Punguza hasira kijanaJPM alikuwa na uthubutu wa kuua upinzani kwa gharama yyt, iwe kwa kuwanunua wabunge na madiwani au kuwaua kabisa pale ilipobid kwakutumia kundi la WASIOJULIKANA na Noah nyeupe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza hasira kijanaJPM alikuwa na uthubutu wa kuua upinzani kwa gharama yyt, iwe kwa kuwanunua wabunge na madiwani au kuwaua kabisa pale ilipobid kwakutumia kundi la WASIOJULIKANA na Noah nyeupe
Hao walio kimbia Nchi washarudi ?Kweli tukaanza kuona watu wakiokotwa kwenye viliba wengine wakipigwa risasi mchana kweupe wengine wakikimbia nchi na kuziacha familia zao, kama hiyo ndiyo maana ya uzalendo basi jpm alikuwa nzalendo namba li one
Upuuzi mtupuKwa Maana rahisi Uzalendo ni kuweka Maslahi ya Taifa mbele .JPM alionyesha uzalendo wa hali juu kabla na Baada ya kuwa Rais ,Kwake Nyeusi ilikuwa Nyeusi na Nyeupe ni Nyeupe
- JPM aliipenda sana Tanzania kuliko kitu Chochote kile .
- JPM alifanya kitu kwa ajili ya watanzania wengi sio kikundi cha Watu .
- JPM alithubutu kushughulikia Mtu,Watu au kikundi Cha watu kinacho jaribu kuhujumu uchumi wa Nchi bila kuogopa .
- JPM aliweza Shughulikia kila mtu anaetaka potosha wananchi wake au Kuwaonea bila Kuwaogopa
- JPM aliweza kulinda Mali za Nchi kwa Nguvu zake zote bila kuogopa.
Kwa Kifupi aliipenda Nchi Yake sana ,Alifanya kazi kwa ajiri ya Watanzania sio kikundi cha Watu na aliwapenda sana watanzania .
Vijana Uzalendo ndio Huu .Kuna Cha kujifunza hapa .
Uko sahihiAsiyekubaliana na hili, akajinyonge
Uko sawaUpuuzi mtupu
Ongeza hii. Jpm aliwaongezea umaskini watanzania kwa kutojua ashike kipi na aache kipi i.e alikuwa anapuyanga kila kituKwa Maana rahisi Uzalendo ni kuweka Maslahi ya Taifa mbele .JPM alionyesha uzalendo wa hali juu kabla na Baada ya kuwa Rais ,Kwake Nyeusi ilikuwa Nyeusi na Nyeupe ni Nyeupe
- JPM aliipenda sana Tanzania kuliko kitu Chochote kile .
- JPM alifanya kitu kwa ajili ya watanzania wengi sio kikundi cha Watu .
- JPM alithubutu kushughulikia Mtu,Watu au kikundi Cha watu kinacho jaribu kuhujumu uchumi wa Nchi bila kuogopa .
- JPM aliweza Shughulikia kila mtu anaetaka potosha wananchi wake au Kuwaonea bila Kuwaogopa
- JPM aliweza kulinda Mali za Nchi kwa Nguvu zake zote bila kuogopa.
Kwa Kifupi aliipenda Nchi Yake sana ,Alifanya kazi kwa ajiri ya Watanzania sio kikundi cha Watu na aliwapenda sana watanzania .
Vijana Uzalendo ndio Huu .Kuna Cha kujifunza hapa .
Aliongoza nchi kwa uongo mwingi eti tuna hela za kutosha kumbe anakopa mihela kimyakimya. Hakika mungu fundi Mana angeendelea na miaka mingine tungelimia meno wote Mana klla account ya mtu ingefikiwa na kufilisiwaHe loved this country with passion. Hata alipokosea alikosea akiamini anapigania Taifa, anapigania wanyonge!
JPM miaka yake mitano tu lakini sometimes utafikiri alimaliza 10 years kama wengine! Five solid years ya mchamchaka ambao nchi haikuwahi kushuhudia [emoji1666] Rest in peace chuma!
