Hayati Rais Magufuli: Kiongozi wa mfano Karne ya 21

Hayati Rais Magufuli: Kiongozi wa mfano Karne ya 21

JPM alikuwa na uthubutu wa kuua upinzani kwa gharama yyt, iwe kwa kuwanunua wabunge na madiwani au kuwaua kabisa pale ilipobid kwakutumia kundi la WASIOJULIKANA na Noah nyeupe
Punguza hasira kijana
 
Kweli tukaanza kuona watu wakiokotwa kwenye viliba wengine wakipigwa risasi mchana kweupe wengine wakikimbia nchi na kuziacha familia zao, kama hiyo ndiyo maana ya uzalendo basi jpm alikuwa nzalendo namba li one
Hao walio kimbia Nchi washarudi ?
 
Ninachoshukuru kwenye maisha yangu ni kumshudia kiongizo mzalendo JPM ambaye wengi wetu tuliishia kuwasoma watu wa aina yake kwenye vitabu, mfano Nyerere, Sokoine Nkuruma nk. Hakika JPM alikuwa ni mwanamapinduzi kweli kweli.
 
Kwa Maana rahisi Uzalendo ni kuweka Maslahi ya Taifa mbele .JPM alionyesha uzalendo wa hali juu kabla na Baada ya kuwa Rais ,Kwake Nyeusi ilikuwa Nyeusi na Nyeupe ni Nyeupe
  • JPM aliipenda sana Tanzania kuliko kitu Chochote kile .
  • JPM alifanya kitu kwa ajili ya watanzania wengi sio kikundi cha Watu .
  • JPM alithubutu kushughulikia Mtu,Watu au kikundi Cha watu kinacho jaribu kuhujumu uchumi wa Nchi bila kuogopa .
  • JPM aliweza Shughulikia kila mtu anaetaka potosha wananchi wake au Kuwaonea bila Kuwaogopa
  • JPM aliweza kulinda Mali za Nchi kwa Nguvu zake zote bila kuogopa.

Kwa Kifupi aliipenda Nchi Yake sana ,Alifanya kazi kwa ajiri ya Watanzania sio kikundi cha Watu na aliwapenda sana watanzania .

Vijana Uzalendo ndio Huu .Kuna Cha kujifunza hapa .
Upuuzi mtupu
 
Kwa Maana rahisi Uzalendo ni kuweka Maslahi ya Taifa mbele .JPM alionyesha uzalendo wa hali juu kabla na Baada ya kuwa Rais ,Kwake Nyeusi ilikuwa Nyeusi na Nyeupe ni Nyeupe
  • JPM aliipenda sana Tanzania kuliko kitu Chochote kile .
  • JPM alifanya kitu kwa ajili ya watanzania wengi sio kikundi cha Watu .
  • JPM alithubutu kushughulikia Mtu,Watu au kikundi Cha watu kinacho jaribu kuhujumu uchumi wa Nchi bila kuogopa .
  • JPM aliweza Shughulikia kila mtu anaetaka potosha wananchi wake au Kuwaonea bila Kuwaogopa
  • JPM aliweza kulinda Mali za Nchi kwa Nguvu zake zote bila kuogopa.

Kwa Kifupi aliipenda Nchi Yake sana ,Alifanya kazi kwa ajiri ya Watanzania sio kikundi cha Watu na aliwapenda sana watanzania .

Vijana Uzalendo ndio Huu .Kuna Cha kujifunza hapa .
Ongeza hii. Jpm aliwaongezea umaskini watanzania kwa kutojua ashike kipi na aache kipi i.e alikuwa anapuyanga kila kitu
 
He loved this country with passion. Hata alipokosea alikosea akiamini anapigania Taifa, anapigania wanyonge!

JPM miaka yake mitano tu lakini sometimes utafikiri alimaliza 10 years kama wengine! Five solid years ya mchamchaka ambao nchi haikuwahi kushuhudia [emoji1666] Rest in peace chuma!
Aliongoza nchi kwa uongo mwingi eti tuna hela za kutosha kumbe anakopa mihela kimyakimya. Hakika mungu fundi Mana angeendelea na miaka mingine tungelimia meno wote Mana klla account ya mtu ingefikiwa na kufilisiwa
 
