hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Sifa kubwa ya madikteta ni usiri na kuficha mambo ya umma kama masuala binafsi.
Ndivyo ilivyokuwa kwa Mwendazake wakati anafanya mpango wa kununua ndege...
Why unatuuliza sisi?
Makamu wa rais wa awamu ya tano humjui? Waziri mkuu wa awamu ya tano humjui?
Why usiende kuwauliza wao?
Mnatengeneza mazingira ya kuonekana magu alikuwa ni one man show me siamini
Kama magu alifanya makosa basi yalikuwa ya wote serikali mzima
Na kama magu alikuwa dicteta then ni serikali ya awamu ya tano wote