Hayati Rais Magufuli: Kiongozi wa mfano Karne ya 21

Hayati Rais Magufuli: Kiongozi wa mfano Karne ya 21

Sio kila unalolisikia lina uhalisia. Leta ushahidi wa picha inayoonesha haya uliyosema, ili wenye akili na tusioshikiwa akili na wanasiasa tuweze kuthibitisha kupitia macho yetu. RIP Chacha Wangwe.
Usijifanye kusahau chacha wangwe alifariki ccm ikiwa madarakani.
-Usisahau miili ya watu iliokotwa kwenye viroba wakati wa magufuli
-Usisaha mbunge Tundu Lissu alipigwa risasi zaidi ya 30 wakati wa magufuli.
Usisahau watu (wanasiasa) waliopotea wakati wa magufuli.
-Usissahau Ben Saanane aliyehoji PhD ya magufuli alipotea.
-Usisahau genge la wauaji (maarufu km wasiojulikana) liliasisiwa wakati wa Magufuli.
-Usissahau chaguzi za 2019 na2020 zilivyonajisiwa.
Etc etc.
 
Aliogopwa sana.
 
Afrika na Dunia nzima inakiri kuwa Dr. JPM (Hayati) ndie kiongozi bora na mzalendo kwlikweli kuwahi kutokea katika karne ya ishirini na moja.

Ni rais pekee aliyethubutu kutoa maisha yake kwa ajili ya kuwatumikia watanzania.

Katika awamu yake, alithubutu kukingia kifua raslimali za watanzania zilizokuwa zinachotwa na watu kwa manufaa ya makundi ya mafisadi wachache.

Laiti kama angekuwepo Ngorongoro isingeuzwa kwa waarabu wa Saudia.

Laiti kama angekuwepo ujenzi wa Bwawa la Nyerere lingekuwa limepiga hatua sana.

Laiti kama angekuwepo yungekuwa tumefika mbali sana watanzania.

#MAGUFULI #DAY 17/3 Kila mwaka...tutamkumbuka na kumuenzi mzalendo wa kweli na mchapa kazi.
-Usisahau miili ya watu iliokotwa kwenye viroba wakati wa magufuli
-Usisaha mbunge Tundu Lissu alipigwa risasi zaidi ya 30 wakati wa magufuli.
Usisahau watu (wanasiasa) waliopotea wakati wa magufuli.
-Usissahau Ben Saanane aliyehoji PhD ya magufuli alipotea.
-Usisahau genge la wauaji (maarufu km wasiojulikana) liliasisiwa wakati wa Magufuli.
-Usissahau chaguzi za 2019 na2020 zilivyonajisiwa.
Etc etc.
 
Kwa Maana rahisi Uzalendo ni kuweka Maslahi ya Taifa mbele .JPM alionyesha uzalendo wa hali juu kabla na Baada ya kuwa Rais ,Kwake Nyeusi ilikuwa Nyeusi na Nyeupe ni Nyeupe
  • JPM aliipenda sana Tanzania kuliko kitu Chochote kile .
  • JPM alifanya kitu kwa ajili ya watanzania wengi sio kikundi cha Watu .
  • JPM alithubutu kushughulikia Mtu,Watu au kikundi Cha watu kinacho jaribu kuhujumu uchumi wa Nchi bila kuogopa .
  • JPM aliweza Shughulikia kila mtu anaetaka potosha wananchi wake au Kuwaonea bila Kuwaogopa
  • JPM aliweza kulinda Mali za Nchi kwa Nguvu zake zote bila kuogopa.

Kwa Kifupi aliipenda Nchi Yake sana ,Alifanya kazi kwa ajiri ya Watanzania sio kikundi cha Watu na aliwapenda sana watanzania .

Vijana Uzalendo ndio Huu .Kuna Cha kujifunza hapa .
 
Kwa Maana rahisi Uzalendo ni kuweka Maslahi ya Taifa mbele .JPM alionyesha uzalendo wa hali juu kabla na Baada ya kuwa Rais ,Kwake Nyeusi ilikuwa Nyeusi na Nyeupe ni Nyeupe
  • JPM aliipenda sana Tanzania kuliko kitu Chochote kile .
  • JPM alifanya kitu kwa ajili ya watanzania wengi sio kikundi cha Watu .
  • JPM alithubutu kushughulikia Mtu,Watu au kikundi Cha watu kinacho jaribu kuhujumu uchumi wa Nchi bila kuogopa .
  • JPM aliweza Shughulikia kila mtu anaetaka potosha wananchi wake au Kuwaonea bila Kuwaogopa
  • JPM aliweza kulinda Mali za Nchi kwa Nguvu zake zote bila kuogopa.

Kwa Kifupi aliipenda Nchi Yake sana ,Alifanya kazi kwa ajiri ya Watanzania sio kikundi cha Watu na aliwapenda sana watanzania .

Vijana Uzalendo ndio Huu .Kuna Cha kujifunza hapa .