Magu hatarii🥲🥲

1. JPM anajenga Reli ya Mwendo kasi – SGR.

2. JPM anajenga Bwawa la Umeme – Nyerere HydroPower.

3. JPM amenunua Ndege 13 aina tofautitofauti.

4. JPM amejenga Ikulu kule Dodoma na yale Magorofa ya Wizara kule Mji wa Serikali Dodoma ( Mtumba) Magufuli City

5. JPM amehamisha Makao Makuu ya Serikali na ameijenga Dodoma imekuwa Jiji

6. JPM amejenga FlyOver Dar es Salaam pale Ubungo na TAZARA
.
7. JPM amejenga daraja la Tanzanite pale Selander.

8. JPM ametengeneza huu Mfumo wa Kompyuta wa Malipo ya Serikali.

9. JPM alikuwa anaweka umeme hadi Vijijini (kwa Tsh. 27,000/= tu.)

10. JPM ameshawishi Bomba la Mafuta kutoka Uganda lipite Tanzania.

11. JPM anajenga daraja la Kingongo Ferry Busisi kule ziwa Victoria.

12. JPM amejenga Meli kubwa mbili mbili kila ziwa, yaani Ziwa Victoria 2, Ziwa Tanganyika 2 na Ziwa Nyasa 2.

13. JPM amejenga Hospital za Kanda kubwa nne… Dodoma, Mara, Mtwara, Geita na Songea

14. JPM amejenga Hospitali za Wilaya Zaidi ya 70

15. JPM amejenga Mradi Mkubwa wa Maji ya Victoria kule Tabora

16. JPM amejenga Mradi wa Maji Mkubwa Arusha

17. JPM amejenga Barabara ya Njia Nane Dar es Salaam hadi Kibaha

18. JPM alikuwa anajenga Mizani za Kisasa kabisa Kwenye Barabara zote kubwa

19. JPM amejenga Vituo vya Afya Zaidi ya 500

20. JPM amejenga na Kununua Rada 4 za AirPort

21. JPM amejenga Viwanja vya Ndege Mara, Iringa, Mbeya, Chato, Songea na Rukwa

22. JPM amejenga Masoko ya Madini kila Mikoa yenye migodi ya madini

23. JPM amejenga ukuta wa Mirerani na kuweka Camera za Ulinzi

24. JPM amejenga Bandari Kilwa, na kuzipanua Bandari Mtwara, Tanga na Dar es Salaam

25. JPM amejenga Masoko ya Kisasa zaidi, ya maana kama Dodoma, Morogoro, Dar es Salaam

26. JPM amejenga Bus Stand za Kisasa Zaidi mikoani kama Dodoma, Mwanza, Dar es Salaam nk

27. JPM amenunua Vifaa Tiba kama MRI, CT Scan, Vifaa vya Kufanyia Oparations za Moyo pale JKCI Wagonjwa wanatoka nchi jirani kuja kutibiwa Tanzania

28. JPM amejenga Vivuko vya Majini sehemu mbalimbali kama Mafia, Kilwa, Ukerewe

29. JPM amejenga Barabara za Lami za adabu miji mingi sana, Barabara zina mifereji, Taa, na Taa za kuongozea magari.

30. JPM amejenga Shule za Msingi na Sekondari na kukarabati za zamani zikawa Bora kama Vyuo vikuu

31. JPM ametengeneza Vitanda kwenye mahospitali watu hawalali chini.

32. JPM ametengeneza Madawati karibia shule nyingi sana wanakaa kwenye Madawati.

33. JPM kajenga Hostel pale Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) uhaba wa vyumba umepungua.

34. JPM akasimamia mikopo kwa wanafunzi wa Elimu ya Juu, na boom likawa linatoka kwa wakati (Migomo Vyuoni imeisha).

35. JPM aliamua kutusomeshea Watoto bila kulipa ADA ya Shule (Msingi na Sekondari)
36. JPM kafufua reli ya Kati na reli ya kwenda Moshi hadi Arusha.

37. JPM alikuwa anajenga kiwanda cha Sukari cha Magereza Morogoro.

38. JPM amejenga Kiwanda cha Viatu vya Jeshi – Lukaranga Moshi viatu haviagizwi tena nje ya nchi.

39. JPM anajenga Kiwanda cha Vifaa Tiba na Dawa huko Njombe.

40. JPM anajenga Barabara za Mwendo Kasi Mbagara hadi Gerezani Kariakoo

41. JPM amejenga FlyOvers pale Veta na Uhasibu Dar es Salaam.

42. JPM amejenga Vituo Vya Polisi, Nyumba za Askari Polisi na Magereza.

43. JPM amejenga yale Magorofa ya pale Magomeni na aliruhusu watu wakae bure kwa Miaka 5..

Hongera kwa jembe JPM.
Watu waache maneno ya ajabu, watu wafanye Yao tuyaone.
wasikae kutwa kumuongelea Hayati.. Rose Muhando aliimba Jifunze kwa waliofanikiwa..