Ongeza haya:Magu hatarii🥲🥲
1. JPM anajenga Reli ya Mwendo kasi – SGR.
2. JPM anajenga Bwawa la Umeme – Nyerere HydroPower.
3. JPM amenunua Ndege 13 aina tofautitofauti.
4. JPM amejenga Ikulu kule Dodoma na yale Magorofa ya Wizara kule Mji wa Serikali Dodoma ( Mtumba) Magufuli City
5. JPM amehamisha Makao Makuu ya Serikali na ameijenga Dodoma imekuwa Jiji
6. JPM amejenga FlyOver Dar es Salaam pale Ubungo na TAZARA
.
7. JPM amejenga daraja la Tanzanite pale Selander.
8. JPM ametengeneza huu Mfumo wa Kompyuta wa Malipo ya Serikali.
9. JPM alikuwa anaweka umeme hadi Vijijini (kwa Tsh. 27,000/= tu.)
10. JPM ameshawishi Bomba la Mafuta kutoka Uganda lipite Tanzania.
11. JPM anajenga daraja la Kingongo Ferry Busisi kule ziwa Victoria.
12. JPM amejenga Meli kubwa mbili mbili kila ziwa, yaani Ziwa Victoria 2, Ziwa Tanganyika 2 na Ziwa Nyasa 2.
13. JPM amejenga Hospital za Kanda kubwa nne… Dodoma, Mara, Mtwara, Geita na Songea
14. JPM amejenga Hospitali za Wilaya Zaidi ya 70
15. JPM amejenga Mradi Mkubwa wa Maji ya Victoria kule Tabora
16. JPM amejenga Mradi wa Maji Mkubwa Arusha
17. JPM amejenga Barabara ya Njia Nane Dar es Salaam hadi Kibaha
18. JPM alikuwa anajenga Mizani za Kisasa kabisa Kwenye Barabara zote kubwa
19. JPM amejenga Vituo vya Afya Zaidi ya 500
20. JPM amejenga na Kununua Rada 4 za AirPort
21. JPM amejenga Viwanja vya Ndege Mara, Iringa, Mbeya, Chato, Songea na Rukwa
22. JPM amejenga Masoko ya Madini kila Mikoa yenye migodi ya madini
23. JPM amejenga ukuta wa Mirerani na kuweka Camera za Ulinzi
24. JPM amejenga Bandari Kilwa, na kuzipanua Bandari Mtwara, Tanga na Dar es Salaam
25. JPM amejenga Masoko ya Kisasa zaidi, ya maana kama Dodoma, Morogoro, Dar es Salaam
26. JPM amejenga Bus Stand za Kisasa Zaidi mikoani kama Dodoma, Mwanza, Dar es Salaam nk
27. JPM amenunua Vifaa Tiba kama MRI, CT Scan, Vifaa vya Kufanyia Oparations za Moyo pale JKCI Wagonjwa wanatoka nchi jirani kuja kutibiwa Tanzania
28. JPM amejenga Vivuko vya Majini sehemu mbalimbali kama Mafia, Kilwa, Ukerewe
29. JPM amejenga Barabara za Lami za adabu miji mingi sana, Barabara zina mifereji, Taa, na Taa za kuongozea magari.
30. JPM amejenga Shule za Msingi na Sekondari na kukarabati za zamani zikawa Bora kama Vyuo vikuu
31. JPM ametengeneza Vitanda kwenye mahospitali watu hawalali chini.
32. JPM ametengeneza Madawati karibia shule nyingi sana wanakaa kwenye Madawati.
33. JPM kajenga Hostel pale Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) uhaba wa vyumba umepungua.
34. JPM akasimamia mikopo kwa wanafunzi wa Elimu ya Juu, na boom likawa linatoka kwa wakati (Migomo Vyuoni imeisha).
35. JPM aliamua kutusomeshea Watoto bila kulipa ADA ya Shule (Msingi na Sekondari)
36. JPM kafufua reli ya Kati na reli ya kwenda Moshi hadi Arusha.
37. JPM alikuwa anajenga kiwanda cha Sukari cha Magereza Morogoro.
38. JPM amejenga Kiwanda cha Viatu vya Jeshi – Lukaranga Moshi viatu haviagizwi tena nje ya nchi.
39. JPM anajenga Kiwanda cha Vifaa Tiba na Dawa huko Njombe.
40. JPM anajenga Barabara za Mwendo Kasi Mbagara hadi Gerezani Kariakoo
41. JPM amejenga FlyOvers pale Veta na Uhasibu Dar es Salaam.
42. JPM amejenga Vituo Vya Polisi, Nyumba za Askari Polisi na Magereza.
43. JPM amejenga yale Magorofa ya pale Magomeni na aliruhusu watu wakae bure kwa Miaka 5..
Hongera kwa jembe JPM.
