gani?
 
Sitasahau alivyoihamishia Ile ndege ya mchongo aliyoinunua kwa jeshi hlf akaja akadai vitu vya jeshi haviruhusiwi kusemwa semwa 😅😅😅
 
Sifa kubwa ya madikteta ni usiri na kuficha mambo ya umma kama masuala binafsi.

Ndivyo ilivyokuwa kwa Mwendazake wakati anafanya mpango wa kununua ndege.

Umewahi kujiuliza kwanini mamlaka ya mdhibiti na mkaguzi mkuu haikuwahi kutoa maoni yao juu ya ununuzi wa ndege?

Taarifa zilizopo ni kwamba kulikuwa na usiri mkubwa juu ya nyaraka za manunuzi.

Nyaraka alikuwa anatembea nazo Magufuli mwenyewe. Hakutaka umma ujue chochote kama vile zilikuwa ndege binafsi.

Mdhibiti alipoomba kuona chochote walimwambia aende kwa Rais. Hii ilikuwa tafsida tu ila ilimaanishwa endelea na mambo mengine. Kitaalamu tunaita Intimidation Threat.

Mpaka anafariki hakukuwahi kujibiwa kwanini kulikuwa na usiri kwenye mchakato.

Je, alipiga cha juu? Mteteeni basi na hili. Msiseme alishaondoka asisemwe ile sio mali binafsi ni ya umma.
Ndiyo maana alilipa hela yote ili ajipimie mwenyewe mgao wake. Yule alikuwa fisadi nyangumi haswa

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Ona sasa huyu.

Ulitaka anunue kwa mkopo huku keshi anayo?

Kichwa chako kishaanza kumezwa na wadwanzi bila wewe kujua. Ukabila unaujua wewe?. Wasukuma wangapi walikuwa pale ikulu?. Mko sensitive na mambo ya kijinga sana mmaacha ya maana.
Hakuna nchi inanunua ndege keshi ww!
 
Sifa kubwa ya madikteta ni usiri na kuficha mambo ya umma kama masuala binafsi.

Ndivyo ilivyokuwa kwa Mwendazake wakati anafanya mpango wa kununua ndege.

Umewahi kujiuliza kwanini mamlaka ya mdhibiti na mkaguzi mkuu haikuwahi kutoa maoni yao juu ya ununuzi wa ndege?

Taarifa zilizopo ni kwamba kulikuwa na usiri mkubwa juu ya nyaraka za manunuzi.

Nyaraka alikuwa anatembea nazo Magufuli mwenyewe. Hakutaka umma ujue chochote kama vile zilikuwa ndege binafsi.

Mdhibiti alipoomba kuona chochote walimwambia aende kwa Rais. Hii ilikuwa tafsida tu ila ilimaanishwa endelea na mambo mengine. Kitaalamu tunaita Intimidation Threat.

Mpaka anafariki hakukuwahi kujibiwa kwanini kulikuwa na usiri kwenye mchakato.

Je, alipiga cha juu? Mteteeni basi na hili. Msiseme alishaondoka asisemwe ile sio mali binafsi ni ya umma.
Mjadala wa manunuzi ya ndege ulifanyika bungeni tafuta hansard kabla hujaandika chochote.
 
Alihamishiwa kampuni ya ndege za serikali ikulu Ili CAG prof ASSAD asifanye ukaguzi.

mZiLaNkeNdE hakuwa mtu mzuri

Huwa nashangaaga sana his henchmen na Chawa wake wakilalal eti legacy yake inavurugwa legacy ipi!?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sifa kubwa ya madikteta ni usiri na kuficha mambo ya umma kama masuala binafsi.

Ndivyo ilivyokuwa kwa Mwendazake wakati anafanya mpango wa kununua ndege.

Umewahi kujiuliza kwanini mamlaka ya mdhibiti na mkaguzi mkuu haikuwahi kutoa maoni yao juu ya ununuzi wa ndege?

Taarifa zilizopo ni kwamba kulikuwa na usiri mkubwa juu ya nyaraka za manunuzi.

Nyaraka alikuwa anatembea nazo Magufuli mwenyewe. Hakutaka umma ujue chochote kama vile zilikuwa ndege binafsi.

Mdhibiti alipoomba kuona chochote walimwambia aende kwa Rais. Hii ilikuwa tafsida tu ila ilimaanishwa endelea na mambo mengine. Kitaalamu tunaita Intimidation Threat.

Mpaka anafariki hakukuwahi kujibiwa kwanini kulikuwa na usiri kwenye mchakato.

Je, alipiga cha juu? Mteteeni basi na hili. Msiseme alishaondoka asisemwe ile sio mali binafsi ni ya umma.
Ten percent,Kuna Cha Juu hapo Wale wanaojiita Wazalendo aliokuwa anawatumia wamepiga 😁😁
 
Why unatuuliza sisi?

Makamu wa rais wa awamu ya tano humjui? Waziri mkuu wa awamu ya tano humjui?

Why usiende kuwauliza wao?

Mnatengeneza mazingira ya kuonekana magu alikuwa ni one man show me siamini

Kama magu alifanya makosa basi yalikuwa ya wote serikali mzima

Na kama magu alikuwa dicteta then ni serikali ya awamu ya tano wote
Endelea kumsafisha aliyechafuka kwa 'greese ' mwili mzima!
 
Back
Top Bottom