Hayati Mzee Ali Hassan Mwinyi kuzikwa tarehe 2 badala ya siku ya kesho ndani ya masaa 24 ni kukiuka mazishi ya kiislam. Napendekeza ratiba ibadilishwe

Nakumbuka zamani wasaudi walikuwa hawataki kuona kiongozi mwanamke na walimkataza kabisa waziri mkuu wa zamani wa Pakistan kuingia kwao
Ila siku hizi utafikiri wamebadili dini
Kwa hiyo siku hizi wasaudi wana viongozi wanawake?
 
Wahuni tu hao. Eti wanataka wanawake wafungiwe tu nyumbani. Hivi mke wa mtume angekutana wapi na Bi Hadija kama huyo bi Hadija hakuwa anatoka nje kufanya biashara.
Enzi za kina bi Khadija uislam haukuwepo. Kwa taarifa yako bi khadija alikuwaga mlokole, so alikuwa free sana kutembea sehemu mbalimbali .

Bi Khadija alikuwa akifanya biashara na kuzunguka sehemu mbalimbali duniani, na ndiko katika mizunguko yake ya kibiashara alikutana na Muddy wakayajenga.
 
Mlokole loh.
 
Kupoteza muda na maandishi yasiyokuwa na significance ya science, the scientific reasoning. haya ya dini ni mastory ya watu ambayo hatuna uhakika kama yapo.....kupoteza muda na kujipa mahangaiko ya bure
 
Mzee Mwinyi ni Mali ya Watanzania Kwa kiapo Cha Urais. Siyo Mali ya dini Tena.
 
Kuna marashi na mafuta/dawa zakukufanya mwili usiharibike, kwenye Biblia ndio mana kuna yule mtumishi alikuwa anakwenda kumpaka marashi Yesu ili mwili usiharibike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…