Vijana tuna cha kujifunza kwamba bila katiba Hata anachofanya Samia ni hewa, atakayekuja baadaye atavuruga kila kitu​

 
He loved this country with passion. Hata alipokosea alikosea akiamini anapigania Taifa, anapigania wanyonge!

JPM miaka yake mitano tu lakini sometimes utafikiri alimaliza 10 years kama wengine! Five solid years ya mchamchaka ambao nchi haikuwahi kushuhudia [emoji1666] Rest in peace chuma!
 

Vijana tuna cha kujifunza kwamba bila katiba Hata anachofanya Samia ni hewa, atakayekuja baadaye atavuruga kila kitu​

Ajaye aondoe mambo yote mabovu yanayofanyika sasa.

Yaani yote. Afute tuanze upya. Hakuna kinachofanyika sasa ni kwa maslahi ya Watanzania.
 
Kwa Maana rahisi Uzalendo ni kuweka Maslahi ya Taifa mbele .JPM alionyesha uzalendo wa hali juu kabla na Baada ya kuwa Rais ,Kwake Nyeusi ilikuwa Nyeusi na Nyeupe ni Nyeupe
  • JPM aliipenda sana Tanzania kuliko kitu Chochote kile .
  • JPM alifanya kitu kwa ajili ya watanzania wengi sio kikundi cha Watu .
  • JPM alithubutu kushughulikia Mtu,Watu au kikundi Cha watu kinacho jaribu kuhujumu uchumi wa Nchi bila kuogopa .
  • JPM aliweza Shughulikia kila mtu anaetaka potosha wananchi wake au Kuwaonea bila Kuwaogopa
  • JPM aliweza kulinda Mali za Nchi kwa Nguvu zake zote bila kuogopa.

Kwa Kifupi aliipenda Nchi Yake sana ,Alifanya kazi kwa ajiri ya Watanzania sio kikundi cha Watu na aliwapenda sana watanzania .

Vijana Uzalendo ndio Huu .Kuna Cha kujifunza hapa .

Vijana tuna cha kujifunza kuwa Makamu wa Rais ni mtu hatari kwa Usalama wa Rais aliyeko madarakani.​

 

Vijana tuna cha kujifunza kwamba bila katiba Hata anachofanya Samia ni hewa, atakayekuja baadaye atavuruga kila kitu​

Kwani Samia anafanya nn Cha kufurugwa royally tour hkn kitu anafnya Ni ziara za kuwakumbuka ma babu zake tu hvyo Hakuna jipya jpm amefanya mamb mazito kuwai kutokea
 
Kwani Samia anafanya nn Cha kufurugwa royally tour hkn kitu anafnya Ni ziara za kuwakumbuka ma babu zake tu hvyo Hakuna jipya jpm amefanya mamb mazito kuwai kutokea
Magu hatarii🥲🥲

1. JPM anajenga Reli ya Mwendo kasi – SGR.

2. JPM anajenga Bwawa la Umeme – Nyerere HydroPower.

3. JPM amenunua Ndege 13 aina tofautitofauti.

4. JPM amejenga Ikulu kule Dodoma na yale Magorofa ya Wizara kule Mji wa Serikali Dodoma ( Mtumba) Magufuli City

5. JPM amehamisha Makao Makuu ya Serikali na ameijenga Dodoma imekuwa Jiji

6. JPM amejenga FlyOver Dar es Salaam pale Ubungo na TAZARA
.
7. JPM amejenga daraja la Tanzanite pale Selander.

8. JPM ametengeneza huu Mfumo wa Kompyuta wa Malipo ya Serikali.

9. JPM alikuwa anaweka umeme hadi Vijijini (kwa Tsh. 27,000/= tu.)

10. JPM ameshawishi Bomba la Mafuta kutoka Uganda lipite Tanzania.

11. JPM anajenga daraja la Kingongo Ferry Busisi kule ziwa Victoria.

12. JPM amejenga Meli kubwa mbili mbili kila ziwa, yaani Ziwa Victoria 2, Ziwa Tanganyika 2 na Ziwa Nyasa 2.

13. JPM amejenga Hospital za Kanda kubwa nne… Dodoma, Mara, Mtwara, Geita na Songea

14. JPM amejenga Hospitali za Wilaya Zaidi ya 70

15. JPM amejenga Mradi Mkubwa wa Maji ya Victoria kule Tabora

16. JPM amejenga Mradi wa Maji Mkubwa Arusha

17. JPM amejenga Barabara ya Njia Nane Dar es Salaam hadi Kibaha

18. JPM alikuwa anajenga Mizani za Kisasa kabisa Kwenye Barabara zote kubwa

19. JPM amejenga Vituo vya Afya Zaidi ya 500

20. JPM amejenga na Kununua Rada 4 za AirPort

21. JPM amejenga Viwanja vya Ndege Mara, Iringa, Mbeya, Chato, Songea na Rukwa

22. JPM amejenga Masoko ya Madini kila Mikoa yenye migodi ya madini

23. JPM amejenga ukuta wa Mirerani na kuweka Camera za Ulinzi

24. JPM amejenga Bandari Kilwa, na kuzipanua Bandari Mtwara, Tanga na Dar es Salaam

25. JPM amejenga Masoko ya Kisasa zaidi, ya maana kama Dodoma, Morogoro, Dar es Salaam

26. JPM amejenga Bus Stand za Kisasa Zaidi mikoani kama Dodoma, Mwanza, Dar es Salaam nk

27. JPM amenunua Vifaa Tiba kama MRI, CT Scan, Vifaa vya Kufanyia Oparations za Moyo pale JKCI Wagonjwa wanatoka nchi jirani kuja kutibiwa Tanzania

