Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Bakia hivo hivo!Huyu alikuwa muoga sana. Alikuwa anaogopa chadema ikunda kundi lake la watoto angekosa pa kutokea
Sijawahi kumpa credit ktk jambo lolote huyu dikteta.
Hata kwenye swala la umeme?Huyu alikuwa muoga sana. Alikuwa anaogopa chadema ikunda kundi lake la watoto angekosa pa kutokea
Sijawahi kumpa credit ktk jambo lolote huyu dikteta.
Kundi la kutawala wanyonge linandaliwa.Aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Tanzania, Hayati John Magufuli, aliwahi kupendekeza kufutwa utaratibu wa kutumia Watoto katika Siasa kwa kuwaita Chipukizi ambapo alihoji Watoto hao watakuwa na muda gani wa Kusoma endapo watakuwa katika masuala ya Kisiasa.
View attachment 2849472
Wanaanda walinzi wa ufisadi wao wanaofanya sasaKundi la kutawala wanyonge linandaliwa.
Huyu alikuwa muoga sana. Alikuwa anaogopa chadema ikunda kundi lake la watoto angekosa pa kutokea
Sijawahi kumpa credit ktk jambo lolote huyu dikteta.
Ni hakika!Kundi la kutawala wanyonge linandaliwa.
Bora hii ccm itoke madarakani maana uwepo wake unafanya tuwe na wabunge wa upinzani wa hovyo kama huyo, ilimradi tu anaonekana anapambana na chama tawala mara kakamatwa na polisi basi teyari tunaona anafaa kuwa mbunge ila ajabu ukihoji nini kafanya unaambiwa bajeti anatoa serikali.
Akili ni nyweleHuyu alikuwa muoga sana. Alikuwa anaogopa chadema ikunda kundi lake la watoto angekosa pa kutokea
Sijawahi kumpa credit ktk jambo lolote huyu dikteta.
Wacha tumkumbuke tu, tutafanyaje sasa..Aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Tanzania, Hayati John Magufuli, aliwahi kupendekeza kufutwa utaratibu wa kutumia Watoto katika Siasa kwa kuwaita Chipukizi ambapo alihoji Watoto hao watakuwa na muda gani wa Kusoma endapo watakuwa katika masuala ya Kisiasa.
View attachment 2849472
Kwa bongo hapa Chipukizi ni chaka la kuendesha Usultani katika uongozi. Haya bisha kwanza halafu ndio tuendelee..Sisi kitambo hicho 88s tulikuwa ni chipukizi wa chama cha mapinduzi, kulikuwapo na mabasi ya bhesco yaliyokuwa yakitupeleka kwenye dhifa mbalimbali za Kitaifa, chipukizi ndio chemuchemu ya chama, nenda China ukajionee!
Hahahahaha, sasa ni wakati wa chadema na vyama vingine kuwa na chipukizi waoHuyu alikuwa muoga sana. Alikuwa anaogopa chadema ikunda kundi lake la watoto angekosa pa kutokea
Sijawahi kumpa credit ktk jambo lolote huyu dikteta.
Hiyo chipukiz yenu imesaidia nini kwenye hii nchi shida kila mahali.unafananisha na china ambayo imetuzidi kila kitu.Mambo ya maana ya china hamuugi mnaiga ambavyo hamuwezi kuvisimamia kwa ufanisi.Sisi kitambo hicho 88s tulikuwa ni chipukizi wa chama cha mapinduzi, kulikuwapo na mabasi ya bhesco yaliyokuwa yakitupeleka kwenye dhifa mbalimbali za Kitaifa, chipukizi ndio chemuchemu ya chama, nenda China ukajionee!
Tulishaondokana na mfumo wa KikomunistiSisi kitambo hicho 88s tulikuwa ni chipukizi wa chama cha mapinduzi, kulikuwapo na mabasi ya bhesco yaliyokuwa yakitupeleka kwenye dhifa mbalimbali za Kitaifa, chipukizi ndio chemuchemu ya chama, nenda China ukajionee!
Sisi kitambo hicho 88s tulikuwa ni chipukizi wa chama cha mapinduzi, kulikuwapo na mabasi ya bhesco yaliyokuwa yakitupeleka kwenye dhifa mbalimbali za Kitaifa, chipukizi ndio chemuchemu ya chama, nenda China ukajionee!