Hayati Magufuli: Ni mara kumi nikachunge kule kijijini kuliko kuwa Rais na kuliuza Taifa

Hayati Magufuli: Ni mara kumi nikachunge kule kijijini kuliko kuwa Rais na kuliuza Taifa

Wew ni mjinga usidhani kazi ni rahisi kama unavyobwabwaja hujui ugumu aliokuwa anaupata Kwa ajili yako na vitukuu wako huku wew ukimtukana bila kujua kuwa anakupigania
Mbona hasira hivyo mama??..hebu kunywa maji kwanza!
 
Miaka ndio atakuja patikana mzalendo wa kweli ka jembe jpm lala kwa amani mwamba!
Tulishatoka utumwani kwa lile shetani lenu la Chato.
Twamuomba sana Mungu asitupe tena jaribu la kutuletea jitu hatari kama lile
 
"Unapoona Wananchi wanashangaa shangaa sana, hawakuzoea ninayoyafanya, walijua nitakuwa sehemu ya wezi, NEVER, sio Mimi. Ni mara kumi nikachunge kule kijijini kuliko kuwa Rais na kuliuza Taifa, ninasema hapana"

Hayati Rais John Pombe Magufuli.

View attachment 2689631
Si hilo tu, pia aliunda Tume ya kuchunguza mali za CCM. Mwenye nakala ya ripoti hiyo atuwekee humu tujue ufisadi ndani hicho chama
 
Umepigwa kweny mshono 🤣🤣🤣🤣 imebid itoe milio 😂😂😂😂!!! Jamaa yupo sahihi nakubaliana nae, JPM alikua mwenye malengo mazur san na rasilimali za Taifa tatizo ni hilo aliloainisha. Hekima ni kitu muhimu san unapopewa jukumu la kuongoza watu, jiulize kwann Suleiman aliomba hekima na akamwambia MUNGU wazi kbs ni ili aweze kuamua kwa haki na kua na ndimi inayotoa hekima!!
Kwa hiyo bora anaeuza nchi kwa hekima nimekuulewa
Hata mimi naona bora upate hekima ya kuuza nchi bila kelele waka vurugu na na bora usiwe na uzarendo na rasilimali za nchi yako ila upate hekima
 
Wew ni mjinga usidhani kazi ni rahisi kama unavyobwabwaja hujui ugumu aliokuwa anaupata Kwa ajili yako na vitukuu wako huku wew ukimtukana bila kujua kuwa anakupigania
Nyoooo!
Labda alikupigania wewe, sie wengine Shenzi lile liliturudisha nyuma sana
 
Kwa hiyo bora anaeuza nchi kwa hekima nimekuulewa
Hata mimi naona bora upate hekima ya kuuza nchi bila kelele waka vurugu na na bora usiwe na uzarendo na rasilimali za nchi yako ila upate hekima
C kila mwenye ubongo ana akili!! Rudi kusoma context yang tena!! Hakuna sehem nimesema bora kuuza Nchi.
 
Back
Top Bottom