Watu waache maneno ya ajabu, watu wafanye Yao tuyaone.
wasikae kutwa kumuongelea Hayati.. Rose Muhando aliimba Jifunze kwa waliofanikiwa..
📌📌
Na usione kutulia kwa maji mkuu, maji hayajawahi kuwa mafupi haya.Kwa Maana rahisi Uzalendo ni kuweka Maslahi ya Taifa mbele .JPM alionyesha uzalendo wa hali juu kabla na Baada ya kuwa Rais ,Kwake Nyeusi ilikuwa Nyeusi na Nyeupe ni Nyeupe
- JPM aliipenda sana Tanzania kuliko kitu Chochote kile .
- JPM alifanya kitu kwa ajili ya watanzania wengi sio kikundi cha Watu .
- JPM alithubutu kushughulikia Mtu,Watu au kikundi Cha watu kinacho jaribu kuhujumu uchumi wa Nchi bila kuogopa .
- JPM aliweza Shughulikia kila mtu anaetaka potosha wananchi wake au Kuwaonea bila Kuwaogopa
- JPM aliweza kulinda Mali za Nchi kwa Nguvu zake zote bila kuogopa.
Kwa Kifupi aliipenda Nchi Yake sana ,Alifanya kazi kwa ajiri ya Watanzania sio kikundi cha Watu na aliwapenda sana watanzania .
Vijana Uzalendo ndio Huu .Kuna Cha kujifunza hapa .
Magu hatarii🥲🥲
1. JPM anajenga Reli ya Mwendo kasi – SGR.
2. JPM anajenga Bwawa la Umeme – Nyerere HydroPower.
3. JPM amenunua Ndege 13 aina tofautitofauti.
4. JPM amejenga Ikulu kule Dodoma na yale Magorofa ya Wizara kule Mji wa Serikali Dodoma ( Mtumba) Magufuli City
5. JPM amehamisha Makao Makuu ya Serikali na ameijenga Dodoma imekuwa Jiji
6. JPM amejenga FlyOver Dar es Salaam pale Ubungo na TAZARA
.
7. JPM amejenga daraja la Tanzanite pale Selander.
8. JPM ametengeneza huu Mfumo wa Kompyuta wa Malipo ya Serikali.
9. JPM alikuwa anaweka umeme hadi Vijijini (kwa Tsh. 27,000/= tu.)
10. JPM ameshawishi Bomba la Mafuta kutoka Uganda lipite Tanzania.
11. JPM anajenga daraja la Kingongo Ferry Busisi kule ziwa Victoria.
12. JPM amejenga Meli kubwa mbili mbili kila ziwa, yaani Ziwa Victoria 2, Ziwa Tanganyika 2 na Ziwa Nyasa 2.
13. JPM amejenga Hospital za Kanda kubwa nne… Dodoma, Mara, Mtwara, Geita na Songea
14. JPM amejenga Hospitali za Wilaya Zaidi ya 70
15. JPM amejenga Mradi Mkubwa wa Maji ya Victoria kule Tabora
16. JPM amejenga Mradi wa Maji Mkubwa Arusha
17. JPM amejenga Barabara ya Njia Nane Dar es Salaam hadi Kibaha
18. JPM alikuwa anajenga Mizani za Kisasa kabisa Kwenye Barabara zote kubwa
19. JPM amejenga Vituo vya Afya Zaidi ya 500
20. JPM amejenga na Kununua Rada 4 za AirPort
21. JPM amejenga Viwanja vya Ndege Mara, Iringa, Mbeya, Chato, Songea na Rukwa
22. JPM amejenga Masoko ya Madini kila Mikoa yenye migodi ya madini
23. JPM amejenga ukuta wa Mirerani na kuweka Camera za Ulinzi
24. JPM amejenga Bandari Kilwa, na kuzipanua Bandari Mtwara, Tanga na Dar es Salaam
25. JPM amejenga Masoko ya Kisasa zaidi, ya maana kama Dodoma, Morogoro, Dar es Salaam
26. JPM amejenga Bus Stand za Kisasa Zaidi mikoani kama Dodoma, Mwanza, Dar es Salaam nk
27. JPM amenunua Vifaa Tiba kama MRI, CT Scan, Vifaa vya Kufanyia Oparations za Moyo pale JKCI Wagonjwa wanatoka nchi jirani kuja kutibiwa Tanzania