📌📌
Ongeza haya:

Jpm hajaongeza mishahara kw miaka yote mitano ambapo ni mujibu wa Sheria
Jpm hajaajiri yeyote na alisitusha kabisa ajira tukawa tunarandaranda tu

Anetengeza wasomi wawe machinga nchi nzima
Ameua, ametesa na kunyanyasa vya kutosha

Alivuruga uchumi kiasi ambacho wawekezaji walikuwa wanahama nchi akiwemo mo lakini akatekwa

Alikuwa hajui kingereza ika alijua kudefine catalyst kila alipoenda.
Nk
 
Kwa Maana rahisi Uzalendo ni kuweka Maslahi ya Taifa mbele .JPM alionyesha uzalendo wa hali juu kabla na Baada ya kuwa Rais ,Kwake Nyeusi ilikuwa Nyeusi na Nyeupe ni Nyeupe
  • JPM aliipenda sana Tanzania kuliko kitu Chochote kile .
  • JPM alifanya kitu kwa ajili ya watanzania wengi sio kikundi cha Watu .
  • JPM alithubutu kushughulikia Mtu,Watu au kikundi Cha watu kinacho jaribu kuhujumu uchumi wa Nchi bila kuogopa .
  • JPM aliweza Shughulikia kila mtu anaetaka potosha wananchi wake au Kuwaonea bila Kuwaogopa
  • JPM aliweza kulinda Mali za Nchi kwa Nguvu zake zote bila kuogopa.

Kwa Kifupi aliipenda Nchi Yake sana ,Alifanya kazi kwa ajiri ya Watanzania sio kikundi cha Watu na aliwapenda sana watanzania .

Vijana Uzalendo ndio Huu .Kuna Cha kujifunza hapa .
Na usione kutulia kwa maji mkuu, maji hayajawahi kuwa mafupi haya.
Mbegu ilipandwa mioyoni na ili imee tayari mbolea na maji vipo, roho hizi hazitakufa katu
 
Ametuachia na bunge la kijani.
Magu hatarii🥲🥲

1. JPM anajenga Reli ya Mwendo kasi – SGR.

2. JPM anajenga Bwawa la Umeme – Nyerere HydroPower.

3. JPM amenunua Ndege 13 aina tofautitofauti.

4. JPM amejenga Ikulu kule Dodoma na yale Magorofa ya Wizara kule Mji wa Serikali Dodoma ( Mtumba) Magufuli City

5. JPM amehamisha Makao Makuu ya Serikali na ameijenga Dodoma imekuwa Jiji

6. JPM amejenga FlyOver Dar es Salaam pale Ubungo na TAZARA
.
7. JPM amejenga daraja la Tanzanite pale Selander.

8. JPM ametengeneza huu Mfumo wa Kompyuta wa Malipo ya Serikali.

9. JPM alikuwa anaweka umeme hadi Vijijini (kwa Tsh. 27,000/= tu.)

10. JPM ameshawishi Bomba la Mafuta kutoka Uganda lipite Tanzania.

11. JPM anajenga daraja la Kingongo Ferry Busisi kule ziwa Victoria.

12. JPM amejenga Meli kubwa mbili mbili kila ziwa, yaani Ziwa Victoria 2, Ziwa Tanganyika 2 na Ziwa Nyasa 2.

13. JPM amejenga Hospital za Kanda kubwa nne… Dodoma, Mara, Mtwara, Geita na Songea

14. JPM amejenga Hospitali za Wilaya Zaidi ya 70

15. JPM amejenga Mradi Mkubwa wa Maji ya Victoria kule Tabora

16. JPM amejenga Mradi wa Maji Mkubwa Arusha

17. JPM amejenga Barabara ya Njia Nane Dar es Salaam hadi Kibaha

18. JPM alikuwa anajenga Mizani za Kisasa kabisa Kwenye Barabara zote kubwa

19. JPM amejenga Vituo vya Afya Zaidi ya 500

20. JPM amejenga na Kununua Rada 4 za AirPort

21. JPM amejenga Viwanja vya Ndege Mara, Iringa, Mbeya, Chato, Songea na Rukwa

22. JPM amejenga Masoko ya Madini kila Mikoa yenye migodi ya madini

23. JPM amejenga ukuta wa Mirerani na kuweka Camera za Ulinzi

24. JPM amejenga Bandari Kilwa, na kuzipanua Bandari Mtwara, Tanga na Dar es Salaam

25. JPM amejenga Masoko ya Kisasa zaidi, ya maana kama Dodoma, Morogoro, Dar es Salaam

26. JPM amejenga Bus Stand za Kisasa Zaidi mikoani kama Dodoma, Mwanza, Dar es Salaam nk

27. JPM amenunua Vifaa Tiba kama MRI, CT Scan, Vifaa vya Kufanyia Oparations za Moyo pale JKCI Wagonjwa wanatoka nchi jirani kuja kutibiwa Tanzania

