SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Sisi furaha yetu lile zimwi liko kaburini ChatoTimu gaidi wanalamba asali sasa hivi wako kimyaaa
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi furaha yetu lile zimwi liko kaburini ChatoTimu gaidi wanalamba asali sasa hivi wako kimyaaa
Halafu akashughulikiwa yeye mwenyewe mbwa yule, Jambawazi, muuaji, Mwizi, dhulumati na sheitwani wahedi! Asante Mungu kwa kuamua Ugomvi na sasa Bahari imetulia!Kwa Maana rahisi Uzalendo ni kuweka Maslahi ya Taifa mbele .JPM alionyesha uzalendo wa hali juu kabla na Baada ya kuwa Rais ,Kwake Nyeusi ilikuwa Nyeusi na Nyeupe ni Nyeupe
- JPM aliipenda sana Tanzania kuliko kitu Chochote kile .
- JPM alifanya kitu kwa ajili ya watanzania wengi sio kikundi cha Watu .
- JPM alithubutu kushughulikia Mtu,Watu au kikundi Cha watu kinacho jaribu kuhujumu uchumi wa Nchi bila kuogopa .
- JPM aliweza Shughulikia kila mtu anaetaka potosha wananchi wake au Kuwaonea bila Kuwaogopa
- JPM aliweza kulinda Mali za Nchi kwa Nguvu zake zote bila kuogopa.
Kwa Kifupi aliipenda Nchi Yake sana ,Alifanya kazi kwa ajiri ya Watanzania sio kikundi cha Watu na aliwapenda sana watanzania .
Vijana Uzalendo ndio Huu .Kuna Cha kujifunza hapa .
wapi njiani mkuuHao walio kimbia Nchi washarudi ?
Labda kama wewe ni mwanamke huo mfano uliona mkiwa chumbani akikukaza 😆😆Afrika na Dunia nzima inakiri kuwa Dr. JPM (Hayati) ndie kiongozi bora na mzalendo kwlikweli kuwahi kutokea katika karne ya ishirini na moja.
Ni rais pekee aliyethubutu kutoa maisha yake kwa ajili ya kuwatumikia watanzania.
Katika awamu yake, alithubutu kukingia kifua raslimali za watanzania zilizokuwa zinachotwa na watu kwa manufaa ya makundi ya mafisadi wachache.
Laiti kama angekuwepo Ngorongoro isingeuzwa kwa waarabu wa Saudia.
Laiti kama angekuwepo ujenzi wa Bwawa la Nyerere lingekuwa limepiga hatua sana.
Laiti kama angekuwepo yungekuwa tumefika mbali sana watanzania.
#MAGUFULI #DAY 17/3 Kila mwaka...tutamkumbuka na kumuenzi mzalendo wa kweli na mchapa kazi.
Alikuwa ni katili snMtu aliyekuwa anafurahia risasi zikitoboa miili ya watu wengine kiukweli sitompenda hata iweje tena bora ziraili alivyo...
Rubbish, anapinga anakuzuia kufanya kazi site?bora yeye mm ninge wanyonga kwa kisu nanisikiee fyoo umelizika mpka leo mfumuko wa bei kusimama kw mrad wa umem mtu anaepinga maendeleo aishi Kwann nyongaaaaaaaaa