28. JPM amejenga Vivuko vya Majini sehemu mbalimbali kama Mafia, Kilwa, Ukerewe
29. JPM amejenga Barabara za Lami za adabu miji mingi sana, Barabara zina mifereji, Taa, na Taa za kuongozea magari.
30. JPM amejenga Shule za Msingi na Sekondari na kukarabati za zamani zikawa Bora kama Vyuo vikuu
31. JPM ametengeneza Vitanda kwenye mahospitali watu hawalali chini.
32. JPM ametengeneza Madawati karibia shule nyingi sana wanakaa kwenye Madawati.
33. JPM kajenga Hostel pale Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) uhaba wa vyumba umepungua.
34. JPM akasimamia mikopo kwa wanafunzi wa Elimu ya Juu, na boom likawa linatoka kwa wakati (Migomo Vyuoni imeisha).
35. JPM aliamua kutusomeshea Watoto bila kulipa ADA ya Shule (Msingi na Sekondari)
36. JPM kafufua reli ya Kati na reli ya kwenda Moshi hadi Arusha.
37. JPM alikuwa anajenga kiwanda cha Sukari cha Magereza Morogoro.
38. JPM amejenga Kiwanda cha Viatu vya Jeshi – Lukaranga Moshi viatu haviagizwi tena nje ya nchi.
39. JPM anajenga Kiwanda cha Vifaa Tiba na Dawa huko Njombe.
40. JPM anajenga Barabara za Mwendo Kasi Mbagara hadi Gerezani Kariakoo
41. JPM amejenga FlyOvers pale Veta na Uhasibu Dar es Salaam.
42. JPM amejenga Vituo Vya Polisi, Nyumba za Askari Polisi na Magereza.
43. JPM amejenga yale Magorofa ya pale Magomeni na aliruhusu watu wakae bure kwa Miaka 5..
Hongera kwa jembe JPM.
Watu waache maneno ya ajabu, watu wafanye Yao tuyaone.
wasikae kutwa kumuongelea Hayati.. Rose Muhando aliimba Jifunze kwa waliofanikiwa..
[emoji419][emoji419]
For what? Ikiwa mwaka 1 tuu Samia kafunika Legacy yoteHe loved this country with passion. Hata alipokosea alikosea akiamini anapigania Taifa, anapigania wanyonge!
JPM miaka yake mitano tu lakini sometimes utafikiri alimaliza 10 years kama wengine! Five solid years ya mchamchaka ambao nchi haikuwahi kushuhudia [emoji1666] Rest in peace chuma!
Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.Punguza hasira kijana
Magu hatarii🥲🥲
1. JPM anajenga Reli ya Mwendo kasi – SGR.
2. JPM anajenga Bwawa la Umeme – Nyerere HydroPower.
3. JPM amenunua Ndege 13 aina tofautitofauti.
4. JPM amejenga Ikulu kule Dodoma na yale Magorofa ya Wizara kule Mji wa Serikali Dodoma ( Mtumba) Magufuli City
5. JPM amehamisha Makao Makuu ya Serikali na ameijenga Dodoma imekuwa Jiji
6. JPM amejenga FlyOver Dar es Salaam pale Ubungo na TAZARA
.
