Hayati Rais Magufuli: Kiongozi wa mfano Karne ya 21

Hayati Rais Magufuli: Kiongozi wa mfano Karne ya 21

Nebuchadinezzer

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,403
Reaction score
2,546
Afrika na Dunia nzima inakiri kuwa Dr. JPM (Hayati) ndie kiongozi bora na mzalendo kwlikweli kuwahi kutokea katika karne ya ishirini na moja.

Ni rais pekee aliyethubutu kutoa maisha yake kwa ajili ya kuwatumikia watanzania.

Katika awamu yake, alithubutu kukingia kifua raslimali za watanzania zilizokuwa zinachotwa na watu kwa manufaa ya makundi ya mafisadi wachache.

Laiti kama angekuwepo Ngorongoro isingeuzwa kwa waarabu wa Saudia.

Laiti kama angekuwepo ujenzi wa Bwawa la Nyerere lingekuwa limepiga hatua sana.

Laiti kama angekuwepo yungekuwa tumefika mbali sana watanzania.

#MAGUFULI #DAY 17/3 Kila mwaka...tutamkumbuka na kumuenzi mzalendo wa kweli na mchapa kazi.
 
🤔🤔🤔☝️☝️☝️😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Haya ndio makundi yaliomchukia hayati Magufuli (1) Wauza unga na wabwiaji wao (2) Wavivu (3) Wapinzani ambao wengi ni washamba, wachumia tumbo na wale wanaoshikiwa akili na viongozi wa upinzani (4) Wauza viongo vya binadamu (walemavu wa ngozi) nk.
 
Haya ndio makundi yaliomchukia hayati Magufuli (1) Wauza unga na wabwiaji wao (2) Wavivu (3) Wapinzani ambao wengi ni washamba, wachumia tumbo na wale wanaoshikiwa akili na viongozi wa upinzani (4) Wauza viongo vya binadamu (walemavu wa ngozi) nk.
Ila katangulia kunywa maji lala
 
Haya ndio makundi yaliomchukia hayati Magufuli (1) Wauza unga na wabwiaji wao (2) Wavivu (3) Wapinzani ambao wengi ni washamba, wachumia tumbo na wale wanaoshikiwa akili na viongozi wa upinzani (4) Wauza viongo vya binadamu (walemavu wa ngozi) nk.
Na waliotumbuliwa vyeti fake
 
Mtu aliyekuwa anafurahia risasi zikitoboa miili ya watu wengine kiukweli sitompenda hata iweje tena bora ziraili alivyo...
Sio kila unalolisikia lina uhalisia. Leta ushahidi wa picha inayoonesha haya uliyosema, ili wenye akili na tusioshikiwa akili na wanasiasa tuweze kuthibitisha kupitia macho yetu. RIP Chacha Wangwe.
 
alikuwa anapoteza na kuuwa watu, ana kwiba na kujilimbikizia mali za uma, sijui alidhan ataishi milele?? Mwenyezi Mungu fundi kweli kweli, aka mrestisha ‘in piece’ Ma CCM na majizi menzake ndiyo bado yanamlilia, yaani bado hayaamini kama kaffa!
 
alikuwa anapoteza na kuuwa watu, ana kwiba na kujilimbikizia mali za uma, sijui alidhan ataishi milele?? Mwenyezi Mungu fundi kweli kweli, aka mrestisha ‘in piece’ Ma CCM na majizi menzake ndiyo bado yanamlilia, yaani bado hayaamini kama kaffa!

images (23).jpeg
 
Lema alimuonya mapema kabisa kuwa akiendeleza ka tabia ka wizzi, kuuwa ‘watu na unyanyasaji ata kufa kifo cha mende, lakini hakusikia, mwishowe yakamfikaa!!!!
 
Afrika na Dunia nzima inakiri kuwa Dr. JPM (Hayati) ndie kiongozi bora na mzalendo kwlikweli kuwahi kutokea katika karne ya ishirini na moja.

Ni rais pekee aliyethubutu kutoa maisha yake kwa ajili ya kuwatumikia watanzania.

Katika awamu yake, alithubutu kukingia kifua raslimali za watanzania zilizokuwa zinachotwa na watu kwa manufaa ya makundi ya mafisadi wachache.

Laiti kama angekuwepo Ngorongoro isingeuzwa kwa waarabu wa Saudia.

Laiti kama angekuwepo ujenzi wa Bwawa la Nyerere lingekuwa limepiga hatua sana.

Laiti kama angekuwepo yungekuwa tumefika mbali sana watanzania.

#MAGUFULI #DAY 17/3 Kila mwaka...tutamkumbuka na kumuenzi mzalendo wa kweli na mchapa kazi.
R.I.P Shujaa wetu, hakika mbegu uliyoipanda inamea mioyoni mwetu na itadumu daima, ipo siku atasimama mmojawapo kati yetu na kuyaendeleza yale mazuri uliyoyaacha.
 
alikuwa anapoteza na kuuwa watu, ana kwiba na kujilimbikizia mali za uma, sijui alidhan ataishi milele?? Mwenyezi Mungu fundi kweli kweli, aka mrestisha ‘in piece’ Ma CCM na majizi menzake ndiyo bado yanamlilia, yaani bado hayaamini kama kaffa!
Mpaka leo tunawaambia mlete ushaidi hamna!
 
Afrika na Dunia nzima inakiri kuwa Dr. JPM (Hayati) ndie kiongozi bora na mzalendo kwlikweli kuwahi kutokea katika karne ya ishirini na moja.

Ni rais pekee aliyethubutu kutoa maisha yake kwa ajili ya kuwatumikia watanzania.

Katika awamu yake, alithubutu kukingia kifua raslimali za watanzania zilizokuwa zinachotwa na watu kwa manufaa ya makundi ya mafisadi wachache.

Laiti kama angekuwepo Ngorongoro isingeuzwa kwa waarabu wa Saudia.

Laiti kama angekuwepo ujenzi wa Bwawa la Nyerere lingekuwa limepiga hatua sana.

Laiti kama angekuwepo yungekuwa tumefika mbali sana watanzania.

#MAGUFULI #DAY 17/3 Kila mwaka...tutamkumbuka na kumuenzi mzalendo wa kweli na mchapa kazi.
Nenda chato kamfufue
 
Mtu aliyekuwa anafurahia risasi zikitoboa miili ya watu wengine kiukweli sitompenda hata iweje tena bora ziraili alivyo...
bora yeye mm ninge wanyonga kwa kisu nanisikiee fyoo umelizika mpka leo mfumuko wa bei kusimama kw mrad wa umem mtu anaepinga maendeleo aishi Kwann nyongaaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom