Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maarifa Alikuwa Nayo Elimu yake Wewe Hufikii Hata Robo,Amedhihirisha Elimu Yake Leo miundombinu Imeimarika Kwa kiasi kikubwa,Huduma za Afya Zimeboreshwa Kwa kiasi fulani..huyu Mwendazake alikuwa na MATAMANIO,ila alikosa MAARIFA, HEKIMA+ kuwa na ROHO MBAYA
Watu ka wewe ndiyo mnapaswa kuuawa kwa kupigwa risasi au kunyongwa kabisa mnashabikia ufisadi..huyu Mwendazake alikuwa na MATAMANIO,ila alikosa MAARIFA, HEKIMA+ kuwa na ROHO MBAYA
Hajiuzulu.Kwa bandari Hapana Hapana Hapana.....avunje mkataba au ajiuzulu
Dawa bado haijakokea eeh,hadi utakapojikuta umeuzwa kama mfugo upo Uarabuni unaosha choo.Nyoooo!
Labda alikupigania wewe, sie wengine Shenzi lile liliturudisha nyuma sana
Kidikteta kingine UCHWARAWatu ka wewe ndiyo mnapaswa kuuawa kwa kupigwa risasi au kunyongwa kabisa mnashabikia ufisadi
Swali kwanini magu aliamua kumtumbua CAG?hali yakuwa muda wake alikuwa badoIla katusaidia sana kujua tunavyopigwa! Wapigaji wanapiga Taifa na wasivyo na aibu wanapiga hadi chama chenyewe na huko ndani wanaogopana tu!
Mtu akiona makubwa anajikalia pembeni na kunungunika badala ya kuingia vitani kusaidia Taifa.
Hakuna cha uzalendo hapoMiaka ndio atakuja patikana mzalendo wa kweli ka jembe jpm lala kwa amani mwamba!
Atapigwa mnada yeyeIpo siku nchi itapigwa mnada - Ndugai.
Hamna lolote Magufuli alikuwa mwizi mbaya kuliko hata hao aliosema "nitakuwa sehemu ya wezi"."Unapoona Wananchi wanashangaa shangaa sana, hawakuzoea ninayoyafanya, walijua nitakuwa sehemu ya wezi, NEVER, sio Mimi. Ni mara kumi nikachunge kule kijijini kuliko kuwa Rais na kuliuza Taifa, ninasema hapana"
Hayati Rais John Pombe Magufuli.
View attachment 2689631
Kata kichwa wote wanaopinga bandari wajinga kabisa. Hata wanaomdhihaki Dkt Magufuli ni kula vichwa tu, inatakiwa tuwe kama Dubai, yaani ukizingua ni jambia tu shingo kule kichwa kuleKidikteta kingine UCHWARA
Kwani nani kauza taifa?,magufuli huyu huyu aliruhusu mkataba Wa loliondo kuhuishwa licha ya hamis kigwangala kutaka ku u terminate"Unapoona Wananchi wanashangaa shangaa sana, hawakuzoea ninayoyafanya, walijua nitakuwa sehemu ya wezi, NEVER, sio Mimi. Ni mara kumi nikachunge kule kijijini kuliko kuwa Rais na kuliuza Taifa, ninasema hapana"
Hayati Rais John Pombe Magufuli.
View attachment 2689631
Roho mbaya kwa kuwa aliwazuia kula bila kunawa..huyu Mwendazake alikuwa na MATAMANIO,ila alikosa MAARIFA, HEKIMA+ kuwa na ROHO MBAYA
Wenye hekima ni akinane,yaan hekima unayotaka mtu aibe pesa za umma ,halafu aitwe abembelezwe halafu aitwe stupid,iishie hapo hapanaUmepigwa kweny mshono [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] imebid utoe milio [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!!! Jamaa yupo sahihi nakubaliana nae, JPM alikua mwenye malengo mazur san na rasilimali za Taifa tatizo ni hilo aliloainisha. Hekima ni kitu muhimu san unapopewa jukumu la kuongoza watu, jiulize kwann Suleiman aliomba hekima na akamwambia MUNGU wazi kbs ni ili aweze kuamua kwa haki na kua na ndimi inayotoa hekima!!
JidanganyeeeeeeHajiuzulu.
Huna la kumfanya