7. JPM amejenga daraja la Tanzanite pale Selander.
8. JPM ametengeneza huu Mfumo wa Kompyuta wa Malipo ya Serikali.
9. JPM alikuwa anaweka umeme hadi Vijijini (kwa Tsh. 27,000/= tu.)
10. JPM ameshawishi Bomba la Mafuta kutoka Uganda lipite Tanzania.
11. JPM anajenga daraja la Kingongo Ferry Busisi kule ziwa Victoria.
12. JPM amejenga Meli kubwa mbili mbili kila ziwa, yaani Ziwa Victoria 2, Ziwa Tanganyika 2 na Ziwa Nyasa 2.
13. JPM amejenga Hospital za Kanda kubwa nne… Dodoma, Mara, Mtwara, Geita na Songea
14. JPM amejenga Hospitali za Wilaya Zaidi ya 70
15. JPM amejenga Mradi Mkubwa wa Maji ya Victoria kule Tabora
16. JPM amejenga Mradi wa Maji Mkubwa Arusha
17. JPM amejenga Barabara ya Njia Nane Dar es Salaam hadi Kibaha
18. JPM alikuwa anajenga Mizani za Kisasa kabisa Kwenye Barabara zote kubwa
19. JPM amejenga Vituo vya Afya Zaidi ya 500
20. JPM amejenga na Kununua Rada 4 za AirPort
21. JPM amejenga Viwanja vya Ndege Mara, Iringa, Mbeya, Chato, Songea na Rukwa
22. JPM amejenga Masoko ya Madini kila Mikoa yenye migodi ya madini
23. JPM amejenga ukuta wa Mirerani na kuweka Camera za Ulinzi
24. JPM amejenga Bandari Kilwa, na kuzipanua Bandari Mtwara, Tanga na Dar es Salaam
25. JPM amejenga Masoko ya Kisasa zaidi, ya maana kama Dodoma, Morogoro, Dar es Salaam
26. JPM amejenga Bus Stand za Kisasa Zaidi mikoani kama Dodoma, Mwanza, Dar es Salaam nk
27. JPM amenunua Vifaa Tiba kama MRI, CT Scan, Vifaa vya Kufanyia Oparations za Moyo pale JKCI Wagonjwa wanatoka nchi jirani kuja kutibiwa Tanzania
28. JPM amejenga Vivuko vya Majini sehemu mbalimbali kama Mafia, Kilwa, Ukerewe
29. JPM amejenga Barabara za Lami za adabu miji mingi sana, Barabara zina mifereji, Taa, na Taa za kuongozea magari.
30. JPM amejenga Shule za Msingi na Sekondari na kukarabati za zamani zikawa Bora kama Vyuo vikuu
31. JPM ametengeneza Vitanda kwenye mahospitali watu hawalali chini.
32. JPM ametengeneza Madawati karibia shule nyingi sana wanakaa kwenye Madawati.
33. JPM kajenga Hostel pale Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) uhaba wa vyumba umepungua.
34. JPM akasimamia mikopo kwa wanafunzi wa Elimu ya Juu, na boom likawa linatoka kwa wakati (Migomo Vyuoni imeisha).
35. JPM aliamua kutusomeshea Watoto bila kulipa ADA ya Shule (Msingi na Sekondari)
36. JPM kafufua reli ya Kati na reli ya kwenda Moshi hadi Arusha.
37. JPM alikuwa anajenga kiwanda cha Sukari cha Magereza Morogoro.
38. JPM amejenga Kiwanda cha Viatu vya Jeshi – Lukaranga Moshi viatu haviagizwi tena nje ya nchi.
39. JPM anajenga Kiwanda cha Vifaa Tiba na Dawa huko Njombe.
40. JPM anajenga Barabara za Mwendo Kasi Mbagara hadi Gerezani Kariakoo
41. JPM amejenga FlyOvers pale Veta na Uhasibu Dar es Salaam.
42. JPM amejenga Vituo Vya Polisi, Nyumba za Askari Polisi na Magereza.
43. JPM amejenga yale Magorofa ya pale Magomeni na aliruhusu watu wakae bure kwa Miaka 5..
Hongera kwa jembe JPM.
Watu waache maneno ya ajabu, watu wafanye Yao tuyaone.
wasikae kutwa kumuongelea Hayati.. Rose Muhando aliimba Jifunze kwa waliofanikiwa..
📌📌
Wewe una element za kifisadiOngeza haya:
Jpm hajaongeza mishahara kw miaka yote mitano ambapo ni mujibu wa Sheria
Jpm hajaajiri yeyote na alisitusha kabisa ajira tukawa tunarandaranda tu
Anetengeza wasomi wawe machinga nchi nzima
Ameua, ametesa na kunyanyasa vya kutosha
Alivuruga uchumi kiasi ambacho wawekezaji walikuwa wanahama nchi akiwemo mo lakini akatekwa
Alikuwa hajui kingereza ika alijua kudefine catalyst kila alipoenda.
Nk