Hayati Magufuli: Waacheni watoto wasome, msiwatumie kwenye siasa

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Tanzania, Hayati John Magufuli, aliwahi kupendekeza kufutwa utaratibu wa kutumia Watoto katika Siasa kwa kuwaita Chipukizi ambapo alihoji Watoto hao watakuwa na muda gani wa Kusoma endapo watakuwa katika masuala ya Kisiasa.

Your browser is not able to display this video.
 
Huyu alikuwa muoga sana. Alikuwa anaogopa chadema ikunda kundi lake la watoto angekosa pa kutokea


Sijawahi kumpa credit ktk jambo lolote huyu dikteta.
Hata kwenye swala la umeme?
 
Sisi kitambo hicho 88s tulikuwa ni chipukizi wa chama cha mapinduzi, kulikuwapo na mabasi ya bhesco yaliyokuwa yakitupeleka kwenye dhifa mbalimbali za Kitaifa, chipukizi ndio chemuchemu ya chama, nenda China ukajionee!
 
Kundi la kutawala wanyonge linandaliwa.
 
Sisi kitambo hicho 88s tulikuwa ni chipukizi wa chama cha mapinduzi, kulikuwapo na mabasi ya bhesco yaliyokuwa yakitupeleka kwenye dhifa mbalimbali za Kitaifa, chipukizi ndio chemuchemu ya chama, nenda China ukajionee!
Kwa bongo hapa Chipukizi ni chaka la kuendesha Usultani katika uongozi. Haya bisha kwanza halafu ndio tuendelee..
 
Huyu alikuwa muoga sana. Alikuwa anaogopa chadema ikunda kundi lake la watoto angekosa pa kutokea


Sijawahi kumpa credit ktk jambo lolote huyu dikteta.
Hahahahaha, sasa ni wakati wa chadema na vyama vingine kuwa na chipukizi wao
 
Sisi kitambo hicho 88s tulikuwa ni chipukizi wa chama cha mapinduzi, kulikuwapo na mabasi ya bhesco yaliyokuwa yakitupeleka kwenye dhifa mbalimbali za Kitaifa, chipukizi ndio chemuchemu ya chama, nenda China ukajionee!
Hiyo chipukiz yenu imesaidia nini kwenye hii nchi shida kila mahali.unafananisha na china ambayo imetuzidi kila kitu.Mambo ya maana ya china hamuugi mnaiga ambavyo hamuwezi kuvisimamia kwa ufanisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…