28. JPM amejenga Vivuko vya Majini sehemu mbalimbali kama Mafia, Kilwa, Ukerewe

29. JPM amejenga Barabara za Lami za adabu miji mingi sana, Barabara zina mifereji, Taa, na Taa za kuongozea magari.

30. JPM amejenga Shule za Msingi na Sekondari na kukarabati za zamani zikawa Bora kama Vyuo vikuu

31. JPM ametengeneza Vitanda kwenye mahospitali watu hawalali chini.

32. JPM ametengeneza Madawati karibia shule nyingi sana wanakaa kwenye Madawati.

33. JPM kajenga Hostel pale Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) uhaba wa vyumba umepungua.

34. JPM akasimamia mikopo kwa wanafunzi wa Elimu ya Juu, na boom likawa linatoka kwa wakati (Migomo Vyuoni imeisha).

35. JPM aliamua kutusomeshea Watoto bila kulipa ADA ya Shule (Msingi na Sekondari)
36. JPM kafufua reli ya Kati na reli ya kwenda Moshi hadi Arusha.

37. JPM alikuwa anajenga kiwanda cha Sukari cha Magereza Morogoro.

38. JPM amejenga Kiwanda cha Viatu vya Jeshi – Lukaranga Moshi viatu haviagizwi tena nje ya nchi.

39. JPM anajenga Kiwanda cha Vifaa Tiba na Dawa huko Njombe.

40. JPM anajenga Barabara za Mwendo Kasi Mbagara hadi Gerezani Kariakoo

41. JPM amejenga FlyOvers pale Veta na Uhasibu Dar es Salaam.

42. JPM amejenga Vituo Vya Polisi, Nyumba za Askari Polisi na Magereza.

43. JPM amejenga yale Magorofa ya pale Magomeni na aliruhusu watu wakae bure kwa Miaka 5..

Hongera kwa jembe JPM.
Watu waache maneno ya ajabu, watu wafanye Yao tuyaone.
wasikae kutwa kumuongelea Hayati.. Rose Muhando aliimba Jifunze kwa waliofanikiwa..

[emoji419][emoji419]
 
Bibi tozo kaongeza mishahara jambo ambalo liliwashinda wengi tena wengine walisema kabisa inchi ipo uchumi wa kati huku wanaichi tukikosa hata kufaidi huo uchumi wenyewe
 
He loved this country with passion. Hata alipokosea alikosea akiamini anapigania Taifa, anapigania wanyonge!

JPM miaka yake mitano tu lakini sometimes utafikiri alimaliza 10 years kama wengine! Five solid years ya mchamchaka ambao nchi haikuwahi kushuhudia [emoji1666] Rest in peace chuma!
For what? Ikiwa mwaka 1 tuu Samia kafunika Legacy yote
 
