Wew ni mjinga usidhani kazi ni rahisi kama unavyobwabwaja hujui ugumu aliokuwa anaupata Kwa ajili yako na vitukuu wako huku wew ukimtukana bila kujua kuwa anakupigania..huyu Mwendazake alikuwa na MATAMANIO,ila alikosa MAARIFA, HEKIMA+ kuwa na ROHO MBAYA
Wew ni mjinga usidhani kazi ni rahisi kama unavyobwabwaja hujui ugumu aliokuwa anaupata Kwa ajili yako na vitukuu wako huku wew ukimtukana bila kujua kuwa anakupigania..huyu Mwendazake alikuwa na MATAMANIO,ila alikosa MAARIFA, HEKIMA+ kuwa na ROHO MBAYA
Mbona hasira hivyo mama??..hebu kunywa maji kwanza!Wew ni mjinga usidhani kazi ni rahisi kama unavyobwabwaja hujui ugumu aliokuwa anaupata Kwa ajili yako na vitukuu wako huku wew ukimtukana bila kujua kuwa anakupigania
Huwezi kuwa mwanajeshi mzuri kama una roho nzuri, na ukumbuke wanajeshi ndo wanaweka nchi iwe na amani na wengine kuwa na roho nzuri unayosema weweSaana
Tulishatoka utumwani kwa lile shetani lenu la Chato.Miaka ndio atakuja patikana mzalendo wa kweli ka jembe jpm lala kwa amani mwamba!
Si hilo tu, pia aliunda Tume ya kuchunguza mali za CCM. Mwenye nakala ya ripoti hiyo atuwekee humu tujue ufisadi ndani hicho chama"Unapoona Wananchi wanashangaa shangaa sana, hawakuzoea ninayoyafanya, walijua nitakuwa sehemu ya wezi, NEVER, sio Mimi. Ni mara kumi nikachunge kule kijijini kuliko kuwa Rais na kuliuza Taifa, ninasema hapana"
Hayati Rais John Pombe Magufuli.
View attachment 2689631
Kwa hiyo bora anaeuza nchi kwa hekima nimekuulewaUmepigwa kweny mshono 🤣🤣🤣🤣 imebid itoe milio 😂😂😂😂!!! Jamaa yupo sahihi nakubaliana nae, JPM alikua mwenye malengo mazur san na rasilimali za Taifa tatizo ni hilo aliloainisha. Hekima ni kitu muhimu san unapopewa jukumu la kuongoza watu, jiulize kwann Suleiman aliomba hekima na akamwambia MUNGU wazi kbs ni ili aweze kuamua kwa haki na kua na ndimi inayotoa hekima!!
Nyoooo!Wew ni mjinga usidhani kazi ni rahisi kama unavyobwabwaja hujui ugumu aliokuwa anaupata Kwa ajili yako na vitukuu wako huku wew ukimtukana bila kujua kuwa anakupigania
Rais ni binadamu kama wewe,kuna mazuri yake na mabaya,mara nyingi yale mazuri huwa hayaonekani anapokuwa kwenye mamlaka,lkn akishatoka utayaona moja baada ya jingine.....huyu Mwendazake alikuwa na MATAMANIO,ila alikosa MAARIFA, HEKIMA+ kuwa na ROHO MBAYA
..huyu Mwendazake alikuwa na MATAMANIO,ila alikosa MAARIFA, HEKIMA+ kuwa na ROHO MBAYA
C kila mwenye ubongo ana akili!! Rudi kusoma context yang tena!! Hakuna sehem nimesema bora kuuza Nchi.Kwa hiyo bora anaeuza nchi kwa hekima nimekuulewa
Hata mimi naona bora upate hekima ya kuuza nchi bila kelele waka vurugu na na bora usiwe na uzarendo na rasilimali za nchi yako ila upate hekima
Kwa hiyo wewe unavyojiona una akili🤣🤣C kila mwenye ubongo ana akili!! Rudi kusoma context yang tena!! Hakuna sehem nimesema bora kuuza Nchi.
Rudia kusoma context yang tena ndipo ujibu acha mkurupuko!! UsipotosheKwa hiyo wewe unavyojiona una akili🤣🤣
Duuu
Huwezi kupendwa na wote man..huyu Mwendazake alikuwa na MATAMANIO,ila alikosa MAARIFA, HEKIMA+ kuwa na ROHO MBAYA
Labda urudie kuandikaRudia kusoma context yang tena ndipo ujibu acha mkurupuko!! Usipotoshe