28. JPM amejenga Vivuko vya Majini sehemu mbalimbali kama Mafia, Kilwa, Ukerewe

29. JPM amejenga Barabara za Lami za adabu miji mingi sana, Barabara zina mifereji, Taa, na Taa za kuongozea magari.

30. JPM amejenga Shule za Msingi na Sekondari na kukarabati za zamani zikawa Bora kama Vyuo vikuu

31. JPM ametengeneza Vitanda kwenye mahospitali watu hawalali chini.

32. JPM ametengeneza Madawati karibia shule nyingi sana wanakaa kwenye Madawati.

33. JPM kajenga Hostel pale Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) uhaba wa vyumba umepungua.

34. JPM akasimamia mikopo kwa wanafunzi wa Elimu ya Juu, na boom likawa linatoka kwa wakati (Migomo Vyuoni imeisha).

35. JPM aliamua kutusomeshea Watoto bila kulipa ADA ya Shule (Msingi na Sekondari)
36. JPM kafufua reli ya Kati na reli ya kwenda Moshi hadi Arusha.

37. JPM alikuwa anajenga kiwanda cha Sukari cha Magereza Morogoro.

38. JPM amejenga Kiwanda cha Viatu vya Jeshi – Lukaranga Moshi viatu haviagizwi tena nje ya nchi.

39. JPM anajenga Kiwanda cha Vifaa Tiba na Dawa huko Njombe.

40. JPM anajenga Barabara za Mwendo Kasi Mbagara hadi Gerezani Kariakoo

41. JPM amejenga FlyOvers pale Veta na Uhasibu Dar es Salaam.

42. JPM amejenga Vituo Vya Polisi, Nyumba za Askari Polisi na Magereza.

43. JPM amejenga yale Magorofa ya pale Magomeni na aliruhusu watu wakae bure kwa Miaka 5..

Hongera kwa jembe JPM.
Watu waache maneno ya ajabu, watu wafanye Yao tuyaone.
wasikae kutwa kumuongelea Hayati.. Rose Muhando aliimba Jifunze kwa waliofanikiwa..

📌📌
 
Ajaye aondoe mambo yote mabovu yanayofanyika sasa.

Yaani yote. Afute tuanze upya. Hakuna kinachofanyika sasa ni kwa maslahi ya Watanzania.
Kinachofanyika kwa sasa ni sawa na familia inayoongozwa na mwanamke. Kwa jinsi ya maumbile yao na sababu ya kuumbwa kama ilivyoandikwa kwenye Kitabu cha Mwanzo 2:18 Bwana Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye. Mwanamke ni msaidizi na ndiyo maana hata akiwa na uwezo ataomba msaada. Hivyo basi, Rais amekuwa mwombaji. Swali ni je, hiyo misaada masharti yake ni yapi?
 
Kwa Maana rahisi Uzalendo ni kuweka Maslahi ya Taifa mbele .JPM alionyesha uzalendo wa hali juu kabla na Baada ya kuwa Rais ,Kwake Nyeusi ilikuwa Nyeusi na Nyeupe ni Nyeupe
  • JPM aliipenda sana Tanzania kuliko kitu Chochote kile .
  • JPM alifanya kitu kwa ajili ya watanzania wengi sio kikundi cha Watu .
  • JPM alithubutu kushughulikia Mtu,Watu au kikundi Cha watu kinacho jaribu kuhujumu uchumi wa Nchi bila kuogopa .
  • JPM aliweza Shughulikia kila mtu anaetaka potosha wananchi wake au Kuwaonea bila Kuwaogopa
  • JPM aliweza kulinda Mali za Nchi kwa Nguvu zake zote bila kuogopa.

Kwa Kifupi aliipenda Nchi Yake sana ,Alifanya kazi kwa ajiri ya Watanzania sio kikundi cha Watu na aliwapenda sana watanzania .

Vijana Uzalendo ndio Huu .Kuna Cha kujifunza hapa .
Kweli tukaanza kuona watu wakiokotwa kwenye viliba wengine wakipigwa risasi mchana kweupe wengine wakikimbia nchi na kuziacha familia zao, kama hiyo ndiyo maana ya uzalendo basi jpm alikuwa nzalendo namba li one
 
Back
Top Bottom