Magu hatarii🥲🥲

1. JPM anajenga Reli ya Mwendo kasi – SGR.

2. JPM anajenga Bwawa la Umeme – Nyerere HydroPower.

3. JPM amenunua Ndege 13 aina tofautitofauti.

4. JPM amejenga Ikulu kule Dodoma na yale Magorofa ya Wizara kule Mji wa Serikali Dodoma ( Mtumba) Magufuli City

5. JPM amehamisha Makao Makuu ya Serikali na ameijenga Dodoma imekuwa Jiji

6. JPM amejenga FlyOver Dar es Salaam pale Ubungo na TAZARA
.
7. JPM amejenga daraja la Tanzanite pale Selander.

8. JPM ametengeneza huu Mfumo wa Kompyuta wa Malipo ya Serikali.

9. JPM alikuwa anaweka umeme hadi Vijijini (kwa Tsh. 27,000/= tu.)

10. JPM ameshawishi Bomba la Mafuta kutoka Uganda lipite Tanzania.

11. JPM anajenga daraja la Kingongo Ferry Busisi kule ziwa Victoria.

12. JPM amejenga Meli kubwa mbili mbili kila ziwa, yaani Ziwa Victoria 2, Ziwa Tanganyika 2 na Ziwa Nyasa 2.

13. JPM amejenga Hospital za Kanda kubwa nne… Dodoma, Mara, Mtwara, Geita na Songea

14. JPM amejenga Hospitali za Wilaya Zaidi ya 70

15. JPM amejenga Mradi Mkubwa wa Maji ya Victoria kule Tabora

16. JPM amejenga Mradi wa Maji Mkubwa Arusha

17. JPM amejenga Barabara ya Njia Nane Dar es Salaam hadi Kibaha

18. JPM alikuwa anajenga Mizani za Kisasa kabisa Kwenye Barabara zote kubwa

19. JPM amejenga Vituo vya Afya Zaidi ya 500

20. JPM amejenga na Kununua Rada 4 za AirPort

21. JPM amejenga Viwanja vya Ndege Mara, Iringa, Mbeya, Chato, Songea na Rukwa

22. JPM amejenga Masoko ya Madini kila Mikoa yenye migodi ya madini

23. JPM amejenga ukuta wa Mirerani na kuweka Camera za Ulinzi

24. JPM amejenga Bandari Kilwa, na kuzipanua Bandari Mtwara, Tanga na Dar es Salaam

25. JPM amejenga Masoko ya Kisasa zaidi, ya maana kama Dodoma, Morogoro, Dar es Salaam

26. JPM amejenga Bus Stand za Kisasa Zaidi mikoani kama Dodoma, Mwanza, Dar es Salaam nk

27. JPM amenunua Vifaa Tiba kama MRI, CT Scan, Vifaa vya Kufanyia Oparations za Moyo pale JKCI Wagonjwa wanatoka nchi jirani kuja kutibiwa Tanzania

28. JPM amejenga Vivuko vya Majini sehemu mbalimbali kama Mafia, Kilwa, Ukerewe

29. JPM amejenga Barabara za Lami za adabu miji mingi sana, Barabara zina mifereji, Taa, na Taa za kuongozea magari.

30. JPM amejenga Shule za Msingi na Sekondari na kukarabati za zamani zikawa Bora kama Vyuo vikuu

31. JPM ametengeneza Vitanda kwenye mahospitali watu hawalali chini.

32. JPM ametengeneza Madawati karibia shule nyingi sana wanakaa kwenye Madawati.

33. JPM kajenga Hostel pale Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) uhaba wa vyumba umepungua.

34. JPM akasimamia mikopo kwa wanafunzi wa Elimu ya Juu, na boom likawa linatoka kwa wakati (Migomo Vyuoni imeisha).

35. JPM aliamua kutusomeshea Watoto bila kulipa ADA ya Shule (Msingi na Sekondari)
36. JPM kafufua reli ya Kati na reli ya kwenda Moshi hadi Arusha.

37. JPM alikuwa anajenga kiwanda cha Sukari cha Magereza Morogoro.

38. JPM amejenga Kiwanda cha Viatu vya Jeshi – Lukaranga Moshi viatu haviagizwi tena nje ya nchi.

39. JPM anajenga Kiwanda cha Vifaa Tiba na Dawa huko Njombe.

40. JPM anajenga Barabara za Mwendo Kasi Mbagara hadi Gerezani Kariakoo

41. JPM amejenga FlyOvers pale Veta na Uhasibu Dar es Salaam.

42. JPM amejenga Vituo Vya Polisi, Nyumba za Askari Polisi na Magereza.

43. JPM amejenga yale Magorofa ya pale Magomeni na aliruhusu watu wakae bure kwa Miaka 5..

Hongera kwa jembe JPM.
Watu waache maneno ya ajabu, watu wafanye Yao tuyaone.
wasikae kutwa kumuongelea Hayati.. Rose Muhando aliimba Jifunze kwa waliofanikiwa..

📌📌

Alikuwa ni Rais mwenye maono, uzalendo na mwenye kutanguliza maslahi mbele ya taifa letu

Ama kwa hakika JPM ataishi mioyoni mwetu kwa miaka mingi sana
 
  • Thanks
Reactions: RNA
..Vijana msiige ukatili wake.

..Vijana msiige ubaguzi wake.

..Vijana msiige kutokuheshimu katiba na sheria.

..Vijana msiige kusema uongo na kuzusha.

..Vijana msiige kuzungumza Kiswahili kisicho fasaha.

..Vijana msiige kuchukia Kiingereza.
 
Ongeza haya:

Jpm hajaongeza mishahara kw miaka yote mitano ambapo ni mujibu wa Sheria
Jpm hajaajiri yeyote na alisitusha kabisa ajira tukawa tunarandaranda tu

Anetengeza wasomi wawe machinga nchi nzima
Ameua, ametesa na kunyanyasa vya kutosha

Alivuruga uchumi kiasi ambacho wawekezaji walikuwa wanahama nchi akiwemo mo lakini akatekwa

Alikuwa hajui kingereza ika alijua kudefine catalyst kila alipoenda.
Nk
Wewe una element za kifisadi
 
Back
Top Bottom